Anadai ana mimba yangu, kutoa hataki, kulipa kodi hataki, kuhama hataki

Umemlala mama mchungaji wakati si mkeo? Loooh tunaelekea wapi sijui!
Mambo yameivaaaaaaa........
Polisi mwenyewe, jambazi mwenyewe, hakimu mwenyewe, mfungwa mwenyewe askari magereza mwenyewe.
Kweli waliosema akili nyingi huondoa maarifa hawakukosea.
 
Kodi laki NNE kwa mwezi!!!!! naenda kupata chai ntarudi
 
S
Sasa kama yumo humu si umeliwa popoma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umetumia njia mbaya Sana ulipaswa kupangisha Tu mtu unasuka mtu WA kuja kupanga harafu wewe unakuja kumhamisha na kumpangishia nyumba nyingine bila yeye kuwepo unakodi Gari unamfuata Kwa mbwembwe zote unampeleka kwenye nyumba ulohamishia vitu, atalia wee atatulia huko nyumba unepangisha mtu . Akiuliza unamwambia ni Kwa ajiri ya matumizi yake maana pango lake ni pesa kidogo Kwa hiyo ukilipwa kule unalipia pango lake na chenchi inabaki yake ya matumizi

Fitina kwishinia kama kweli mtoto ni wako akizaliwa fanya mpango sasa maana siku hizi kubambikiwa ni normal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…