ni PM no yako One of our Team member will call and discuss the best way ya kufanya kazi pamoja mkuu na ata kukupa ushauri wa jinsi gani ya kufanya kazi/masoko na mengineyo karibu sanaNimeipenda hii,gharama zikoje mkuu?
Mkuu Kwanza hujawaspecific unataka 2D au 3D animation.Habari wakuu,
Anahitajika kijana mchapakazi mwenye ujuzi wakutengeneza video za katuni (animation). Kama una hicho kipaji,tengeneza 'clip' yenye maudhui yafuatayo na utume kwenye email: businessideas2f@gmail.com ,mwisho wa kutuma ni tarehe 30/09/2021; malipo kwa mwezi yataanzia 250,000/=
Maudhui:
Orange : Habari za asubuhi rafiki yangu mzee 'Mango'
Mango : Salama tu,umeamkaje, habari za tangu jana?
Orange: Mbaya tu, jana nilishinda njaa na hata leo sina uhakika wa kula...
Mango: Pole sana rafiki yangu,nitakupeleka kwa rafiki yangu mzee 'Lemon',alinidokeza nimsaidie kupata watu wa kumsaidia kuvuna mazao yake shambani, kwa ujira wa shilingi elfu tano kwa siku; nadhani kazi hiyo itakufaa....
Orange: Nashukuru sana rafiki yangu, hiyo kazi itanifaa hebu tufanye haraka asijeakapata mtu mwingine nami nikakosa kazi
Najua ni kazi ngumu mkuu,ila najua kuna vijana wabobezi wanaoweza kutumia saa moja kutengeneza hayo maudhui;namimi nawatafuta hao ambao wako smart,hata awe darasa la saba;cha muhimu ni huo utundu wa kutengeneza hivyo vituMkuu Kwanza hujawaspecific unataka 2D au 3D animation.
Na pia kutengeneza animation sio kazi ndogo maana Kuna project zinagharimu almost 300million Tsh.
Ungesema naomba portfolio za animators uone quality na ubora wa kazi na sio unataka mtu akufanyie kazi kwa laki mbili na nusu.
Unajua Gharama ya kutengeneza animation frame per second (FPS).
Last but not least ongeza dau uone watu watavotuma portfolio za animation za kutosha.
SawaNajua ni kazi ngumu mkuu,ila najua kuna vijana wabobezi wanaoweza kutumia saa moja kutengeneza hayo maudhui;namimi nawatafuta hao ambao wako smart,hata awe darasa la saba;cha muhimu ni huo utundu wa kutengeneza hivyo vitu
Fedha yenyewe ndio hiyo laki mbili?Ni kwel mkuu,vitu vigumu vya kuumiza akili ndio vinavyoingiza fedha
Kazi kwanza; waswahili wengi kazi hawajui, zaidi ya maneno meengi kwa kisingizio pesa ni ndogo.Fedha yenyewe ndio hiyo laki mbili?
TBC 😂😂😂 Ila watu wa TBC wanakula mshahara wa bure maamae mana sio kwa ule ujinga mana animation zao utadhani ni za 1800sDha mkuu itabidi nikutafute, kuanzia sep 6 ivi nitakua likizo. hata kama internship itabidi tu unipatie yani tofauti na kutumia terminal za debian na programming mambo ya graphic kwangu ni changamoto. Mkuu izo animation ni kama zile za TBC au Rango
TBC 😂😂😂 Ila watu wa TBC wanakula mshahara wa bure maamae mana sio kwa ule ujinga mana animation zao utadhani ni za 1800s
😂😂😂 TBC n shirika ambalo wafanyakazi wake hawahitajiki kutumia akiliAnimation zinatembea kama zina kifafa zinataka kuanguka
Mkuu garama zinaendana na kazi yenyeweNimeipenda hii,gharama zikoje mkuu?
Mkuu garama zinaendana na kazi yenyewe
kama unavijana tuletee tutakufundishia-Tuna walimu wabobezi hapa Tanzania kwenye sekta ya 3D and animation
Mkuu Kama unacomputer na mouse mafunzo Bora au vyuo Bora niNataka nimlete mdogo wangu kwa mafunzo. Nine kupm hujajibu, mafunzo ni bei gani?
Nataka nimlete mdogo wangu kwa mafunzo. Nine kupm hujajibu, mafunzo ni bei gani?
Mzee taja tu hapa hapa naweza kujitafuta nikajiunga na ishu yenu.Mkuu garama zinaendana na kazi yenyewe
Mkuu Kama unacomputer na mouse mafunzo Bora au vyuo Bora ni
Udemy
YouTube
Na vitabu
Mafunzo kwa vitendo ndio muhimu zaidiMdogo wangu hajui kitu, basic ya animation nataka afundishwe kwa vitendo na mwalimu wanaeonana face to face. sitaki asome online maana namjua hawezi elewa bila kuwa na mentor
Online wanafundisha kila kitu ila bado watu wanaenda tution za darasani.. mfano hata cpa watu wanaenda tution ilala boma na mnazi mmoja mpaka leo huku youtube kuna video nzuri kibao za topic za uhasibu
Ni kweli mkuu akishapata basics ili awe nondo apite hukoMdogo wangu hajui kitu, basic ya animation nataka afundishwe kwa vitendo na mwalimu wanaeonana face to face. sitaki asome online maana namjua hawezi elewa bila kuwa na mentor
Online wanafundisha kila kitu ila bado watu wanaenda tution za darasani.. mfano hata cpa watu wanaenda tution ilala boma na mnazi mmoja mpaka leo huku youtube kuna video nzuri kibao za topic za uhasibu
Mkuu ushapata watu au bado maana Kuna course ya web naimalizia nihamie huko animation nitume portfolio.Mafunzo kwa vitendo ndio muhimu zaidi