naa
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 791
- 1,074
ShukraniFungua tena!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShukraniFungua tena!!
Hongera sana, unapikia jiko gani?Tafadhari mkuu nipo on field 22 year's sasa
Omba kazi hiyo
Indian, Chinese, continental, tandoori ww sema unataka nnHongera sana, unapikia jiko gani?
Uko vyema sanaIndian, Chinese, continental, tandoori ww sema unataka nn
Hatujataka maelezo mengi, punguza ujuajiNani kakwambia mimi ni mpishi?? Nimecomment kitu ninachokijua. Upishi kwenye Diplomatic house kwa mshahara huo ni unyonyaji. Tatizo hivi vitu hamjui mnakimbilia kuchangia uzi.
Nani katoa maelezo mengi? Wewe ndio hujui kitu. Huwezi kuwa na kitambi alafu kichwani akili zikawa sawa.Hatujataka maelezo mengi, punguza ujuaji
Kitambi anacho mama yako aliyekuzaaNani katoa maelezo mengi? Wewe ndio hujui kitu. Huwezi kuwa na kitambi alafu kichwani akili zikawa sawa.
Unfat..Idiot!Kitambi anacho mama yako aliyekuzaa
🤣👋Omba kazi hiyo
Deal Done ✅
👏👏👏💪Deal Done ✅
Umeomba hii?👏👏👏💪
Nikweli mkuu baadhi ya hoteli mpishi analipwa mshahara wa millioni 3Huo mshahara bado ni mdogo sana kwa mpishi mwenye sifa hizo wanazohitaji.
Toa Mfano.Nikweli mkuu baadhi ya hoteli mpishi analipwa mshahara wa millioni 3
Mabeberu ugali siyo chakula chao, kama anajua kupika Samaki, Tambi, mikate migumu na mboga mboga.Kusonga ugali si unaweza we apply tu
Hawapikiwi ugali na maharage hao [emoji23]Waandike kwa Kiswahili basi.
Kwani tutapika kwa kiinglish?