Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
du!!dawa zote umemaliza!!!!!!na za MziziMkavu pia?ila zangu hujazitumia!!
Mkuu Zamaulid Hajatumia Dawa zangu huku niliko kuna mtu katumia dawa zangu alikuwa na kilo 300 baada ya kutumia dawa zangu karibu miaka 2 sasa yupo na kilo 80 akitumia Dawa zangu akitaka asitake atapungukiwa na uzito jamani muonyesheni huyu bibie.@Madame B Gym ya wanawake watupu.du!!dawa zote umemaliza!!!!!!na za MziziMkavu pia?ila zangu hujazitumia!!
we nipe kadi zako za benki nikae nazo kwa mwezi mmoja tu!!ukiletewa benk statement mwenyewe mbona utapungu tu!!!!Ina maana na wewe unatoa tiba?
Nielekeze tiba au gym.
ha ha ha ha!basi jaribu maombi!au uache ujiendee utakapo ishia hapo hapo!!kwani unakunyima raha gani!!!Hadi hiyo nshafanya lakini wapii!
Niko palepale.
Habari wadau.
Naomba kuuliza, kama kuna member anaejua gym yoyote ya wanawake watupu iliyoko mitaa ya Kinondoni A au B anifahamishe.
Nataka nianze gym maana dawa zote nimemaliza, lakini mwili umesimama palepale.
Asanteni.
Na wewe ulienda gym?sasa shosti wewe ndio hujui......kujichanganya na hao jamaa ni burudani sana....wanatia moyo kweli.....
we niulize nikwambie.............
Na wewe ulienda gym?
Dah, mimi nina siri zote za wanawake wanaotaka kupunguza uzito na kurekebisha shape zao,
hebu ni-pm fasta Madame B uje upate mambo,
Angalizo: mpango-mkakati wangu ni zaidi ya Gym ya wanawake 'watupu', na utaipenda saaaaana
Tatizo mnakunywa pombe kimakosa;
- ukinywa unakunywa sanaa unapokuwa na stresss eti zikuondolee stress kumbe ndo inaongeza accumulation ya wastes na hops mwilini.
- unakunywa mara moja kwa wiki nyingii..hivyo mwili unajizoesha kuaccumulate ili kutumia kwa wiki nzima mpaka wikend ingine.
* jitahidi kunywa kila siku kwa kiasi...utaona mabadiliko!lol:A S 39: