Anahitajika mtengenezaji wa video za katuni (animation)

Anahitajika mtengenezaji wa video za katuni (animation)

Mi nadhani mtoa mada au mtoa kazi HAJUI kaz za animations znafanyikaje, gharama za kufanya hizo kazi zikoje, malipo kwa wanaofanya kaz kwny hiyo industry wanalipawaje na hata recruitment style ya animators inakuaje HAJUI. Sasa nnamashaka km hata anaelewa biashara ya animations inafanyikaje na ana mpango biashara wa namna gan kwa matarajio ya baada ya miaka mitano kampuni kukua.
Mi nimeona haya machache thread iendelee...!
 
Habari wakuu,
Anahitajika kijana mchapakazi mwenye ujuzi wakutengeneza video za katuni (animation). Kama una hicho kipaji,tengeneza 'clip' yenye maudhui yafuatayo na utume kwenye email: businessideas2f@gmail.com ,mwisho wa kutuma ni tarehe 30/09/2021; malipo kwa mwezi yataanzia 250,000/=

Maudhui:

Orange : Habari za asubuhi rafiki yangu mzee 'Mango'
Mango : Salama tu,umeamkaje, habari za tangu jana?
Orange: Mbaya tu, jana nilishinda njaa na hata leo sina uhakika wa kula...
Mango: Pole sana rafiki yangu,nitakupeleka kwa rafiki yangu mzee 'Lemon',alinidokeza nimsaidie kupata watu wa kumsaidia kuvuna mazao yake shambani, kwa ujira wa shilingi elfu tano kwa siku; nadhani kazi hiyo itakufaa....
Orange: Nashukuru sana rafiki yangu, hiyo kazi itanifaa hebu tufanye haraka asijeakapata mtu mwingine nami nikakosa kazi​
Kumbe niwewe sijasoma ninani katoa post acha kuwaminya wamdogo sema hata 400,000 kwa mwezi bhana hali ni ngumu kazi sio rahisi
 
MPUMBAVU kweli wewe! Hivi unajua gharama ya kutengeneza animation ya sekunde 10 tu? Eti umuajiri mtaalam wa animation kwa 250?? Project yenyewe unayoizungumzia ni zaidi ya 1m alafu eti mtu apoteze muda akutumie kirahisi rahisi tu bila contract akitarajia umlipe 250 mwisho wa mwezi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aise utaambulia vishoka lakini hakuna mtaalam utakayeambulia!
 
Mi nadhani mtoa mada au mtoa kazi HAJUI kaz za animations znafanyikaje, gharama za kufanya hizo kazi zikoje, malipo kwa wanaofanya kaz kwny hiyo industry wanalipawaje na hata recruitment style ya animators inakuaje HAJUI. Sasa nnamashaka km hata anaelewa biashara ya animations inafanyikaje na ana mpango biashara wa namna gan kwa matarajio ya baada ya miaka mitano kampuni kukua.
Mi nimeona haya machache thread iendelee...!
Ujuzi sina wa hiyo fani, ila soko langu liko nje. Nikikosa hapa, nitaingia ubia na wachina/wahindi.
 
Acha kuwatumia watu kijanja ukishatengenezewa utatoa tena ingine halafu upate hela wewe ukitosheka unakimbia acha kutochora.

Utaratibu huo hapa juu hutaki tambaa jomba
Weka kazi, acha maneno
 
MPUMBAVU kweli wewe! Hivi unajua gharama ya kutengeneza animation ya sekunde 10 tu? Eti umuajiri mtaalam wa animation kwa 250?? Project yenyewe unayoizungumzia ni zaidi ya 1m alafu eti mtu apoteze muda akutumie kirahisi rahisi tu bila contract akitarajia umlipe 250 mwisho wa mwezi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aise utaambulia vishoka lakini hakuna mtaalam utakayeambulia!
Tupende kazi kwanza na tuitangazie dunia nina uwezo wa kufanya hili jambo; pesa zitafuata, zitakuja nyingi tu
 
yaami kwa 250k yako mdo unataka nikutengenezee kazi yako sio uone kazi zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan ndo mara ya kwanza nn kutafuta mtu wa kazi hizi ama
 
yaami kwa 250k yako mdo unataka nikutengenezee kazi yako sio uone kazi zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan ndo mara ya kwanza nn kutafuta mtu wa kazi hizi ama
Umeshafeli usahili tayari
 
yaami kwa 250k yako mdo unataka nikutengenezee kazi yako sio uone kazi zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan ndo mara ya kwanza nn kutafuta mtu wa kazi hizi ama
Wewe ndio muongeji mzuri kwenye biashara huyu anatafuta mtu wakumtengenezea bure kwa madai ni interview akishatengenezewa anasepa humuoni halafu anasema hajapenda
 
Wewe ndio muongeji mzuri kwenye biashara huyu anatafuta mtu wakumtengenezea bure kwa madai ni interview akishatengenezewa anasepa humuoni halafu anasema hajapenda
Kwa mazingira haya, tusitegemee kumiliki viwanda; bora mapori yaendelee kuwepo tu
 
We jamaa NI mbishi Sana 🤣, cjui ww ni muha
Mm apa na produce 3d animation,VFX .
Alafu pia Acha kunyanyasa watu Kwa pesa Mzee, Maisha Ni hayahaya.
Nenda Kwa hao China and India waka ka produce hizo animation, soko huria.


Ujuzi sina wa hiyo fani, ila soko langu liko nje. Nikikosa hapa, nitaingia ubia na wachina/wahindi.
 
Wewe ndio muongeji mzuri kwenye biashara huyu anatafuta mtu wakumtengenezea bure kwa madai ni interview akishatengenezewa anasepa humuoni halafu anasema hajapenda
Nishakamilisha kazi yake, nimekuja kuchukua e mail, cha ajabu nilipokutana na hii comment yako, nimeghairi!
[emoji41][emoji41] Nisije pigwa cha mbavu!
 
Back
Top Bottom