Anae fahamu hizi simu za Kyocera BASIO 3 anipe mwanga kidogo kuzihusu nisije pigwa za kichwa PLEASE

Anae fahamu hizi simu za Kyocera BASIO 3 anipe mwanga kidogo kuzihusu nisije pigwa za kichwa PLEASE

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
712
Reaction score
1,748
FB_IMG_1661010661846.jpg
FB_IMG_1661010692652.jpg

Nimezikuta mjini unguja zinauzwa 90k mpaka 100k nimeingia google nimekuta GSM arena hawajazifanyia review na ni simu ya 2017-2018 na kwenye baadhi ya apps zimeandikwa kichina nimaogopa nisije yakanyaga nikavuka zangu maji nikaondoka lakini hivi karibuni nitaenda tena huko Zanzibar sasa nahitaji kujua kwa anaejua hizi simu ziko good niichukue au niipotezee msaada tafadhali
 
View attachment 2329566View attachment 2329567
Nimezikuta mjini unguja zinauzwa 90k mpaka 100k nimeingia google nimekuta GSM arena hawajazifanyia review na ni simu ya 2017-2018 na kwenye baadhi ya apps zimeandikwa kichina nimaogopa nisije yakanyaga nikavuka zangu maji nikaondoka lakini hivi karibuni nitaenda tena huko Zanzibar sasa nahitaji kujua kwa anaejua hizi simu ziko good niichukue au niipotezee msaada tafadhali
Simu za android zenye physical home button kwa mwaka 2022 kwangu naona cheche
 
Kyocera ni wakorea, hiko ni kikorea si kichina.

Sd 430, ram 3GB, battery 3000mah, storage 32GB amdroid 7. Si mbaya kwa hio bei 90k, sema usitegemee maajabu mkuu, matumizi ya kawaida kupiga na whatsapp itafanya ila task yoyote nzito sahau.

Ila haina band 800 na 2600 za 4g ina band 1800 tu, Tigo 4G utapata katikati ya jiji pembeni na mikoani hutapata, same kwa halotel 4g.
 
We rukia tu huo mtumbwi wa vibwengo, nakupa pole in advance .
 
Kyocera ni wakorea, hiko ni kikorea si kichina.

Sd 430, ram 3GB, battery 3000mah, storage 32GB amdroid 7. Si mbaya kwa hio bei 90k, sema usitegemee maajabu mkuu, matumizi ya kawaida kupiga na whatsapp itafanya ila task yoyote nzito sahau.

Ila haina band 800 na 2600 za 4g ina band 1800 tu, Tigo 4G utapata katikati ya jiji pembeni na mikoani hutapata, same kwa halotel 4g.
Majanga sana iyo kitu ilinikutaga izo simu za Zanzibar ndio majanga yake ukitoka nje ya mji inakamata G
 
Naona bajeti yake imebana
Mkuu natambua unachokisema ila ni bora ujibane bane ujivute hadi 250k upate kisamsung cha A series cha mwaka jana ama mwaka huu ambacho una uhakika utafurahia kua na kismat phone kuliko hizo za mwaka 2017.

Nakutakia kila la heri mkuu kwenye mapambano yako upate simu ya maana sio hizo za mwaka 2018
 
IPhone ndio simu pekee ambayo unaweza kuenjoy kutumia simu ya miaka hata 5 nyuma. Hizo nyingine utapata taabu sana.
 
Me naombeni kujuwa utaratibu wa kuingia Zanzibar, na nauli ni kiasi gani pia gharama za loage huko zinaendaje, nilifikili kwenda kuchukua vitu kule
 
Me naombeni kujuwa utaratibu wa kuingia Zanzibar, na nauli ni kiasi gani pia gharama za loage huko zinaendaje, nilifikili kwenda kuchukua vitu kule

Nauli zina madaraja nadhani economy ni 25,000 then zile VIP ni zaidi ya hiyo.

Lodge ndo naambiwa zimechangamka sana yaan sana tu.

Kuchukua vitu kule bei inaweza kuwa chini kidogo ila ukifika bandarini pale baggage room utakutana na wazee wa TRA kama kawaida
 
Nauli zina madaraja nadhani economy ni 25,000 then zile VIP ni zaidi ya hiyo.

Lodge ndo naambiwa zimechangamka sana yaan sana tu.

Kuchukua vitu kule bei inaweza kuwa chini kidogo ila ukifika bandarini pale baggage room utakutana na wazee wa TRA kama kawaida
asante mkuu, vip hata Simu TRA wanakagua yaani vitu vidogo vidogo vinavyobebeka kwenye bag
 
asante mkuu, vip hata Simu TRA wanakagua yaani vitu vidogo vidogo vinavyobebeka kwenye bag

Hizo za kwenye begi dogo sio rahisi kukagua au ukibeba mfukoni kawaida hawana issue

Shida ni pale umepakiza kama mzigo (cargo) hapo lazima upite baggage room wakunyooshe kidogo
 
Back
Top Bottom