Anafanya kazi kiwandani ameshajiwekea msingi wa umasikini milele

Anafanya kazi kiwandani ameshajiwekea msingi wa umasikini milele

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Kuna kazi ambayo ni kituko yaani kama za kiwandani unakuta mtu analipwa 5000 nauli humo humo kula humo humo halafu hapo hapo matusi ya wachina au wahindi koko yanamkabili wakina dada wanaliwa na wachina na kutumikishwa kama mbwa

Kuna viwanda vipo huko kibaha watu wanalambwa viboko wakizingua yaani jitu jeusi tena dume zima lipo kwenye ardhi yake ya taifa lake linalala kabisa halafu mjinga mmoja kutoka china analipiga bakora aisee vitu hivi vinahudhunisha na kuchekesha Kwa wakati mmoja hii sio kazi Bali ni msingi wa umasikini
 
Kuna kazi ambayo ni kituko yaani kama za kiwandani unakuta mtu analipwa 5000 halafu hapo hapo matusi ya wachina au wahindi koko yanamkabili wakina dada wanaliwa na wachina na kutumikishwa kama mbwa

Kuna viwanda vipo huko kibaha watu wanalambwa viboko wakizingua yaani jitu jeusi tena dume zima lipo kwenye ardhi yake ya taifa lake linalala kabisa halafu mjinga mmoja kutoka china analipiga bakora aisee vitu hivi vinahudhunisha na kuchekesha Kwa wakati mmoja hii sio kazi Bali ni msingi wa umasikini
Unaweza ukakuta akamuibia
 
Tatizo la kwanza ni wananchi wenyewe hawajitambui, cha pili ni Serikali kushindwa kuweka Sheria rafiki kwa wafanyakazi wa Nchi yake.

Marekani na baadhi ya nchi za ulaya wafanyakazi wa ndani(mabeki tatu) wana mikataba na kiwango cha kuwalipa kimewekwa kabisa ukikiuka jela inakuhusu pamoja na faini juu,

Ila nchi zetu hizi wafanyakazi sheria haziwalindi zinawalinda zaidi maboss na hata hizo chache nazo zinazowalinda waajiriwa bado zinapotoshwa kwasabab ya rushwa na uonevu,

Kiufupi Tanzania ni Nchi mfano wa jalala la Takataka ukifukua hukosi mavi.
 
Unaweza ukakuta akamuibia
Duh! Bro,sijui ni serikali haijali,au ni watu wenyewe hawajitambui. Kufanya kazi kwa wale watu,kunahitaji kujenga ujinga kiasi furani. Manyanyaso na mishahara yao,bora ukalime mboga mboga au uajiliwe sehemu nyingine. Sema tu utakuta watu wengine wanafata mkumbo,kwamba kuna chama cha wafanyakazi kitawatetea,na mambo mengine. Ile kazi huwezi kuendelea. Mshahara wenyewe utatoa,madeni yanazidi mshahara. Kulipwa, wengine atakupa nusu nusu mpaka iishe,kila baada ya wiki. Pesa isiyokuwa na msaada wowote. Sema tu ngozi nyeusi wenyewe hatupendani, kuna watu wengi wana fursa za maisha, lakini hawawastui wenzao.
 
Tatizo la kwanza ni wananchi wenyewe hawajitambui, cha pili ni Serikali kushindwa kuweka Sheria rafiki kwa wafanyakazi wa Nchi yake.

Marekani na baadhi ya nchi za ulaya wafanyakazi wa ndani(mabeki tatu) wana mikataba na kiwango cha kuwalipa kimewekwa kabisa ukikiuka jela inakuhusu pamoja na faini juu,

Ila nchi zetu hizi wafanyakazi sheria haziwalindi zinawalinda zaidi maboss na hata hizo chache nazo zinazowalinda waajiriwa bado zinapotoshwa kwasabab ya rushwa na uonevu,

Kiufupi Tanzania ni Nchi mfano wa jalala la Takataka ukifukua hukosi mavi.
Upo sahihi kabisa Jana nimetoka huko kibaha aisee ni maumivu Kuna jamaa kawashwa kibao na mchina halafu akawa anachekacheka tu aisee mijitu mieusi ni shida
 
Jamii zetu nyingi bado zinakabiliwa na ujinga na umasikini. Mtu yuko radhi akadhalilishwe ili tu apate hiyo hela ndogo. Wajerumani hawalipi hela ndogo kiasi hicho kwa waturuki na raia wa asia waliojazana kwenye viwanda vyao huko ulaya. Hawa wageni ilibidi waje na vibarua wao kabisa, wakose raia wetu wa kuwafanyia kazi zao kwa kuwa raia wana kazi zao za kuwapa kipato kikubwa
 
Kuna kazi ambayo ni kituko yaani kama za kiwandani unakuta mtu analipwa 5000 halafu hapo hapo matusi ya wachina au wahindi koko yanamkabili wakina dada wanaliwa na wachina na kutumikishwa kama mbwa

Kuna viwanda vipo huko kibaha watu wanalambwa viboko wakizingua yaani jitu jeusi tena dume zima lipo kwenye ardhi yake ya taifa lake linalala kabisa halafu mjinga mmoja kutoka china analipiga bakora aisee vitu hivi vinahudhunisha na kuchekesha Kwa wakati mmoja hii sio kazi Bali ni msingi wa umasikini
Mkuu kama we Mungu kakujaalia shukuru, waombee nao wajaaliwe kama wewe.....hakuna mtu anapenda kuishi kwa mateso hivyo.

Kama una msaada wasaidie kama hauna usiwasimange.
 
Mkuu kama we Mungu kakujaalia shukuru, waombee nao wajaaliwe kama wewe.....hakuna mtu anapenda kuishi kwa mateso hivyo.

Kama una msaada wasaidie kama hauna usiwasimange.
Hamna Cha kujaaliwa Wala nini wote tunajua life ni mapambano Sasa mtu anaruhusu kudhalilishwa na wajinga Fulani kutoka china kisa elfu 5 huyo mtu kwenye maisha yake haji kutoboa zaidi atakua anatafuta hela ya kula
 
Hawa vijana wetu wanaohitimu ngazi mbalimbali za elimu wasiwe wavivu wa kuanzisha shughuli zao binafsi kupata hela. Kama msetifiketi unaona haukupatii ajira staha weka sandukuni ingia mitaani fanya kitu halali cha kukupatia fedha au nenda shambani kalime na ufuge. Hii ya kukimbilia vibarua huko ni kwenda kurutubisha umasikini wa kujitakia
 
Hawa vijana wetu wanaohitimu ngazi mbalimbali za elimu wasiwe wavivu wa kuanzisha shughuli zao binafsi kupata hela. Kama msetifiketi unaona haukupatii ajira staha weka sandukuni ingia mitaani fanya kitu halali cha kukupatia fedha au nenda shambani kalime na ufuge. Hii ya kukimbilia vibarua huko ni kwenda kurutubisha umasikini wa kujitakia
Unajua Kuna watu hawajui kama umasikini nao unaweza kuujengea msingi mpaka unaondoka duniani wewe ni WA kutumikishwa tu na kuchekacheka hovyo mbele ya bosi
 
Hawa vijana wetu wanaohitimu ngazi mbalimbali za elimu wasiwe wavivu wa kuanzisha shughuli zao binafsi kupata hela. Kama msetifiketi unaona haukupatii ajira staha weka sandukuni ingia mitaani fanya kitu halali cha kukupatia fedha au nenda shambani kalime na ufuge. Hii ya kukimbilia vibarua huko ni kwenda kurutubisha umasikini wa kujitakia
Unalimaje bila mtaji na mtaji utaupata vipi bila kufanya vibarua.

Hivi wazee haya maoni mnayotoa ni kwa ajili ya Tanzania ama wenzetu mpo mambele
 
Kuna kazi ambayo ni kituko yaani kama za kiwandani unakuta mtu analipwa 5000 nauli humo humo kula humo humo halafu hapo hapo matusi ya wachina au wahindi koko yanamkabili wakina dada wanaliwa na wachina na kutumikishwa kama mbwa

Kuna viwanda vipo huko kibaha watu wanalambwa viboko wakizingua yaani jitu jeusi tena dume zima lipo kwenye ardhi yake ya taifa lake linalala kabisa halafu mjinga mmoja kutoka china analipiga bakora aisee vitu hivi vinahudhunisha na kuchekesha Kwa wakati mmoja hii sio kazi Bali ni msingi wa umasikini
Usimcheke muhurumie,unajua umasikini ni circumstances,na si kitu kinachoondoka mara moja kwa kutumia pesa tu,hapana
Thus why Kuna watu hata uwape bilioni ,wataishia kununua madela tu.
Kipindi wewe unaagiza Prado la mwaka 2008 na kuonekana kibosile,hio Gari huwezi ingiza Algeria tu hapo acha Europe,.........ila huku wewe ni tajiri mkubwa sana
Inahitaji malezi,exposure,elimu,tabia na makuzi kuundoa umasikini,...thus why kwenye hizo kazi hutawaona waarabu,wapemba Wala wazanzibar.....huko utakutana na wadau kutoka Simiyu,Katavi,Kyela😁😆 huko na wanaona kwao wameyapatia maisha
 
Bro kama upo mahali wanakulipa vizuri shukuru sana Mungu, elewa tu kwamba hakuna mtu mjinga, kwa ground mambo hayapo kama tunavyoambiana jf.

SEMA SANA, TAMBA SANA, CHEKA SANA, ILA OMBA YASIKUKUTE .
Kwa hizo mishe za viwandani hapana Bora uuze kandoro utatoboa
 
Back
Top Bottom