strong peason
Member
- Sep 25, 2015
- 30
- 1
Ulieandka hii thread Nina wacwac na wewe,but 1.yupo sahh kwa % 100 ,2 hii nchi imeoza il iwe saf lazma awadharirishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe pia ni jipu linalotakiwa kutumbuliwa
Sometimes good dictatorship is better than bad democracy.hiyo mambo ya kuitana sijui chamber sijui nini hayapo tena....sometimes huwa nashindwa kuelewa wanachokitaka chadema maaana wako kila kitu ni kupinga tu.
Kuondoa uchafu ni jambo la kufurahia sana, kwa hapa tulipokuwa tumefikia njia zote ni sahihi. Baada ya hapo tunaweza kujadili njia sahihi lakini kwa sasa wacha njia zote zitumike ili nchi ipone.Mkuu pasco siyo good governance sawa,lakini na hawa watendaji ni kama hawajielewi hivi,yaani libaba lizima linaulizwa maswali linaanza kutetemeka ,,lol
Mimi nmeshasema hakuna watu wanafiki kama Watanganyika.
Ni mapema sana kusema sana. Uongozi wa kuteuliwa ni kazi nzito sana, ipo siku tunaweza tena kuja hapa hapa na kusema bora Pinda au bora Kikwete, kipya kinyemi ingawa kidonda, Changamoto za serikali mpya zinakuja, na hapo Majariwa atapimwa vizuri zaidi. This is worldwide, hata Obama at First alionekana like African Messiah ila baada ya muda kiasi akapwaya sana.
Let wait and give time.