Anahitajika mchumba

PM inajaa mkuu nadhani ungesoma kwenye (. ) Ungeelewa tu mwenyewe kuwa mwabdishi Ni me au Ke. Punguza haraka
Unaweza zamiwa PM kwa kuhisiwa ni ke, rekebisha uandishi wako!
Andika wewe ni mwanaume unatafuta mchumba wa kike. Kiswahili sio kiingereza kama ukiandika unatafuta Fiance au fiancee tutakuelewa!! [emoji848]
 
Unaweza zamiwa PM kwa kuhisiwa ni ke, rekebisha uandishi wako!
Andika wewe ni mwanaume unatafuta mchumba wa kike. Kiswahili sio kiingereza kama ukiandika unatafuta Fiance au fiancee tutakuelewa!! [emoji848]
I will face the consequences! Anayevamia haraka ujue hajasoma vyema thread!
Thanks kwa ushauri wako ila mpaka Sasa sijaone ME pm!
 
Unaweza zamiwa PM kwa kuhisiwa ni ke, rekebisha uandishi wako!
Andika wewe ni mwanaume unatafuta mchumba wa kike. Kiswahili sio kiingereza kama ukiandika unatafuta Fiance au fiancee tutakuelewa!! [emoji848]
I will face the consequences! Anayevamia haraka ujue hajasoma vyema thread!
Thanks kwa ushauri wako ila mpaka Sasa sijaone ME pm!
 
Acha tu..wewe kwenye avatar ulivyo mweupe na mimi nimedecode mambo nikatoka na kipapuchi cheupe baada ya kusoma post yako
Dooh umefanya hadi niiangalie hii papuchi, ila ilivo na giza hivi huo weupe inautoa wapiπŸ˜€πŸ˜€ hako ni ka avatar tu hakaelekeani kabisa na mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…