Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Technolojia hii ni nzuri ila mimi binafsi sijaipenda sababu inaondoa ubinadamu kidogo, ila ya kupandikiza kwa mwanamke kuna ubinadamu kwa kiumbe atakae zaliwa.
Huo ni mtazamo wangu
Nafikiri kama ni upande wa Imani zaidi hata mimi naona wamefika mbali kwa kweli
Unakumbuka hata zamani walipotengeneza clone ya kondoo
Waingereza walikataa kabisa kufanya hayo wakiwa upande wa dini zaidi na uumbaji

Kweli inatisha ila ndio hivyo tena
Imagine wanafyatua watoto kama wanatengeneza toys
 
Na tunakoelekea watakuwa na uwezo wa kuedit genes za watoto,
Kwahyo wanaweza kumpa mtoto traits za akili nyingi, Nguvu nyingi, athleticsm etc. Etc.

Inawezekana mbeleni watoto wa hivi wakawa dili kuliko wa kawaida.
Mzazi anaenda na xstics za mtoto anayetaka, aweje...Awe handsome kama Idris Elba au awe na kipaji kama Messi.

Tena unakuta genes za hao watu amarufu tayari zipo, mzazi unafika unachagua tu traits unazotaka
 
Ukiangalia trend ya utoaji Mimba jinsi ilivyo je ninani atakataa mil 57 kwa wadada wa Tz wanaoishi kwa kujiuza
 
Surrogacy haikubaliwi kwa msichana! Lazima awe ashazaa angalau mara moja mkuu
 
Sina hakika wawe 100% sawa, unaona yale mayai ya kisasa? Tunayala lkn wakati wa kuyavunja yana shombo moja balaa, hata ukivunja kwenye chombo cha plastic unatamani hata ukitupe
[emoji38] [emoji23]
Kwa hiyo watakuwa kama kuku wa kizungu hata kukimbia hawawezi daa

Kwa kweli wengine tuna hofu sana ila wao wanajitahidi kuvumbua kila kitu hata kama wanafeli ila hawaonyeshi mpaka wwfanikiwe ndio tunajulishwa

Utakuta yalitoka mazombie kwanza
 
Sijui waliyatestia wapi maana mh ni kizunguzungu ukijua umetotolewa🤣🤣🤣🤣
 
Kwani hata akitumia langu lazima litolewe nje liwe fertilized ndo wapandikize.
Me na offer kumbeba tumboni for 9months na kumtoa kumleta duniani
Tatizo mnacheza na hivi vitu! Kwa kawaida i natakiwa aliyebeba kiumbe tumboni aka jifungua asione huyo mtoto. Na ndiyo maana kuzaa kwake ni lazima operation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…