Anadanga akiwa na mimba

Anadanga akiwa na mimba

Mkuu huna Namba zake huyo jirani,,nitumie pm mkuu.

Mwanamke akiwa na mimba anakuwaga mtamu Sana ,,

Sijuwi kwann..
 
Kuna jirani yangu jana aliingia matatizoni na simu kuvunjwa vipande vipande, yaani sisi wanawake sijui tuna matatizo gani?

Yaani unakuta mtu ana mimba halafu anafanya umalaya. Mumewe akiwa kazini yeye anafanya kutoka usiku na kwenda kwenye ushenzi wake. Anafanya kulichomekea tumbo lisionekana sana kisha anatoka.

Jana kajidhalilisha sana, hebu wanawake wenzangu/wasichana tuwe watulivu kwenye mahusiano na kuwa waaminifu. Haipendezi kwa mwanamke kuwa na macho ya nje, hebu tuitambue thamani yetu basi!

Huwa tunasema wanaume ni wabaya ila mengine tunajitakia wenyewe.
Hyuo ni Malaya toka mwanzo sema huyo fala yeye ni zuzu na bazazi kaoa Malaya bila kujua. KATAA NDOA KATAA KUOA
 
Halafu unaweza ukakuta jamaa mimba sio yake.Wanawake wa karne hii wamepinda.
 
Unamlaumu bure, ukute alidanga apate hela ya pampasi kuna wanaume ni irresponsible
 
Unamlaumu bure, ukute alidanga apate hela ya pampasi kuna wanaume ni irresponsible
sawa kuna wanaume irresponsible but huyo mtoto atakapo zaliwa tutamweka kwenye mazingira gani?ukuaji wake utakuaje?..Mumewe anajitahidi sema sisi wanawake haswa hawa wakiswahili kazi yao ni kuendekeza vitu vya kijinga mbele .Mtu akiona mwenzie kapika nyama yeye akiona siku hio anapika mchicha ananyong’onyea mno wakati ni vitu vya kawaida tu…leo unacho utapika vizuri na kesho huna utakula tu kawaida ila ukisema uishi maisha ya kushindana na kujinyima furaha ndio utaanza Umalaya !
 
Kuna jirani yangu jana aliingia matatizoni na simu kuvunjwa vipande vipande, yaani sisi wanawake sijui tuna matatizo gani?

Yaani unakuta mtu ana mimba halafu anafanya umalaya. Mumewe akiwa kazini yeye anafanya kutoka usiku na kwenda kwenye ushenzi wake. Anafanya kulichomekea tumbo lisionekana sana kisha anatoka.

Jana kajidhalilisha sana, hebu wanawake wenzangu/wasichana tuwe watulivu kwenye mahusiano na kuwa waaminifu. Haipendezi kwa mwanamke kuwa na macho ya nje, hebu tuitambue thamani yetu basi!

Huwa tunasema wanaume ni wabaya ila mengine tunajitakia wenyewe.
Namfahamu jina lake linaanzia A
 
Back
Top Bottom