Anadai ana mimba yangu, kutoa hataki, kulipa kodi hataki, kuhama hataki

Anadai ana mimba yangu, kutoa hataki, kulipa kodi hataki, kuhama hataki

Ukisikia mitihani ndo hiii sasa ,sasa unamfukuza yes ,na mimba ni yako yes hivi akienda ustawi wa jamii kwamba alikuja kama mpangaji ilaa ukampenda na kumpa mimba kuwa mtaishi hapo utasemaje ? Na akisema ulikuwa unakuja na kulala hapo kwenu kama mme mtarajiwa utakataa?

Hii ni ngumu Sanaa kumfukuza kirahisi tena akiwa na mimba yako yaan labda mtoto akizaliwa ndo unaweza Fanya hivyoo kwa sharti la kuhudumia mtoto
Fumbo la imani
 
Ilinitokea hii issue, mpangaji niliye mpaka ni wa miaka 55-55 hivi ameachana na mke wake ndiyo anaanza moja. Kukiwa na issue za nyumba mkikutana anakupa na chipsets wine. Yeye bahati nzuri kodi anaingiza bank. Nikaona jamaa ana hesabu za mbali sana.
Ukampa za chembe mapema
 
Pole sana, nikuambie tu kama kweli mimba ni yako Shukuru Mungu, na umwambie huna mpango nae na hujawahi mpenda. Mpige matukio ataondoka mwenyewe.

Hii Tabia ya wadada wa mjini kutegesha mimba hasa anapoona Kuna uhakika wa maisha imekolea Ila na nyie wanaume em mvaage kondom bhana! Ndo Nini kupiga peku peku.

Soln ni hyo tu aking'ang'ania piga matukio atakuchoka ataondoka na hatokufanya kitu.
 
Pole sana, nikuambie tu km kweli mimba ni yako Shukuru Mungu, na umwambie huna mpango nae na hujawahi mpenda. Mpige matukio ataondoka mwenyewe.

Hii Tabia ya wadada wa mjini kutegesha mimba hasa anapoona Kuna uhakika wa maisha imekolea Ila na nyie wanaume em mvaage kondom bhana! Ndo Nini kupiga peku peku.

Soln ni hyo tu aking'ang'ania piga matukio atakuchoka ataondoka na hatokufanya kitu.
Kuna mademu wa kuvalia kondom, demu Mkali zaidi ya Pisi kali
 
Mbinu murua KABISA[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom