Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Mimi mwenyewe nalipenda,na nikiliona limetamkwa na mwanamke kuna picha naitengeneza fasta kwa kutumia avatar yake.[emoji12] nisamehe kama halifai kutumika mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe nalipenda,na nikiliona limetamkwa na mwanamke kuna picha naitengeneza fasta kwa kutumia avatar yake.[emoji12] nisamehe kama halifai kutumika mkuu
Unamaanisha nani alipimwa mkuu?,mbona kama ni mkorofi wewe😒🙌
wanapima ili wagundue nini?.
Unaweza zamiwa PM kwa kuhisiwa ni ke, rekebisha uandishi wako!PM inajaa mkuu nadhani ungesoma kwenye (. ) Ungeelewa tu mwenyewe kuwa mwabdishi Ni me au Ke. Punguza haraka
Mmh unatengeneza picha gani mkuu wewe🤔 na hiyo avatar 😄Mimi mwenyewe nalipenda,na nikiliona limetamkwa na mwanamke kuna picha naitengeneza fasta kwa kutumia avatar yake.
I will face the consequences! Anayevamia haraka ujue hajasoma vyema thread!Unaweza zamiwa PM kwa kuhisiwa ni ke, rekebisha uandishi wako!
Andika wewe ni mwanaume unatafuta mchumba wa kike. Kiswahili sio kiingereza kama ukiandika unatafuta Fiance au fiancee tutakuelewa!! [emoji848]
I will face the consequences! Anayevamia haraka ujue hajasoma vyema thread!Unaweza zamiwa PM kwa kuhisiwa ni ke, rekebisha uandishi wako!
Andika wewe ni mwanaume unatafuta mchumba wa kike. Kiswahili sio kiingereza kama ukiandika unatafuta Fiance au fiancee tutakuelewa!! [emoji848]
Ok, All the best, ila uangalie mishoga mingi humu!I will face the consequences! Anayevamia haraka ujue hajasoma vyema thread!
Thanks kwa ushauri wako ila mpaka Sasa sijaone ME pm!
Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1755477
Nyie pigeni kelele hapa mwenzenu anafanya yake PM.
Acha tu..wewe kwenye avatar ulivyo mweupe na mimi nimedecode mambo nikatoka na kipapuchi cheupe baada ya kusoma post yakoMmh unatengeneza picha gani mkuu wewe[emoji848] na hiyo avatar [emoji1]
Hahaaa! Hivi kumbe inakua inaonesha hivo! Hamna jinsi ya kuhide guys?View attachment 1755477
Nyie pigeni kelele hapa mwenzenu anafanya yake PM.
Dooh umefanya hadi niiangalie hii papuchi, ila ilivo na giza hivi huo weupe inautoa wapi😀😀 hako ni ka avatar tu hakaelekeani kabisa na mimi.Acha tu..wewe kwenye avatar ulivyo mweupe na mimi nimedecode mambo nikatoka na kipapuchi cheupe baada ya kusoma post yako
[emoji3][emoji3]Eti ilivo na giza..aya bhana.Dooh umefanya hadi niiangalie hii papuchi, ila ilivo na giza hivi huo weupe inautoa wapi[emoji3][emoji3] hako ni ka avatar tu hakaelekeani kabisa na mimi.
😀😀 siyo tabia nzuri kabisa mi nataka kuhide banaUnataka ku hide ili iweje. Acha tuone mambo unayofanya. 😂😂😂
Kwa hao wanaopimwa, sio wewe 😂, najua haufanyaji hivyoUnamaanisha nani alipimwa mkuu?,mbona kama ni mkorofi wewe😒
Hata mimi natafutw mchumba wa kike nipo Dodoma nina miaka 50.Unatoa tangazo la kutafuta mchumba, HUSEMI JINSIA YAKO!
Halafu ukikosa mwenza unalia eti unarogwa!