Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah siwez kuwa muha๐๐๐๐ hahah naona mzee hutaki kufananishwa na wala mawese.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah siwez kuwa muha๐๐๐๐ hahah naona mzee hutaki kufananishwa na wala mawese.
Hahaha kitambo sana bulaza, msalimie G SamUlidhani COVID imepita na mm?
Piiiiipiiiiii ...! unasikia anasema mimi unamwambia enhee ingia twende hachomoi mkuu...[emoji1]
Nb:Chuma kiwe cha ukweli sasa sio tubovu tubovu kinanuka petrol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We jamaa umenichekesha aisee.....sasa siye ambao gari zetu full kunuka petrol ndo tumekosa siyo!
Najaribu ku imagine huyo raisi ajaye kama atakuwa mtu wa pwani watu tutakulaje bata! Maana hapo alipo anateseka sana kama sisi tunavyohenyeka.
Make TZ Shamba la Bibi again!
Ha ha ha ha. Utatapeliwa mchana peupeHabari: Wakuu kuna "Kampuni" moja ya kigeni nimekuwa nikifanya nayo kazi kwa vipindi tofauti kila wanapopata tenda hapa Tz. Sasa kuna mradi wamemaliza na juzi wamekabidhi kwa mafanikio makubwa huku wakipew big" YES" na Wizara husika.
Sasa kuna kiasi flan cha Pesa bado nawadai but hawataki kunipa cash.
wanasema nichague waniachie gari moja kati ya hizo mbili. Sasa nimewaza nikilazimisha pesa2 ntakosa vyote mana ni muda tunasumbuana. Nimeona niombe Wataalam wa Magari mnijuze Thamani ya gari hizo, ubora, utumiaji wa mafuta na ipi nichukue kati ya hizo,?. Kwa harakaharaka Gari hizo walikuja nazo bado mpya na zimetumika miaka 2 na miezi3 na siku 17. kiasi nachowadai ni km Usd 6230. Je ni ipi nikichukua kati ya hizo gari nikiuza hata kwa bei ya hasara nitarudisha pesa yangu.
View attachment 1671543View attachment 1671544View attachment 1671546View attachment 1671552
Na Captain ni mzee wa MsogaMama Samia ndio rais now ๐
Jahazi liko sehemu salama ๐Na Captain ni mzee wa Msoga
Kwasababu ni matajiri na wana maisha ya kitajiri.Hao jamaa ni wazungu?? Kama ni wazungu chukua gari van guard mzee hio gari ni noma sana. Ukifanya kazi na wazungu project zao znavoisha hayo ndo matunda hawa jamaa sio wachoyo kama wahindi, waharabu nk. Mzungu huwa anaacha vitu kama alikodi nyumba anakupa kila kitu cha ndani gari anakuachia kiroho safi kwao ni vitu vya kawaida hivo. Tupe mrejesho huu uzi toka January ulifanikiwa??
Gari hizo kwa shape ni tofauti, ila kwa upande wa mifumo ya Engine, kwa matoleo hayo uliyoweka picha yanatumia Engine zinazofanana yaani 2AZ-FE, ikiwa na CC 2362(2400)!Habari: Wakuu kuna "Kampuni" moja ya kigeni nimekuwa nikifanya nayo kazi kwa vipindi tofauti kila wanapopata tenda hapa Tz. Sasa kuna mradi wamemaliza na juzi wamekabidhi kwa mafanikio makubwa huku wakipew big" YES" na Wizara husika.
Sasa kuna kiasi flan cha Pesa bado nawadai but hawataki kunipa cash.
wanasema nichague waniachie gari moja kati ya hizo mbili. Sasa nimewaza nikilazimisha pesa2 ntakosa vyote mana ni muda tunasumbuana. Nimeona niombe Wataalam wa Magari mnijuze Thamani ya gari hizo, ubora, utumiaji wa mafuta na ipi nichukue kati ya hizo,?. Kwa harakaharaka Gari hizo walikuja nazo bado mpya na zimetumika miaka 2 na miezi3 na siku 17. kiasi nachowadai ni km Usd 6230. Je ni ipi nikichukua kati ya hizo gari nikiuza hata kwa bei ya hasara nitarudisha pesa yangu.
View attachment 1671543View attachment 1671544View attachment 1671546View attachment 1671552
Kwasababu ni matajiri na wana maisha ya kitajiri.
UmeniuaHahahahah we huwajui wabongo! Tena ndio wataagiza kwa kasi. ๐๐๐!
Najaribu ku imagine huyo raisi ajaye kama atakuwa mtu wa pwani watu tutakulaje bata! Maana hapo alipo anateseka sana kama sisi tunavyohenyeka.
Make TZ Shamba la Bibi again!