Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #81
Mna lenu jamboHuyo mwanamke hesabu zake ni kali sana na habahatishi. tulia tu kaka mkubwa huna ujanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mna lenu jamboHuyo mwanamke hesabu zake ni kali sana na habahatishi. tulia tu kaka mkubwa huna ujanja
Wachawi sanaYaani mi nlishawahi ruka viunzi vyake nikisimulia humu hapatoshi.
Wapangaji wakike Ni nyoka mno.
Imeisha hiyo mkabidhi tu hati yake usitafute makuu
Anifanye msukule?we ngosha unafeli, si umuchukue jumlajumla
Dogo umeanza majungu. Sio ehhhHii inaitwa kupatwa kwa verified USER. Wanawake nyoko sana
Unanisimanga kwenye Mali zangu?Umekaribishwa mjini kizembe
Muziki was Amarula na K Vant aisee, nakuja fastaaaBrother achana naye kwanza njoo tukate kiuView attachment 1919702
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Mnataka mnibambukize kesi mrithi nyumba?Unavuna ulicho panda!
Ukienda mbofu mbofu utafia jela!
Umedata weweDogo umeanza majungu. Sio ehhh
Ujanja woote ulio nao ulikuwa hujui Honey port?![emoji23][emoji23][emoji23]Mnataka mnibambukize kesi mrithi nyumba?
Kinehe wang'wise, yakushika mumabhuungulu!!😅😅😂Nina kajinyumba kangu kadogo kakushikia kiwanja Goba kunguru, kana vyumba viwili vya kulala, sebule, chumba kimoja kina choo na bafu ndani na pia kina choo cha wageni jirani na sebuleni.
Yaliyonikuta najuta kuzaliwa jamani, natamani nilie, kilio hakitoki, natatamani niende kwa Mwamposa nikanywe lori zima la maji ya upako, na nikitoka huko niende kwa Sharifu Majini, maana mambo yamenifika pabaya.
Kwenye kajumba kangu haka, kuna jamaa yangu pia ni dalali wa nyumba, nilipokuwa nakamalizia akaniambia kuwa anataka kuniletea mpangaji wa kunilipa laki 4 kwa mwezi, nikacheka kizungu, nikasema mlete fasta asije akalaghaiwa na madalali wenye nyumba za mbavu za mbwa wamuharibu na kunghiribu akili.
Kweli akamleta binti mmoja mkali sana, amemliza chuo, kapata kazi kampuni moja ya fedha hapo Mlimani City. Binti kaja na kibunda chake mkononi, kasema anataka kulipa miezi sita.
Nikakubali, nikabeba mzigo na kuondoka.
Kutokana na usasa wa mifumo ya umeme na maji na ya kiulinzi binti alikuwa akinipigia simu mara kwa mara kuniuliza kile na hiki.
Tukazoeana tukawa tukikutana mara kadhaa mwisho wa wiki, na taratibu taratibu nikajikuta kamoyo kanadondokea upande wa mashariki ya uwanja.
Halaula, mara penzi likawa jau, mambo moto moto, yakaongezeka hadi yakawa mpwitompwito.
Siku zikaenda, binti mwili unabadilika, tumbo linaongezeka, hasemi kuwa ana mimba, mimba ilipofika miezi sita ndio anasema ana ujauzito wangu, kuhama hataki, kutoka hataki, kulipa kodi hataki, anasema hiyo ni nyumba yake yeye na kiumbe wake ajaye.
Jamani, hivi huyu Mpalestina anataka kunipora nyumba hivihivi mchana kweupe, ananionea kwasababu mimi ni msukuma Mshamba...
Sasa hajui, nimeenda kuwatafuta madalali wa kupiga minada nyumba, watangaze na gari yao kuwa hiyo nyumba inadaiwa na benki na Jumamosi ndio mnada wenyewe. Tayari nimesha mseti mnunuzi feki. Kuanzia kesho gari inapita mitaani na maspika jioni mida ambayo amerudi kazini, na mlangoni wataweka notice yao ya mnada.
Jumamosi atake asitake atatoka.
Sanasana atapata grace period ya siku moja tu...
Hiiiiiiiiiiiii baghoshaaaaa
Umeweka upako wa Magufuli kabisaKinehe wang'wise, yakushika mumabhuungulu!!😅😅😂
Nasubili mrejesho hiyo jmosi ndo ntashauri
BTW pisi kali si uhalalishe tu mjuba! Au ulikuwa humwagiimo.
Ila kama ni mparestina kweli du, eb ngoja nisubili kwanza hiyo jumamosi. Usikose kunitag tafadhari
Kwani angekupa mimba hasingehama?Nilipoona anazidisha ukaribu nilimpa notice, sasa hivi kila mtu anajua nafasi yake.
Hii chai, watu tunafukuza wake wa ndoa itakuwa mpangaji mwenye mimba?Nina kajinyumba kangu kadogo kakushikia kiwanja Goba kunguru, kana vyumba viwili vya kulala, sebule, chumba kimoja kina choo na bafu ndani na pia kina choo cha wageni jirani na sebuleni.
Yaliyonikuta najuta kuzaliwa jamani, natamani nilie, kilio hakitoki, natatamani niende kwa Mwamposa nikanywe lori zima la maji ya upako, na nikitoka huko niende kwa Sharifu Majini, maana mambo yamenifika pabaya.
Kwenye kajumba kangu haka, kuna jamaa yangu pia ni dalali wa nyumba, nilipokuwa nakamalizia akaniambia kuwa anataka kuniletea mpangaji wa kunilipa laki 4 kwa mwezi, nikacheka kizungu, nikasema mlete fasta asije akalaghaiwa na madalali wenye nyumba za mbavu za mbwa wamuharibu na kunghiribu akili.
Kweli akamleta binti mmoja mkali sana, amemliza chuo, kapata kazi kampuni moja ya fedha hapo Mlimani City. Binti kaja na kibunda chake mkononi, kasema anataka kulipa miezi sita.
Nikakubali, nikabeba mzigo na kuondoka.
Kutokana na usasa wa mifumo ya umeme na maji na ya kiulinzi binti alikuwa akinipigia simu mara kwa mara kuniuliza kile na hiki.
Tukazoeana tukawa tukikutana mara kadhaa mwisho wa wiki, na taratibu taratibu nikajikuta kamoyo kanadondokea upande wa mashariki ya uwanja.
Halaula, mara penzi likawa jau, mambo moto moto, yakaongezeka hadi yakawa mpwitompwito.
Siku zikaenda, binti mwili unabadilika, tumbo linaongezeka, hasemi kuwa ana mimba, mimba ilipofika miezi sita ndio anasema ana ujauzito wangu, kuhama hataki, kutoka hataki, kulipa kodi hataki, anasema hiyo ni nyumba yake yeye na kiumbe wake ajaye.
Jamani, hivi huyu Mpalestina anataka kunipora nyumba hivihivi mchana kweupe, ananionea kwasababu mimi ni msukuma Mshamba...
Sasa hajui, nimeenda kuwatafuta madalali wa kupiga minada nyumba, watangaze na gari yao kuwa hiyo nyumba inadaiwa na benki na Jumamosi ndio mnada wenyewe. Tayari nimesha mseti mnunuzi feki. Kuanzia kesho gari inapita mitaani na maspika jioni mida ambayo amerudi kazini, na mlangoni wataweka notice yao ya mnada.
Jumamosi atake asitake atatoka.
Sanasana atapata grace period ya siku moja tu...
Hiiiiiiiiiiiii baghoshaaaaa
Namshangaa, hii mbona nyepesi Sana tu.Hii chai, watu tunafukuza wake wa ndoa itakuwa mpangaji mwenye mimba?
Kapime DNA mtoto kama ni wako, miesi sita anasikilizia tu, thibitishaNina kajinyumba kangu kadogo kakushikia kiwanja Goba kunguru, kana vyumba viwili vya kulala, sebule, chumba kimoja kina choo na bafu ndani na pia kina choo cha wageni jirani na sebuleni.
Yaliyonikuta najuta kuzaliwa jamani, natamani nilie, kilio hakitoki, natatamani niende kwa Mwamposa nikanywe lori zima la maji ya upako, na nikitoka huko niende kwa Sharifu Majini, maana mambo yamenifika pabaya.
Kwenye kajumba kangu haka, kuna jamaa yangu pia ni dalali wa nyumba, nilipokuwa nakamalizia akaniambia kuwa anataka kuniletea mpangaji wa kunilipa laki 4 kwa mwezi, nikacheka kizungu, nikasema mlete fasta asije akalaghaiwa na madalali wenye nyumba za mbavu za mbwa wamuharibu na kunghiribu akili.
Kweli akamleta binti mmoja mkali sana, amemliza chuo, kapata kazi kampuni moja ya fedha hapo Mlimani City. Binti kaja na kibunda chake mkononi, kasema anataka kulipa miezi sita.
Nikakubali, nikabeba mzigo na kuondoka.
Kutokana na usasa wa mifumo ya umeme na maji na ya kiulinzi binti alikuwa akinipigia simu mara kwa mara kuniuliza kile na hiki.
Tukazoeana tukawa tukikutana mara kadhaa mwisho wa wiki, na taratibu taratibu nikajikuta kamoyo kanadondokea upande wa mashariki ya uwanja.
Halaula, mara penzi likawa jau, mambo moto moto, yakaongezeka hadi yakawa mpwitompwito.
Siku zikaenda, binti mwili unabadilika, tumbo linaongezeka, hasemi kuwa ana mimba, mimba ilipofika miezi sita ndio anasema ana ujauzito wangu, kuhama hataki, kutoka hataki, kulipa kodi hataki, anasema hiyo ni nyumba yake yeye na kiumbe wake ajaye.
Jamani, hivi huyu Mpalestina anataka kunipora nyumba hivihivi mchana kweupe, ananionea kwasababu mimi ni msukuma Mshamba...
Sasa hajui, nimeenda kuwatafuta madalali wa kupiga minada nyumba, watangaze na gari yao kuwa hiyo nyumba inadaiwa na benki na Jumamosi ndio mnada wenyewe. Tayari nimesha mseti mnunuzi feki. Kuanzia kesho gari inapita mitaani na maspika jioni mida ambayo amerudi kazini, na mlangoni wataweka notice yao ya mnada.
Jumamosi atake asitake atatoka.
Sanasana atapata grace period ya siku moja tu...
Hiiiiiiiiiiiii baghoshaaaaa
Njoo jumamosi ufurahie, nauli nalipa Mimi Kama MwakinyoHii chai, watu tunafukuza wake wa ndoa itakuwa mpangaji mwenye mimba?
Tutisekanagi bhaghoshaKinehe wang'wise, yakushika mumabhuungulu!!😅😅😂
Nasubili mrejesho hiyo jmosi ndo ntashauri
BTW pisi kali si uhalalishe tu mjuba! Au ulikuwa humwagiimo.
Ila kama ni mparestina kweli du, eb ngoja nisubili kwanza hiyo jumamosi. Usikose kunitag tafadhari