Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

Ondoa neno haiwezekani, all things are possible to him that believe... Ni saa ya waaminio... Husikii magufuli akirudia msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Tazama tukiwa mabilionare bila rushwa. Kwanza mabilionare wengi hawaisaidii Tanzania kama hawalipi kodi, "aliye mwaminifu kwenye jambo dogo na kwa kubwa ni hivyo hivyo" kama hakulipa akiwa na milioni moja hatalipa akiwa na bilioni 100, ni bora kuwa na wafanyabiashara wadogo wengi wanaolipa kodi kuliko mabilionare wachache wasiolipa kodi... Simple truth. JPM is not interested of you becoming a billionaire but you paying taxes
 
Kaka viongozi na watumishi wengi walikuwa wamezoea kuwa Tanzania ni shamba la Bibi, sasa watakipata na hata kama ni mzazi wangu amekamatwa. Itakuwa fundisho kwenye familia, ukitaka kufumania hutatoa taarifa, ukitoa taarifa haukamati hata mtoto
 

Acheni unafiki, au walioaibishwa ni ndugu zako? Walipojenga na kutumia fedha za kifisadi hawakuzionea haya. Wamefaidi sasa na heshima tuwalindie! No way, heshima wanajilindia wenyewe, wangetoka mapema kabla ya hatari. Waandishi wa Habari ni chombo cha dola pia, ndio maana, waziri anakuepo, chombo cha dolla na waandishi wa Habari bila siri. Asipoenda na waandishi wa Habari raisi atahakikishaje utendaji wake, atahakikishaje hajapewa rushwa kwa mlango wa nyuma, wananchi tutahakikishaje uwazi. Wezi wa barabarani mnawaanika hata utupu, mafumanizi mnayaanika lakini hawa wanaosababisha mauaji makubwa zaidi kuliko wote unataka tuwatunzie heshima! fikiri vizuri. Waziri hawezi ingia mahali tusimphotoe wakati anafanya kazi ya umma. Utakuta anamuuliza ofisa, je kuna upotevu wa makontena, anajibu hakuna, akitoa list anaulizwa unayajua haya anasema yah nayajua. Sasa kama anamzunguka boss wake macho makavu hivyo, anaaibishwa au anajiabisha mwenyewe!? Mimi sioni kosa kabisa hapa, msimlaumu, furahini... Ni tz ya JPM, tulipomchagua tulichagua job skills zake, imani yake, ujasiri wake na utashi wake, so tulia he is under Dr president JPM
 
mwendo wa kumagufulfly hata wangechapwa na viboko mbele za watu tumechoka na mafisad tumechoka sana...tulikuwa tumekata tamaa ila Mungu c ccm ametukumbuka wanyonge wa TZ.
 
Hahahaha! Naona ndicho anachotaka Pasco tuvune mabua kwa kuitana chemba kuulizana eti uliiba? Kisha tuundiane tume itakayotumia mabilioni hahahaha.

hakuna kuunda tume hapa kazi tu kila fisadi apate haki yake
 
Kwa uelewa na mtazamo wangu kw ujumla ninaona akina majaliwa wanafanya kazi nzuri tu kuudhihirishia umma kuwa kumekuwa na ufisadi wa kiwango kisichosemekana.mtu wa kawaida ambaye hata kupata sh.10000 kwa wiki kwake ni ndoto kimawazo lazima atatofautiana na mtu mwenye kipato au aliyeajiriwa.Kwa kifupi jamii nyoingi huwa wanadhani umasikini wa watanzania ni asili yetu lakini unapomshuhudisha kuwa tatzo la umasikini wako limechangiwa na fulani,basi hekima na subira na huruma ya huyu masikini inapotea.Kwa kifupi watanzania karibu wote wanafurahi sana kwa sababu wanahusianisha hali ya umasikni walio nao na tuhuma za ufisadi zinazobainishwa na rais na waziri.
 

Haki zingine upuuzi
 

Ulitaka afanyeje? Au wewe pia umeguswa?
 
Nchi haiwezi kuendeshwa kama unavyomuendesha mkeo, mkeo ulimpata baada ya kumpenda, kwa hiyo wewe na yeye mnapendana sana, katika elimu ya uongozi, weledi na uaminifu wa matumizi ya Mali ulizokabidhiwa ni muhimu kuliko sympathy (mapenzi), usichanganye vitu "you grown up".
 
Hamna good govenance wala nn. Kwa nchi kama zetu hizi hivi ndivyo inapaswa viongozi wafanye sio tunaigaiga tu mambo toka nje. Wenzetu wamepitia stage kama nne au tano katika history. Sasa cc tunaburuzwa tu na tunakubali kila mfumo unaowekwa hapana acha Kassim Majaliwa afanye mambo yake.
 
majaliwa anafanya kwa kukomoa.
Wacha inafiki wewe mtoto.
Angekuwa anaitwa Warioba au Joseph usingesema haya.

Wacha Waziri afanye kazi yake.
Na wewe endelea kuuza hizo leso kwenye traffic lights hapo tazara.
 
Pasco naamini uko sawa kabisa ila,kama kiongozi wa sehemu husika na huna jibu kuhusu utendaji wa sehemu yako maana yake hufanyi kazi sawia ni mtu wakutegemea ripoti na katika uongozi kwa bara letu hili ambapo tunaamini uongo ni moja ya sehemu ya uwajibikaji bora ni hatari sana kwa kiongozi kutegemea ripoti ya kuletewa,hata mimi nikienda kwa mjumbe wa nyumba 10 nikamuuliza mtaani kwako kuna wageni wangapi kwa mwezi huu na asijue ni mzembe wa hali ya juu!
 
Wacha inafiki wewe mtoto.
Angekuwa anaitwa Warioba au Joseph usingesema haya.

Wacha Waziri afanye kazi yake.
Na wewe endelea kuuza hizo leso kwenye traffic lights hapo tazara.
Yani ww unawaza kdini tu..
 
Wacha inafiki wewe mtoto.
Angekuwa anaitwa Warioba au Joseph usingesema haya.

Wacha Waziri afanye kazi yake.
Na wewe endelea kuuza hizo leso kwenye traffic lights hapo tazara.
Ipo siku utajua kuwa Kassim Majaliwa si muislam kama unavyodhani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…