Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Hayo yanaendana na tatizo LA akili!! Shida mtoa mada hataki mwenye tatizo la akili.
 
Kukilea kiumbe tumboni, kumnyonyesha hadi hapo kutakua na muunganiko mkubwa sana kati ya huyo mtoto na huyo mama. Mwenye anaweza kufanya hivi basi awe hajui nin maan ya kubeba kiumbe tumboni.
Na awe kimaslai zaid na zaid.
 
Yes Hii sheria kuna sehemu kama niliona hivi

Je mtoa mada amejipangaje?
Hawa vijana wanaongea tu! Hii kitu si mchezo. Ni uhai wa binadamu na kuna mwanamke ambaye ni binadamu anayebadilika kila kukicha! Ninao watato wa hivyo mie. Nakueleza Watoto wa IVF wana akili ajabu na ni wazuri. Hawaugui ovyo kama hawa wengine, hii hutamanisha masurrogate na kuanza kusumbua. Mtoto wa kwanza mke wangu alilazimisha surrogate awe mtoto wa ndugu yake, ila cha moto anakipata
 
Na akimpeleka mahakani mama anashinda kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…