Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
-
- #21
Wewe Kuna watu wapo miaka 5 kiwandani na hawana maendeleo yeyote zaidi ya nguo na kula na godoro lake la kulalia yaani kama akipata hata shida kidogo tu hata ya laki 1 mfukoni hana yaani kiufupi kashalizika kudhalilishwaUnalimaje bila mtaji na mtaji utaupata vipi bila kufanya vibarua.
Hivi wazee haya maoni mnayotoa ni kwa ajili ya Tanzania ama wenzetu mpo mambele
Duh,Kuna viwanda vipo huko kibaha watu wanalambwa viboko wakizingua yaani jitu jeusi tena dume zima lipo kwenye ardhi yake ya taifa lake linalala kabisa halafu mjinga mmoja kutoka china analipiga bakora aisee vitu hivi vinahudhunisha na kuchekesha Kwa wakati mmoja hii sio kazi Bali ni msingi wa umasikini
Aisee ni shidaUsimcheke muhurumie,unajua umasikini ni circumstances,na si kitu kinachoondoka mara moja kwa kutumia pesa tu,hapana
Thus why Kuna watu hata uwape bilioni ,wataishia kununua madela tu.
Kipindi wewe unaagiza Prado la mwaka 2008 na kuonekana kibosile,hio Gari huwezi ingiza Algeria tu hapo acha Europe,.........ila huku wewe ni tajiri mkubwa sana
Inahitaji malezi,exposure,elimu,tabia na makuzi kuundoa umasikini,...thus why kwenye hizo kazi hutawaona waarabu,wapemba Wala wazanzibar.....huko utakutana na wadau kutoka Simiyu,Katavi,Kyela😁😆 huko na wanaona kwao wameyapatia maisha
Wakistuliwa wanawaibia ,watu hawako committed kufanya kazi Bali kuiba ,yaani imekuwa ni fasheni ukikaa mahala usipoiba unaonekana mjinga na usiyejitambua kabisa.Duh! Bro,sijui ni serikali haijali,au ni watu wenyewe hawajitambui. Kufanya kazi kwa wale watu,kunahitaji kujenga ujinga kiasi furani. Manyanyaso na mishahara yao,bora ukalime mboga mboga au uajiliwe sehemu nyingine. Sema tu utakuta watu wengine wanafata mkumbo,kwamba kuna chama cha wafanyakazi kitawatetea,na mambo mengine. Ile kazi huwezi kuendelea. Mshahara wenyewe utatoa,madeni yanazidi mshahara. Kulipwa, wengine atakupa nusu nusu mpaka iishe,kila baada ya wiki. Pesa isiyokuwa na msaada wowote. Sema tu ngozi nyeusi wenyewe hatupendani, kuna watu wengi wana fursa za maisha, lakini hawawastui wenzao.
Aisee ni maumivu
Ndio anatafuta hela ya kula na possible anatafuta ili watu aliowaacha kwake wapate chakula....Hamna Cha kujaaliwa Wala nini wote tunajua life ni mapambano Sasa mtu anaruhusu kudhalilishwa na wajinga Fulani kutoka china kisa elfu 5 huyo mtu kwenye maisha yake haji kutoboa zaidi atakua anatafuta hela ya kula
Wewe Kuna watu wapo miaka 5 kiwandani na hawana maendeleo yeyote zaidi ya nguo na kula na godoro lake la kulalia yaani kama akipata hata shida kidogo tu hata ya laki 1 mfukoni hana yaani kiufupi kashalizika kudhalilishwa
Una umri gani?Wewe Kuna watu wapo miaka 5 kiwandani na hawana maendeleo yeyote zaidi ya nguo na kula na godoro lake la kulalia yaani kama akipata hata shida kidogo tu hata ya laki 1 mfukoni hana yaani kiufupi kashalizika kudhalilishwa
Hiyo ni ya kula yeye ukiona mtu anatafuta elfu 5 Kwa maisha haya na anafamilia basi anatesa watoto wanapitia uchungu wa Hali ya juu kwasababu ya ujinga wakeNdio anatafuta hela ya kula na possible anatafuta ili watu aliowaacha kwake wapate chakula....
We una umri ganiUna umri gani?
Vipi kuhusu wanaojitolea kwenye mashirika, taasisi, makampuni, hospitali na shule?Bora anaekaa kwao anasaidia kazi za wazazi ipo siku anaweza akakumbukwa kwenye urithi wa familia yao kuliko mjinga mmoja anaekubali kutumikishwa na wachina na kupigwa mda mwingine kisa 5000 hapo hamna kitu anachokifanya Bora afe
Anaejitolea inamaana Hana shida kashiba huyoVipi kuhusu wanaojitolea kwenye mashirika, taasisi, makampuni, hospitali na shule?
Wapo wengi mno, wanaaihidiwa ajira miaka na miaka na hawapewi, nafasi zikija wanapewa watu wengine hasa serikalini 🤣Anaejitolea inamaana Hana shida kashiba huyo
mkuu utatekwa ww huruhusiwi kukosoa unatakiwa upongeze tu. futa hii kwa usalama wakoTatizo la kwanza ni wananchi wenyewe hawajitambui, cha pili ni Serikali kushindwa kuweka Sheria rafiki kwa wafanyakazi wa Nchi yake.
Marekani na baadhi ya nchi za ulaya wafanyakazi wa ndani(mabeki tatu) wana mikataba na kiwango cha kuwalipa kimewekwa kabisa ukikiuka jela inakuhusu pamoja na faini juu,
Ila nchi zetu hizi wafanyakazi sheria haziwalindi zinawalinda zaidi maboss na hata hizo chache nazo zinazowalinda waajiriwa bado zinapotoshwa kwasabab ya rushwa na uonevu,
Kiufupi Tanzania ni Nchi mfano wa jalala la Takataka ukifukua hukosi mavi.
Ndio wajinga wenyewe Sasa hao yaani unafanya kazi ya kujitolea kisa umeahidiwa kazi akili Gani hii je usipopewa hiyo kazi inamaana utakua umepoteza mda wako bureWapo wengi mno, wanaaihidiwa ajira miaka na miaka na hawapewi, nafasi zikija wanapewa watu wengine hasa serikalini 🤣
🤣Ndio wajinga wenyewe Sasa hao yaani unafanya kazi ya kujitolea kisa umeahidiwa kazi akili Gani hii he usipopewa hiyo kazi inamaana utakua umepoteza mda wako bure
Mtu mweusi akili hana
Huu ndio UKWEL mchungu.Hawa vijana wetu wanaohitimu ngazi mbalimbali za elimu wasiwe wavivu wa kuanzisha shughuli zao binafsi kupata hela. Kama msetifiketi unaona haukupatii ajira staha weka sandukuni ingia mitaani fanya kitu halali cha kukupatia fedha au nenda shambani kalime na ufuge. Hii ya kukimbilia vibarua huko ni kwenda kurutubisha umasikini wa kujitakia
kijana, akili ndio mtaji wako.Unalimaje bila mtaji na mtaji utaupata vipi bila kufanya vibarua.
Hivi wazee haya maoni mnayotoa ni kwa ajili ya Tanzania ama wenzetu mpo mambele
Sasa vyeti tunavyo huo mtaji tunatia wapiHawa vijana wetu wanaohitimu ngazi mbalimbali za elimu wasiwe wavivu wa kuanzisha shughuli zao binafsi kupata hela. Kama msetifiketi unaona haukupatii ajira staha weka sandukuni ingia mitaani fanya kitu halali cha kukupatia fedha au nenda shambani kalime na ufuge. Hii ya kukimbilia vibarua huko ni kwenda kurutubisha umasikini wa kujitakia
mtaji ni akili zenu, ondoeni mentality ya eti ukisoma ni lazima uajiriwe ndio utapata maisha boraSasa vyeti tunavyo huo mtaji tunatia wapi