Usimcheke muhurumie,unajua umasikini ni circumstances,na si kitu kinachoondoka mara moja kwa kutumia pesa tu,hapana
Thus why Kuna watu hata uwape bilioni ,wataishia kununua madela tu.
Kipindi wewe unaagiza Prado la mwaka 2008 na kuonekana kibosile,hio Gari huwezi ingiza Algeria tu hapo acha Europe,.........ila huku wewe ni tajiri mkubwa sana
Inahitaji malezi,exposure,elimu,tabia na makuzi kuundoa umasikini,...thus why kwenye hizo kazi hutawaona waarabu,wapemba Wala wazanzibar.....huko utakutana na wadau kutoka Simiyu,Katavi,Kyela😁😆 huko na wanaona kwao wameyapatia maisha