Anadai ana mimba yangu, kutoa hataki, kulipa kodi hataki, kuhama hataki

Anadai ana mimba yangu, kutoa hataki, kulipa kodi hataki, kuhama hataki

Jamaa amenaswa kifala sana
Sio wa kulaumiwa,
Kuna mazingira mkuu huchomoki.

Wanawake wana mbinu Sana.

Uyu wangu alianza kunisifia, baadae akaanza kuniita niende usiku.

Tena sometimes anafake sauti kana kwamba kavamiwa na majambaz, ukifika vitimbi haviishi, Mara samahan nlkua nakutania sikU nying hujaja uku.

sikU moja kalewa Sana,
Mfanyakaz mwenzie kanipigia niwah HARAKA anataka kujiua, kufika aliepga sim akasepa tukabak wawili.

Sarakasi zikaanza, mara anaomba nimsadie nmgonge TU kimoja apate nafuu Yuko ovyo.

Nkambia nmeoa, sihitaj mahusiano kwa Sasa,
Akadai hatutakua na mahusiano eti nifanye Kama vile daktari anamsaidia mgonjwa mahututi, anamiaka hajagongwa na anahidi kutunza siri.

Yaani anaomba "KIMOJA TU"


Nilipompa kimoja, anataka Cha pili nikamwambia acha ujinga nawai nyumban APO NMETOA TU MSAADA NTALIPWA NA MUNGU.

Baada ya Apo,
Akawa kila Mara anataka.

Kodi yake ilipoisha akaanza kuleta sarakasi,
Nkambia usinletee ujinga wewe.

Nkaanza kumtuma wife akadai Kodi mwnyw Kuna mpangaji Ni msumbufu, alipokutana na mtiti wa wife KODI AKALIPA.

Baadae akanitafuta kuniomba radhi,

Ila radhi yenyewe inavyoombwa Sasa[emoji23][emoji23][emoji23]

Wee acha TU,
THE REST IS HISTORY [emoji4]
 
Mzee Mwenzangu Asprin ukuje ushauri jambo kwa Buji
Nimekuja mbio nikajua umenikubalia lile ombi langu...
1630517866663.png
 
Sio wa kulaumiwa,
Kuna mazingira mkuu huchomoki.

Wanawake wana mbinu Sana.

Uyu wangu alianza kunisifia, baadae akaanza kuniita niende usiku.

Tena sometimes anafake sauti kana kwamba kavamiwa na majambaz, ukifika vitimbi haviishi, Mara samahan nlkua nakutania sikU nying hujaja uku.

sikU moja kalewa Sana,
Mfanyakaz mwenzie kanipigia niwah HARAKA anataka kujiua, kufika aliepga sim akasepa tukabak wawili.

Sarakasi zikaanza, mara anaomba nimsadie nmgonge TU kimoja apate nafuu Yuko ovyo.

Nkambia nmeoa, sihitaj mahusiano kwa Sasa,
Akadai hatutakua na mahusiano eti nifanye Kama vile daktari anamsaidia mgonjwa mahututi, anamiaka hajagongwa na anahidi kutunza siri.

Yaani anaomba "KIMOJA TU"


Nilipompa kimoja, anataka Cha pili nikamwambia acha ujinga nawai nyumban APO NMETOA TU MSAADA NTALIPWA NA MUNGU.

Baada ya Apo,
Akawa kila Mara anataka.

Kodi yake ilipoisha akaanza kuleta sarakasi,
Nkambia usinletee ujinga wewe.

Nkaanza kumtuma wife akadai Kodi mwnyw Kuna mpangaji Ni msumbufu, alipokutana na mtiti wa wife KODI AKALIPA.

Baadae akanitafuta kuniomba radhi,

Ila radhi yenyewe inavyoombwa Sasa[emoji23][emoji23][emoji23]

Wee acha TU,
THE REST IS HISTORY [emoji4]
Ukapiga tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hawa viumbe bhana alafu bado wanalalamika wanataka gender equality
 
Wanaume ndiyo mnasababisha wanawake wawaloge maana hapo binti kishapiga mahesabu tayari yake na mtoto.
 
Ukapiga tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hawa viumbe bhana alafu bado wanalalamika wanataka gender equality
Hawa viumbe acha KABISA mkuu[emoji2]

Nilipiga ndio, Sasa baadae Sijui ninutamu Sijui Ni Nini.

Namimi mwnyw nkajikuta nmenogewa, mbusus ilkua tight,yamoto afu kwa ndani nyama zake texture yake Kama kitaulo flani hivi chakutekenyea kichwa.

Ukisugua unaiskia inavyotekenya angle zote, ikawa Kama kamchezo.

Baadae akaanza eti condom hazimpi total pleasure, nkampima Yuko fresh tukaanza kupekua.

Kwenye kupekua Sasa ikawa napiga afu namwaga nje,
Akawa ananuna eti namnyima utamu.

Nkauliza kwanini,
AkajibuSperm huwa zinatabia ya kumnogesha zaidi zikimwagwa ndani.

Afu zinamsaidia kuiweka shape take vizur hips zinaongezeka na chunusi zinnaondoka usoni.

Nkambia,
acha Ramli chonganishi, hamna chemistry ya hivyo.
Nkaendelea kumwaga nje.

Baadae akafunguka kua anataman Sana kuzaa na Mimi,
Anatamani Sana mtoto, ananipenda hawezi kuishi bila Mimi.

Nkamwambia kwasasa Sina bajeti ya mtoto Tena,
Akadai nimpatie TU mtoto, maswala ya kulea ata nisiwe na shida anajiweza kiuchumi atamlea tu mwenyewe na Wala MKE wangu hatojua.

Mmh!
Iyo kauli MASKIO YAKANISIMAMA, machale yakanicheza.[emoji848]

What's behind all this, kwanini anapush Sana uyu mdada Aya mahusiano.[emoji848]

Aya mambo ya kujirisk eti nimzalishe atalea mwenyewe yanatoka wapi.[emoji848]

Iyo Siri ya kuzaa nae na kumficha mtoto, huo ujasiri anatoa wapi[emoji848]

Afu mdada mwenyewe Wala sio kwamba Yuko Kwenye umri hatarishi Wala Nini (she's only 24 na Bado mbichi kabisa)

Wala sio kwamba Ni single mother Wala Nini?

Hii presha ya kuzaa na Mimi inatoka wapi.
 
Hawa viumbe acha KABISA mkuu[emoji2]

Nilipiga ndio, Sasa baadae Sijui ninutamu Sijui Ni Nini.

Namimi mwnyw nkajikuta nmenogewa, mbusus ilkua tight,yamoto afu kwa ndani nyama zake texture yake Kama kitaulo flani hivi chakutekenyea kichwa.

Ukisugua unaiskia inavyotekenya angle zote, ikawa Kama kamchezo.

Baadae akaanza eti condom hazimpi total pleasure, nkampima Yuko fresh tukaanza kupekua.

Kwenye kupekua Sasa ikawa napiga afu namwaga nje,
Akawa ananuna eti namnyima utamu.

Nkauliza kwanini,
AkajibuSperm huwa zinatabia ya kumnogesha zaidi zikimwagwa ndani.

Afu zinamsaidia kuiweka shape take vizur hips zinaongezeka na chunusi zinnaondoka usoni.

Nkambia,
acha Ramli chonganishi, hamna chemistry ya hivyo.
Nkaendelea kumwaga nje.

Baadae akafunguka kua anataman Sana kuzaa na Mimi,

Apo Akili ikafunguka nikastuka hii isije kua janja janja ya SUNGURA na FISI[emoji4]
Matumizi mabaya ya sperm hayo
 
Nina kajinyumba kangu kadogo kakushikia kiwanja Goba kunguru, kana vyumba viwili vya kulala, sebule, chumba kimoja kina choo na bafu ndani na pia kina choo cha wageni jirani na sebuleni.

Yaliyonikuta najuta kuzaliwa jamani, natamani nalie, kilio hakitoki, natatamani niende kwa Mwamposa nikanywe lori zima la maji ya upako, na nikitoka huko niende kwa Sharifu Majini, maana mambo yamenifika pabaya.

Kwenye kajumba kangu haka, kuna jamaa yangu pia ni dalalidali wa nyumba, nilipokuwa nakamalizia akaniambia kuwa anataka kuniletea mpangaji wa kunilipa laki 4 kwa mwezi, nikacheka kizungu, nikasema mlete fasta asije akalaghaiw na madaklali wenye nyumba za mbavu za mbwa wamuharibu na kunghiribu akili.

Kweli akamleta binti mmoja mkali sana, amemliza chuo, kapata kazi kampuni moja ya fedha hapo Mlimani City. Binti kaja na kibunda chake mkononi, kasema anataka kulipa miezi sita.

Nikakubali, nikabeba mzigo na kuondoka.

Kutokana na usasa wa mifumo ya umeme na maji na ya kiulinzi binti alikuwa akinipigia simu mara kwa mara kuniuliza kile na hiki.

Tukazoeana tukawa tukikutana mara kadhaa mwisho wa wiki, na taratibu taratibu nikajikuta kamoyo kanadondokea upande wa mashariki ya uwanja.

Halaula, mara penzi likawa jau, mambo moto moto, yakaongezeka hadi yakawa mpwitompwito.

Siku zikaenda, binti mwili unabadilika, tumbo linaongezeka, hasemi kuwa ana mimba, mimba ilipofika miezi sita ndio anasema anaujauzito wangu, kuhama hataki, kutoka hataki, kulipa kodi hataki, anasema hiyo ni nyumba yake yeye na kiumbe wake ajaye.

Jamani, hivi huyu Mpalestina anataka kunipora nyumba hivihivi mchana kweupe, ananionea kwasababu mimi ni msukuma Mshamba...

Sasa hajui, nimenda kuwatafuta madalali wa kupiga minada nyumba, watangaze na gari yao kuwa hiyo nyumba inadaiwa na benki na jumamosi ndio mnada wenyewe. Tayari nimesha mseti mnunuzi feki. Kuanzia kesho gari inapita mitaani na maspika jioni mida ambayo amerudi kazini, na mlabgoni wataweka notice yao ya mnada.
Jumamosi atake asitake atatoka.

Sanasana atapata grace period ya siku moja tu...



Hiiiiiiiiiiiii baghoshaaaaa
Kuna kujidanganya ati tuishi nao kwa akili! Nani asiye nazo hapo?
 
Hawa viumbe acha KABISA mkuu[emoji2]

Nilipiga ndio, Sasa baadae Sijui ninutamu Sijui Ni Nini.

Namimi mwnyw nkajikuta nmenogewa, mbusus ilkua tight,yamoto afu kwa ndani nyama zake texture yake Kama kitaulo flani hivi chakutekenyea kichwa.

Ukisugua unaiskia inavyotekenya angle zote, ikawa Kama kamchezo.

Baadae akaanza eti condom hazimpi total pleasure, nkampima Yuko fresh tukaanza kupekua.

Kwenye kupekua Sasa ikawa napiga afu namwaga nje,
Akawa ananuna eti namnyima utamu.

Nkauliza kwanini,
AkajibuSperm huwa zinatabia ya kumnogesha zaidi zikimwagwa ndani.

Afu zinamsaidia kuiweka shape take vizur hips zinaongezeka na chunusi zinnaondoka usoni.

Nkambia,
acha Ramli chonganishi, hamna chemistry ya hivyo.
Nkaendelea kumwaga nje.

Baadae akafunguka kua anataman Sana kuzaa na Mimi,
Anatamani Sana mtoto, ananipenda hawezi kuishi bila Mimi.

Nkamwambia kwasasa Sina bajeti ya mtoto Tena,
Akadai nimpatie TU mtoto, maswala ya kulea ata nisiwe na shida anajiweza kiuchumi atamlea tu mwenyewe na Wala MKE wangu hatojua.

Mmh!
Iyo kauli MASKIO YAKANISIMAMA, machale yakanicheza.[emoji848]

What's behind all this, kwanini anapush Sana uyu mdada Aya mahusiano.[emoji848]

Aya mambo ya kujirisk eti nimzalishe atalea mwenyewe yanatoka wapi.[emoji848]

Iyo Siri ya kuzaa nae na kumficha mtoto, huo ujasiri anatoa wapi[emoji848]

Afu mdada mwenyewe Wala sio kwamba Yuko Kwenye umri hatarishi Wala Nini (she's only 24 na Bado mbichi kabisa)

Wala sio kwamba Ni single mother Wala Nini?

Hii presha ya kuzaa na Mimi inatoka wapi.
Mbususu za kama kitaulo na vinyam kwa ndani ngumu sana kuchoka ni kama zina kuna kwa ndani na kimchanga changa hivi...
Ila hawa viumbe ni zaid ya hatari unaweza jikuta hufanyi ya muhimu unawekeza kwao tu
 
Mbususu za kama kitaulo na vinyam kwa ndani ngumu sana kuchoka ni kama zina kuna kwa ndani na kimchanga changa hivi...
Ila hawa viumbe ni zaid ya hatari unaweza jikuta hufanyi ya muhimu unawekeza kwao tu
Wee acha KABISA,

Kila sikU unasema leo nakula Mara ya MWISHO.

Kesho yake unarudi tena
 
Kazi nyepesi sana.

Nenda na mnunuzi feki wa nyumba na mwenyekiti wa mtaa, kabidhi nyumba kwa mnunuzi mpya shuhuli nyingine muachie mwenyekiti na mgambo watamaliza.
 
Nilidediketiwa wimbo wa Shanice, Super Woman, nikadata kabisa nikajiona nimepata mke kabisa na shule hataki Tena.

Baba kapiga mtoto mpaka kachoka, kamtia ndani LAKINI dogo haelewi wala hasikii.

Dingi ikabidi anifuate na mikwara kibao, nikamwambia issue ni moyo wa mwanao.

Nikimwacha kesho asubuhi mtazika. Dingi akawa mpole, akaona Bora ampeleke mtoto Nairobi kusoma boarding school.

 
Back
Top Bottom