Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #101
Mimi sio mjanjaUjanja woote ulio nao ulikuwa hujui Honey port?![emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio mjanjaUjanja woote ulio nao ulikuwa hujui Honey port?![emoji23][emoji23][emoji23]
HeeeeeUmedata wewe
Pole mkuu, ulinasuka vipi kwenyw huo mtego brodaSio wa kulaumiwa,
Kuna mazingira mkuu huchomoki.
Wanawake wana mbinu Sana.
Uyu wangu alianza kunisifia, baadae akaanza kuniita niende usiku.
Tena sometimes anafake sauti kana kwamba kavamiwa na majambaz, ukifika vitimbi haviishi, Mara samahan nlkua nakutania sikU nying hujaja uku.
sikU moja kalewa Sana,
Mfanyakaz mwenzie kanipigia niwah HARAKA anataka kujiua, kufika aliepga sim akasepa tukabak wawili.
Sarakasi zikaanza, mara anaomba nimsadie nmgonge TU kimoja apate nafuu Yuko ovyo.
Nkambia nmeoa, sihitaj mahusiano kwa Sasa,
Akadai hatutakua na mahusiano eti nifanye Kama vile daktari anamsaidia mgonjwa mahututi, anamiaka hajagongwa na anahidi kutunza siri.
Yaani anaomba "KIMOJA TU"
Nilipompa kimoja, anataka Cha pili nikamwambia acha ujinga nawai nyumban APO NMETOA TU MSAADA NTALIPWA NA MUNGU.
Baada ya Apo,
Akawa kila Mara anataka.
Kodi yake ilipoisha akaanza kuleta sarakasi,
Nkambia usinletee ujinga wewe.
Nkaanza kumtuma wife akadai Kodi mwnyw Kuna mpangaji Ni msumbufu, alipokutana na mtiti wa wife KODI AKALIPA.
Baadae akanitafuta kuniomba radhi,
Ila radhi yenyewe inavyoombwa Sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wee acha TU,
THE REST IS HISTORY [emoji4]
Baharia ametuangushaMatumizi mabaya ya sperm hayo
Kumbe ndio wewe jiraniNina kajinyumba kangu kadogo kakushikia kiwanja Goba kunguru, kana vyumba viwili vya kulala, sebule, chumba kimoja kina choo na bafu ndani na pia kina choo cha wageni jirani na sebuleni.
Yaliyonikuta najuta kuzaliwa jamani, natamani nilie, kilio hakitoki, natatamani niende kwa Mwamposa nikanywe lori zima la maji ya upako, na nikitoka huko niende kwa Sharifu Majini, maana mambo yamenifika pabaya.
Kwenye kajumba kangu haka, kuna jamaa yangu pia ni dalali wa nyumba, nilipokuwa nakamalizia akaniambia kuwa anataka kuniletea mpangaji wa kunilipa laki 4 kwa mwezi, nikacheka kizungu, nikasema mlete fasta asije akalaghaiwa na madalali wenye nyumba za mbavu za mbwa wamuharibu na kunghiribu akili.
Kweli akamleta binti mmoja mkali sana, amemliza chuo, kapata kazi kampuni moja ya fedha hapo Mlimani City. Binti kaja na kibunda chake mkononi, kasema anataka kulipa miezi sita.
Nikakubali, nikabeba mzigo na kuondoka.
Kutokana na usasa wa mifumo ya umeme na maji na ya kiulinzi binti alikuwa akinipigia simu mara kwa mara kuniuliza kile na hiki.
Tukazoeana tukawa tukikutana mara kadhaa mwisho wa wiki, na taratibu taratibu nikajikuta kamoyo kanadondokea upande wa mashariki ya uwanja.
Halaula, mara penzi likawa jau, mambo moto moto, yakaongezeka hadi yakawa mpwitompwito.
Siku zikaenda, binti mwili unabadilika, tumbo linaongezeka, hasemi kuwa ana mimba, mimba ilipofika miezi sita ndio anasema ana ujauzito wangu, kuhama hataki, kutoka hataki, kulipa kodi hataki, anasema hiyo ni nyumba yake yeye na kiumbe wake ajaye.
Jamani, hivi huyu Mpalestina anataka kunipora nyumba hivihivi mchana kweupe, ananionea kwasababu mimi ni msukuma Mshamba...
Sasa hajui, nimeenda kuwatafuta madalali wa kupiga minada nyumba, watangaze na gari yao kuwa hiyo nyumba inadaiwa na benki na Jumamosi ndio mnada wenyewe. Tayari nimesha mseti mnunuzi feki. Kuanzia kesho gari inapita mitaani na maspika jioni mida ambayo amerudi kazini, na mlangoni wataweka notice yao ya mnada.
Jumamosi atake asitake atatoka.
Sanasana atapata grace period ya siku moja tu...
Hiiiiiiiiiiiii baghoshaaaaa
Sio mke wake ajamuoa anaweza kumfukuza mbona simple tu.Ukisikia mitihani ndo hiii sasa, sasa unamfukuza yes na mimba ni yako yes hivi akienda ustawi wa jamii kwamba alikuja kama mpangaji ilaa ukampenda na kumpa mimba kuwa mtaishi hapo utasemaje? Na akisema ulikuwa unakuja na kulala hapo kwenu kama mme mtarajiwa utakataa?
Hii ni ngumu Sanaa kumfukuza kirahisi tena akiwa na mimba yako yaan labda mtoto akizaliwa ndo unaweza Fanya hivyoo kwa sharti la kuhudumia mtoto.
Ndio mimi BwanaKumbe ndio wewe jirani
Nahitaji ushauri wa dhati jamani, msiache kunishauri. Dunia ni mapito na mapito yametofautiana kati ya mtu na mtu, wengine tunatokea kwenye familia nzito, hivyo basi tunakutana na mitihani mizito mizito tuHiv bujibuji hv vistori unavitoaga wap? Napendaga kuvisoma maana hua Kama real story. Ila Kuna watu hawajakuelewa humu unakuta wako busy kumshaur bujibuji
Kamba boy, haha haha hahah aHaka kajitu kana kamba
Huna akili, zee zima hovyo.Yamenikuta walahi
Akubali tu kuwa ameshazidiwa akili au sio?Huyo mwanamke hesabu zake ni kali sana na habahatishi. tulia tu kaka mkubwa huna ujanja
Acha kujilegeza wewe, labda huchomoki peke yako si wote, mbona zee zima ila huna akili wewe?Sio wa kulaumiwa,
Kuna mazingira mkuu huchomoki.
Wanawake wana mbinu Sana.
Uyu wangu alianza kunisifia, baadae akaanza kuniita niende usiku.
Tena sometimes anafake sauti kana kwamba kavamiwa na majambaz, ukifika vitimbi haviishi, Mara samahan nlkua nakutania sikU nying hujaja uku.
sikU moja kalewa Sana,
Mfanyakaz mwenzie kanipigia niwah HARAKA anataka kujiua, kufika aliepga sim akasepa tukabak wawili.
Sarakasi zikaanza, mara anaomba nimsadie nmgonge TU kimoja apate nafuu Yuko ovyo.
Nkambia nmeoa, sihitaj mahusiano kwa Sasa,
Akadai hatutakua na mahusiano eti nifanye Kama vile daktari anamsaidia mgonjwa mahututi, anamiaka hajagongwa na anahidi kutunza siri.
Yaani anaomba "KIMOJA TU"
Nilipompa kimoja, anataka Cha pili nikamwambia acha ujinga nawai nyumban APO NMETOA TU MSAADA NTALIPWA NA MUNGU.
Baada ya Apo,
Akawa kila Mara anataka.
Kodi yake ilipoisha akaanza kuleta sarakasi,
Nkambia usinletee ujinga wewe.
Nkaanza kumtuma wife akadai Kodi mwnyw Kuna mpangaji Ni msumbufu, alipokutana na mtiti wa wife KODI AKALIPA.
Baadae akanitafuta kuniomba radhi,
Ila radhi yenyewe inavyoombwa Sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
Wee acha TU,
THE REST IS HISTORY [emoji4]
Maisha ni kusaidiana, kama wewe unazo akili nyingi, niazime basi kidogo, na mimi nitakupa hela maana najua hizo hunaHuna akili, zee zima hovyo.