Anafanya kazi kiwandani ameshajiwekea msingi wa umasikini milele

Unalimaje bila mtaji na mtaji utaupata vipi bila kufanya vibarua.

Hivi wazee haya maoni mnayotoa ni kwa ajili ya Tanzania ama wenzetu mpo mambele
Wewe Kuna watu wapo miaka 5 kiwandani na hawana maendeleo yeyote zaidi ya nguo na kula na godoro lake la kulalia yaani kama akipata hata shida kidogo tu hata ya laki 1 mfukoni hana yaani kiufupi kashalizika kudhalilishwa
 
Duh,
Hapo ndipo ccm wamelifikisha taifa.
Inasikitisha sana
Tlaatlaah
 
Aisee ni shida
 
Wakistuliwa wanawaibia ,watu hawako committed kufanya kazi Bali kuiba ,yaani imekuwa ni fasheni ukikaa mahala usipoiba unaonekana mjinga na usiyejitambua kabisa.
Watu wanapenda visivyotoa jasho Wala kuumiza kichwa acha waendelee kubeti mafuta ya upako wajipake
 
Hamna Cha kujaaliwa Wala nini wote tunajua life ni mapambano Sasa mtu anaruhusu kudhalilishwa na wajinga Fulani kutoka china kisa elfu 5 huyo mtu kwenye maisha yake haji kutoboa zaidi atakua anatafuta hela ya kula
Ndio anatafuta hela ya kula na possible anatafuta ili watu aliowaacha kwake wapate chakula....
 
Wewe Kuna watu wapo miaka 5 kiwandani na hawana maendeleo yeyote zaidi ya nguo na kula na godoro lake la kulalia yaani kama akipata hata shida kidogo tu hata ya laki 1 mfukoni hana yaani kiufupi kashalizika kudhalilishwa

Wewe Kuna watu wapo miaka 5 kiwandani na hawana maendeleo yeyote zaidi ya nguo na kula na godoro lake la kulalia yaani kama akipata hata shida kidogo tu hata ya laki 1 mfukoni hana yaani kiufupi kashalizika kudhalilishwa
Una umri gani?
 
Ndio anatafuta hela ya kula na possible anatafuta ili watu aliowaacha kwake wapate chakula....
Hiyo ni ya kula yeye ukiona mtu anatafuta elfu 5 Kwa maisha haya na anafamilia basi anatesa watoto wanapitia uchungu wa Hali ya juu kwasababu ya ujinga wake
 
mkuu utatekwa ww huruhusiwi kukosoa unatakiwa upongeze tu. futa hii kwa usalama wako
 
Wapo wengi mno, wanaaihidiwa ajira miaka na miaka na hawapewi, nafasi zikija wanapewa watu wengine hasa serikalini 🤣
Ndio wajinga wenyewe Sasa hao yaani unafanya kazi ya kujitolea kisa umeahidiwa kazi akili Gani hii je usipopewa hiyo kazi inamaana utakua umepoteza mda wako bure
 
Huu ndio UKWEL mchungu.
 
Sasa vyeti tunavyo huo mtaji tunatia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…