Uchaguzi 2020 Anachotakiwa Lissu ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika Ikulu

Uchaguzi 2020 Anachotakiwa Lissu ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika Ikulu

Hakuna anayesema kuwa upinzani hakuna Tanzania, Goliath alimdharau Daudi akakiona Cha mtemakuni. Tunachosema upinzani hauko makini, unalaumu unalaumu unalaumu hadi mwisho badala ya kujikita, focus kwenye njia mbadala za namna shida zetu tutaziondoa, namna ya kupata katiba nzuri, tume ya Uchaguzi na uchumi wa taifa na watu. Unapofoka na kutukana jukwaani unawaogopesha watu ambao hawajazoea kusikia lugha hiyo ambao bado wako wengi Tanzania.

Hata Nyerere Kama angetumia kejeli, matusi na vitisho wakati anadai Uhuru kutoka kwa mkoloni huenda wangemuua tusingemkuta.

Mnapokuwa majukwaani kuweni Kama walimu ambao mnawafundisha watu uzuri wa vyama vingi, ubaya wa chama kimoja na namna nchi itakavyokuwa salama hata vyama vya upinzani vikiiongoza nchi.

Sasa nyie mkiwa majukwaani mnabeza kila kitu, hamchagui Cha kusema wala wa kumsema. mnabeza hata polisi, usalama wa taifa na kila kitu, hii kinachoonyesha kuwa hamfahamu namna polisi na usalama wa taifa unavyofanyakazi zake.
1. Sugu kaenda Na watu kuchukua form,kakamatwa Na polisi kisa maandamano
2)Tulia kaenda kuchukua form Na nyomi. Hajakamatwa.
Kwamba haijulikaniPolisi wanafanyaje kazi?
 
Mmeshakata tamaa umebaki kuwa waganga wa kienyeji kubashili ujinga Mara akija atakamatwa mara akija ataenda segera saiv mara hatashinda unafikir kura zinapigwa na familia yako tu subirin muone simlizoea kuhadaa watu kupitia Tbc kuwa mnapendwa ndo mtajua kuwa hamjui

Mkuu ebu tumia akili

Lissu ana kesi mahakamani na inaendelea....

Lissu anakupa faraja wewe na familia yako kwa magumu unayoyapitia hakufikishi unakotakiwa kuwa

Personal struggle matters
 
Bila shaka yoyote hata Lissu mwenye hana Raha kwa Sasa maana haamini ni kwanini hajakamatwa na kuwekwa ndani mpaka Sasa hata baada ya kusema Yale aliyokuwa akiyasema kuhusu serikali wakati ikiwa nje ya nchi.

Hakuna ubishi kuwa aliposema anarudi na siku ya kurudi Tanzania alisindikizwa na vyombo vingi vya habari vya nje ili kuandika na kuripoti kile kitakachompata Lissu atakapotua Airport Tanzania.

Rais JPM amedhihirisha kuwa amedhamiria kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake. Ameonyesha kuwa hana nia mbaya zaidi ya kupambana na ubadhilifu, rushwa na njama za wawekezaji wabaya.

Mpaka Sasa kalamu za vyombo vingi vya habari vilivyotaka kuandika habari za lissu kurejea zimekauka wimo kwa kukosa Cha maana cha kuandika. Bahati mbaya mheshimiwa Lissu mpaka Sasa sijamsikia bado akisema kile atakachowafanyia watanzania punde atakapofika ikulu Kama atashinda uchaguzi, badala yake mpaka sasa muda mwingi anautumia kueleza alivyopigwa Dodoma.

Anasahau kuwa habari ya kupigwa kwake ziliandikwa Sana na kutangazwa Sana wakati yeye yuko nje ya nchi kwa matibabu, hivyo watu wanazifahamu sana hivyo hakuna haja ya kuwapotezea watu muda kuizungumzia Tena kirefu majukwaani zaidi ya kushukuru kwa dk moja tu Kisha atueleze namna atakavyofanya kwenye madini, utalii, kilimo, ufugaji, uvuvi, utawala bora, usalama, makazi..kwa kifupi wakati tukisubiri kampeni zianze rasmi.

Uzuri na ubaya wa Rais wao wanaufahamu Sana hata wao, hivyo asipoteze muda kuwasimulia watu ambao walikuwepo Tanzania kwa miaka yote 5 ya awamu ya tano, maana wao wanafahamu Sana kuliko yeye ambae hakuwepo nchini kwa miaka 3.

Anachotakiwa Lissu Ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika ikulu.

Ukomavu huu wa serikali ya JPM umeishangaza dunia kusema ukweli, hasa wale waliotarajia mshikemshike pale Airport.
IMG-20200818-WA0136.jpg

Kaja na full moody, kakuta sivyo ilivyo....
 
kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake.
Mkuu mbona kavikataza vyombo vya habari kuripoti habari za Lisu?

Mbona wamempangia afike makamani 26/8 siku ambayo anatakiwa awe tume ya uchaguzi?
Sifa hizi unazompa Magufuli zitolewe baada ya October 28.
 
Bila shaka yoyote hata Lissu mwenye hana Raha kwa Sasa maana haamini ni kwanini hajakamatwa na kuwekwa ndani mpaka Sasa hata baada ya kusema Yale aliyokuwa akiyasema kuhusu serikali wakati ikiwa nje ya nchi.

Hakuna ubishi kuwa aliposema anarudi na siku ya kurudi Tanzania alisindikizwa na vyombo vingi vya habari vya nje ili kuandika na kuripoti kile kitakachompata Lissu atakapotua Airport Tanzania.

Rais JPM amedhihirisha kuwa amedhamiria kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake. Ameonyesha kuwa hana nia mbaya zaidi ya kupambana na ubadhilifu, rushwa na njama za wawekezaji wabaya.

Mpaka Sasa kalamu za vyombo vingi vya habari vilivyotaka kuandika habari za lissu kurejea zimekauka wimo kwa kukosa Cha maana cha kuandika. Bahati mbaya mheshimiwa Lissu mpaka Sasa sijamsikia bado akisema kile atakachowafanyia watanzania punde atakapofika ikulu Kama atashinda uchaguzi, badala yake mpaka sasa muda mwingi anautumia kueleza alivyopigwa Dodoma.

Anasahau kuwa habari ya kupigwa kwake ziliandikwa Sana na kutangazwa Sana wakati yeye yuko nje ya nchi kwa matibabu, hivyo watu wanazifahamu sana hivyo hakuna haja ya kuwapotezea watu muda kuizungumzia Tena kirefu majukwaani zaidi ya kushukuru kwa dk moja tu Kisha atueleze namna atakavyofanya kwenye madini, utalii, kilimo, ufugaji, uvuvi, utawala bora, usalama, makazi..kwa kifupi wakati tukisubiri kampeni zianze rasmi.

Uzuri na ubaya wa Rais wao wanaufahamu Sana hata wao, hivyo asipoteze muda kuwasimulia watu ambao walikuwepo Tanzania kwa miaka yote 5 ya awamu ya tano, maana wao wanafahamu Sana kuliko yeye ambae hakuwepo nchini kwa miaka 3.

Anachotakiwa Lissu Ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika ikulu.

Ukomavu huu wa serikali ya JPM umeishangaza dunia kusema ukweli, hasa wale waliotarajia mshikemshike pale Airport.
SUBIRI UKIFIKA MUDA WA KAMPENI KILA KITU KITAKUWA WAZI.
 
Nilicho gundua mimi wa tz ni wanafiki sana enzi za kikwete aliitwa majna mengi sana, wengine walisema rais gani kila siku ulaya, wengine wakasema rais dhaifu,mara rais anachekacheka mara huyu shemeji, inchi tajiri tz tuna kosa ndege tunazidiwa rwanda. Mungu kamleta magufuri na kafanya makubwa kwa mda mfupi tu,lakini watu wanapiga keleleeeee, mzee wa watu kikwete alijitahidi hata kuhuzuria miziba kila wakati lakini watu walibeza wakamuita mzee wa misiba. Rais magufuri kama unapitia hapa nakushauri ukishinda uchaguzi mkuu fanya ufisadi wa nguvu sana iba kabisa nenda uraya kale bata kila mwisho wa week maana sisi watanzania ni wanafaki sana na hatuna jema,hatuna shukurani kabisa mungu akulinde amina.
Unadhani Meko hajaiba au kufanya ufisadi? We jidanganye!
 
Subiri KAMPENI zianze utamsikia anatakakuifanyia Nini Tanzania


na siyo Tanzania itamfanyia nini.
 
Bila shaka yoyote hata Lissu mwenye hana Raha kwa Sasa maana haamini ni kwanini hajakamatwa na kuwekwa ndani mpaka Sasa hata baada ya kusema Yale aliyokuwa akiyasema kuhusu serikali wakati ikiwa nje ya nchi.

Hakuna ubishi kuwa aliposema anarudi na siku ya kurudi Tanzania alisindikizwa na vyombo vingi vya habari vya nje ili kuandika na kuripoti kile kitakachompata Lissu atakapotua Airport Tanzania.

Rais JPM amedhihirisha kuwa amedhamiria kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake. Ameonyesha kuwa hana nia mbaya zaidi ya kupambana na ubadhilifu, rushwa na njama za wawekezaji wabaya.

Mpaka Sasa kalamu za vyombo vingi vya habari vilivyotaka kuandika habari za lissu kurejea zimekauka wimo kwa kukosa Cha maana cha kuandika. Bahati mbaya mheshimiwa Lissu mpaka Sasa sijamsikia bado akisema kile atakachowafanyia watanzania punde atakapofika ikulu Kama atashinda uchaguzi, badala yake mpaka sasa muda mwingi anautumia kueleza alivyopigwa Dodoma.

Anasahau kuwa habari ya kupigwa kwake ziliandikwa Sana na kutangazwa Sana wakati yeye yuko nje ya nchi kwa matibabu, hivyo watu wanazifahamu sana hivyo hakuna haja ya kuwapotezea watu muda kuizungumzia Tena kirefu majukwaani zaidi ya kushukuru kwa dk moja tu Kisha atueleze namna atakavyofanya kwenye madini, utalii, kilimo, ufugaji, uvuvi, utawala bora, usalama, makazi..kwa kifupi wakati tukisubiri kampeni zianze rasmi.

Uzuri na ubaya wa Rais wao wanaufahamu Sana hata wao, hivyo asipoteze muda kuwasimulia watu ambao walikuwepo Tanzania kwa miaka yote 5 ya awamu ya tano, maana wao wanafahamu Sana kuliko yeye ambae hakuwepo nchini kwa miaka 3.

Anachotakiwa Lissu Ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika ikulu.

Ukomavu huu wa serikali ya JPM umeishangaza dunia kusema ukweli, hasa wale waliotarajia mshikemshike pale Airport.
Huu ujinga kamsimulie Basha wako, hivi mnafikiri watz hatuna akili?
 
Kuna watu wanjua sana kuisemea mioyo ya watu wengine!!sijui sababu ni kitu gani kwa kweli!!
 
yani mmempiga risasi 16 kaugulia miaka mitatu kwa msaada wa wananchi halafu mnataka asiongelee.
 
Ukiona hivyo ujue kwenye hayo maeneo kakosa hoja maana ndani ya muda mchache aliokuwepo nje yote yameshughulikiwa bila uwepo wa prooaganda za wanaharakati mfu kama yeye.

Sasa akigusa wafugaji anaona anaharibu, akigusa afya anakuta mzee kapitiliza maana zahanati hadi kijijini kwao, umeme kakuta vijiji alivyoacha giza huko kwao vinawaka taa, maji imekuwa massive projects nchi nzima hadi kijijini kwake.

Maana alijaribu kumtukana magufuli wee nwanzoni akabaki anashambuliwa yeye.. alisema vibaya kuhusu corona akabaki anashambuliwa.
Juzi kagusia vitambulisho vya machinga napo kaishia kushambuliwa wakiwemo machinga wenyewe.

Sasa ameishiwa hoja..hakujua mambo magumu hivyo..hakupewa taarifa za kutosha kuhusu mageuzi yaliyofanyika ya nchi kipindi alichokuwemo nje. Hoja aliyobakiwa nayo ya mwisho ni hiyo kusema kapigwa risasi ili jamii pengine imuhurumie..amefikia sasa kusema siku magufuli aliyohutubia kuhusu wasaliti masaa mawili akapigwa risasi.

Ana hamu ya kukamatwa sio kidogo. Anaamini hiyo ndio kete aliyobakiwa nayo. Hajui hata atawauza vipi wabunge wa chadema majukwaani.
 
Wapumbav mmekosa cha kusema mnabadilika kama vinyonga!Lissu hajawahi kuwa muoga kusema kile anachoamini hadharani!
Swali ni je,mna mpango wa kumtanga tena risasi baada ya uchaguzi kama ataendelea kuongea?Kama ni kwa utaratibu wa kisheria,ni kosa gani ambalo kwenye uchaguzi linakuwa sio kosa na uchaguzi ukiisha linakuwa kosa?
Mataga mmepagawa kuona Lissu hatetereki,shwain!
Hizo Ni sifa za mwanaharakati sio sifa za Rais wa nchi
 
Bila shaka yoyote hata Lissu mwenye hana Raha kwa Sasa maana haamini ni kwanini hajakamatwa na kuwekwa ndani mpaka Sasa hata baada ya kusema Yale aliyokuwa akiyasema kuhusu serikali wakati ikiwa nje ya nchi.

Hakuna ubishi kuwa aliposema anarudi na siku ya kurudi Tanzania alisindikizwa na vyombo vingi vya habari vya nje ili kuandika na kuripoti kile kitakachompata Lissu atakapotua Airport Tanzania.

Rais JPM amedhihirisha kuwa amedhamiria kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake. Ameonyesha kuwa hana nia mbaya zaidi ya kupambana na ubadhilifu, rushwa na njama za wawekezaji wabaya.

Mpaka Sasa kalamu za vyombo vingi vya habari vilivyotaka kuandika habari za lissu kurejea zimekauka wimo kwa kukosa Cha maana cha kuandika. Bahati mbaya mheshimiwa Lissu mpaka Sasa sijamsikia bado akisema kile atakachowafanyia watanzania punde atakapofika ikulu Kama atashinda uchaguzi, badala yake mpaka sasa muda mwingi anautumia kueleza alivyopigwa Dodoma.

Anasahau kuwa habari ya kupigwa kwake ziliandikwa Sana na kutangazwa Sana wakati yeye yuko nje ya nchi kwa matibabu, hivyo watu wanazifahamu sana hivyo hakuna haja ya kuwapotezea watu muda kuizungumzia Tena kirefu majukwaani zaidi ya kushukuru kwa dk moja tu Kisha atueleze namna atakavyofanya kwenye madini, utalii, kilimo, ufugaji, uvuvi, utawala bora, usalama, makazi..kwa kifupi wakati tukisubiri kampeni zianze rasmi.

Uzuri na ubaya wa Rais wao wanaufahamu Sana hata wao, hivyo asipoteze muda kuwasimulia watu ambao walikuwepo Tanzania kwa miaka yote 5 ya awamu ya tano, maana wao wanafahamu Sana kuliko yeye ambae hakuwepo nchini kwa miaka 3.

Anachotakiwa Lissu Ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika ikulu.

Ukomavu huu wa serikali ya JPM umeishangaza dunia kusema ukweli, hasa wale waliotarajia mshikemshike pale Airport.
Kwani kampeni zimeshaanza? Mbona mna kiherehere hivyo? Atawanyoosha tu na udikteta mavi wenu
 
Hayo ni mawazo yako. Kwa nini unaumia sana anapowaeleza watu habari za kupigwa kwake risasi? Unaposema kuwa hizo habari ziliandikwa wakati yeye yuko njeya nchi, je kuna ubaya gani akizisema yeye mwenyewe? Mwenye ukweli ni Lissu na si hao walioandika kwani ailyeumizwa ni Lissu, tumwacha aeleze yote ili ukweli ujulikana.
Sasa nyie mnapatwa na kizunguzungu kwa maana mmekamatwa pabaya. Serikali kunyamaza kimya si kwamba inapenda, bali haina namna nyingine ya kufanya baada nya maonyo toka kwa wakubwa.
Wale walimu wanafahamu kitu kinachoitwa Dr. Fox effect. Yaani mwalimu anaingia darasani kwenye kipindi Cha dk 40, badala ya kuanza kufundisha kile anachopaswa kufundisha anatumia dk 20 za kwanza za kipindi kwa kusimulia habari zake binafsi, za mkewe, za bata wake nyumbani, za mbwa wake alivyomuua sungura wake. Hii inasababisha mwalimu huyu kufundisha kile alichopaswa kufundisha kwa dakika chache tu zilizobaki baada ya kumaliza upuuzi wake Jambo linalosababisha akose muda wa kumaliza mada au kuchukua na muda wa walimu wengine kwa uzembe wake mwenyewe.

Badala ya yeye kuwaeleza watu kwanini wamchague yeye anatumia muda mwingi wa kusema yakwake jukwaani, akimaliza kusema ya kwake ananza kusema ya JPM, polisi, usalama wa taifa, ndugai, kigaigai nk. Hii inasababisha kushushwa majukwaani na polisi kwa kupitiliza muda wa kuhutubia ukiisha jioni.

Weledi weledi
 
Bila shaka yoyote hata Lissu mwenye hana Raha kwa Sasa maana haamini ni kwanini hajakamatwa na kuwekwa ndani mpaka Sasa hata baada ya kusema Yale aliyokuwa akiyasema kuhusu serikali wakati ikiwa nje ya nchi.

Hakuna ubishi kuwa aliposema anarudi na siku ya kurudi Tanzania alisindikizwa na vyombo vingi vya habari vya nje ili kuandika na kuripoti kile kitakachompata Lissu atakapotua Airport Tanzania.

Rais JPM amedhihirisha kuwa amedhamiria kuijenga upya Tanzania na hana sababu nyingine moyoni mwake. Ameonyesha kuwa hana nia mbaya zaidi ya kupambana na ubadhilifu, rushwa na njama za wawekezaji wabaya.

Mpaka Sasa kalamu za vyombo vingi vya habari vilivyotaka kuandika habari za lissu kurejea zimekauka wimo kwa kukosa Cha maana cha kuandika. Bahati mbaya mheshimiwa Lissu mpaka Sasa sijamsikia bado akisema kile atakachowafanyia watanzania punde atakapofika ikulu Kama atashinda uchaguzi, badala yake mpaka sasa muda mwingi anautumia kueleza alivyopigwa Dodoma.

Anasahau kuwa habari ya kupigwa kwake ziliandikwa Sana na kutangazwa Sana wakati yeye yuko nje ya nchi kwa matibabu, hivyo watu wanazifahamu sana hivyo hakuna haja ya kuwapotezea watu muda kuizungumzia Tena kirefu majukwaani zaidi ya kushukuru kwa dk moja tu Kisha atueleze namna atakavyofanya kwenye madini, utalii, kilimo, ufugaji, uvuvi, utawala bora, usalama, makazi..kwa kifupi wakati tukisubiri kampeni zianze rasmi.

Uzuri na ubaya wa Rais wao wanaufahamu Sana hata wao, hivyo asipoteze muda kuwasimulia watu ambao walikuwepo Tanzania kwa miaka yote 5 ya awamu ya tano, maana wao wanafahamu Sana kuliko yeye ambae hakuwepo nchini kwa miaka 3.

Anachotakiwa Lissu Ni atumie muda kidogo alionao kuwaambia wananchi ataifanyia Nini Tanzania akifika ikulu.

Ukomavu huu wa serikali ya JPM umeishangaza dunia kusema ukweli, hasa wale waliotarajia mshikemshike pale Airport.
Sisi wananchi tunajua hata sipoteze muda kutuambia atafanya nini
 
Nilicho gundua mimi wa tz ni wanafiki sana enzi za kikwete aliitwa majna mengi sana, wengine walisema rais gani kila siku ulaya, wengine wakasema rais dhaifu,mara rais anachekacheka mara huyu shemeji, inchi tajiri tz tuna kosa ndege tunazidiwa rwanda. Mungu kamleta magufuri na kafanya makubwa kwa mda mfupi tu,lakini watu wanapiga keleleeeee, mzee wa watu kikwete alijitahidi hata kuhuzuria miziba kila wakati lakini watu walibeza wakamuita mzee wa misiba. Rais magufuri kama unapitia hapa nakushauri ukishinda uchaguzi mkuu fanya ufisadi wa nguvu sana iba kabisa nenda uraya kale bata kila mwisho wa week maana sisi watanzania ni wanafaki sana na hatuna jema,hatuna shukurani kabisa mungu akulinde amina.
Watamsifia Sana akimaliza muda wake, kima hawa wala jibini na ndizi
 
Wale walimu wanafahamu kitu kinachoitwa Dr. Fox effect. Yaani mwalimu anaingia darasani kwenye kipindi Cha dk 40, badala ya kuanza kufundisha kile anachopaswa kufundisha anatumia dk 20 za kwanza za kipindi kwa kusimulia habari zake binafsi, za mkewe, za bata wake nyumbani, za mbwa wake alivyomuua sungura wake. Hii inasababisha mwalimu huyu kufundisha kile alichopaswa kufundisha kwa dakika chache tu zilizobaki baada ya kumaliza upuuzi wake Jambo linalosababisha akose muda wa kumaliza mada au kuchukua na muda wa walimu wengine kwa uzembe wake mwenyewe.

Badala ya yeye kuwaeleza watu kwanini wamchague yeye anatumia muda mwingi wa kusema yakwake jukwaani, akimaliza kusema ya kwake ananza kusema ya JPM, polisi, usalama wa taifa, ndugai, kigaigai nk. Hii inasababisha kushushwa majukwaani na polisi kwa kupitiliza muda wa kuhutubia ukiisha jioni.

Weledi weledi

Sioni shida hapo. Kama mtu atajitambulisha ili ajulikane vizuri, then atakapo kuambia anaweza fanya jambo fulani, hutakuwa tena na maswali kwani utakuwa tayari unamfahamu vizuri.
 
Back
Top Bottom