Anaejua sakata la jamaa wa Kigamboni waliojiunganishia bomba la mafuta liliishia wapi atujuze

Makala ana file mezani kwake, ni suala la muda tu. 😀 😀

 
Kwani mwasahau upo mlango wa plea bargain [emoji848]
Na Waathirika (victims) wa uhalifu uliofanyika plea bargain inawasaidiaje baada ya Muhalifu kuachiwa!!?
 
Napinga kambi hapa,

Labda naweza kujua ni akina nani walichota pesa zote kwenye kibubu baada tu ya mjomba kuaga Dunia.
 
Ohooooo wausika ni watoto wa viongozi na viongozi wenyewe
 
Tuendelee kulalamika hadi tuzeeke.
Wajukuu zetu watakuja kuchukua hatua
 
Nakumbuka hili lilitokea wakati wa mwenda zake, CHA AJABU HATA YEYE ALIKUWA MPOLE, AKIMUACHIA DC KAZI YA KUPIGA KELELE.
 
Hii nchi bhana... yani kuna matukio yaitokea unajua ndo maana kuna msemo MCHAWI BINADAMU PAKA ANATUMWA TU.
 
Inaonekana unataka kujua kama watanzania bado wanafuatilia kesi yako?haya hongera baba umeshinda!
Ninavyochukia wahujumu uchumi yangekuwa maamuzi yangu hawa wote wakistahili shaba. Naheshimu mawazo yako
 
Mama hausiki ilikuwa enzu za mitano tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…