Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope rafiki, kufunguka muhimu sometimes 😀Duuuhh haya bhana, kumbe na wewe unafungukaga hivi!!?
AhsanteeImeshapata jina jipya kutoka papa, papuchi, mb**n*e Sasa inaitwa mbususu it's a kind of generations and evolution!
Mkuu dunia ina mengi hii ,inapimwa vizuri tu😀😂 Kwani na ile inapimwa kimo? 🤔
PM inajaa mkuu nadhani ungesoma kwenye (. ) Ungeelewa tu mwenyewe kuwa mwabdishi Ni me au Ke. Punguza harakaMtu unaandika tu direct kuwa unatafuta mchumba bila kuandika jinsia yako, hivi tukisema usijali utapata mume tutakuwa tunakutusi?
🙌Mkuu dunia ina mengi hii ,inapimwa vizuri tu😀
Sawa mama angu!Usiogope rafiki, kufunguka muhimu sometimes [emoji3]
Weusi siupendi wallahDah kwanini ujichubue sasa
Kwahiyo hua mnapata kabisa wake humu JF?PM inajaa mkuu nadhani ungesoma kwenye (. ) Ungeelewa tu mwenyewe kuwa mwabdishi Ni me au Ke. Punguza haraka
Neno mbususu unalipenda sana..Ndiyo hivo kimo cha nini mbususu ama?[emoji2088]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ufukunyuku hauna maana mzeeView attachment 1755477
Nyie pigeni kelele hapa mwenzenu anafanya yake PM.
Mkuu embu toa your early testimony..tayari wameshamiminika pm and are they serious?PM inajaa mkuu nadhani ungesoma kwenye (. ) Ungeelewa tu mwenyewe kuwa mwabdishi Ni me au Ke. Punguza haraka
[emoji23][emoji23][emoji23]Ufukunyuku hauna maana mzee
😜 nisamehe kama halifai kutumika mkuuNeno mbususu unalipenda sana..
Yaani mkuu kusema kuwa pm nishapata wanaokuja au la nalo ni personal?.ningeuliza ID zao labda ndo ingekuwa ishu.This remains personal please. Haiwezi kua haraka hivi kutoa testimony mkuu