Ni vigumu kuwa billionaire katika ulimwengu wa tatu bila kukwepa kulipa kodi. It is next to impossible. Haiwezekani mfanyabiashara kuanza na mtaji wa million moja na kutengeneza faida muda wote hadi kufikia level ya billionaire. HAIWEZEKANI. Haiwezekani mfanyabiashara 'mtakatifu' akawa billionaire. Hata kama atatengeneza super normal profit kiasi gani, haiwezekani kuwa billionaire.
Msingi wa ubillionaire ni kufanya biashara haramu, kutapeli, kupunja wateja kupita kiasi, ku monopolize soko, na zaidi ya yote KUKWEPA KULIPA KODI STAHIKI. Rostam Aziz ni billionaire kwa sababu alikuwa ameingia ubia na Ikulu...nani ni nani ni nani kwa sababu ya kukwepa kulipa kodi stahiki, kuuza unga, kutapeli, kupunja wateja, etc.
Leo Magufuli unaanza kuwabana, kuwachunguza wafanyabiashara? Kweli? Unataka wawe watakatifu? Si utawaua? Kwa mwendo huo utatengeneza hata billionaire mmoja katika ufalme wako kweli? Sio tutarajie wengi kupukutika? Yetu macho.