Anahitajika mtengenezaji wa video za katuni (animation)

Anahitajika mtengenezaji wa video za katuni (animation)

Unatengeneza nini ili upate nini ? Hio ndio issue...., unataka utengeneze blockbuster ya kwenye kuuza netflix au upate kitu cha kuvutia angalau uokoteze vipesa Youtube.... its all relative..., ni tofauti kubwa kama unataka kutengeneza kitu kama Shrek au Toy Story (jambo ambalo mtu kama huyu hata akitaka huenda asifanikiwe ni billions of money invested) na hata hao huenda wasi-break even au wakapata hasara mwisho wa siku....

Kinachouza kitu sio muonekano appearance pekee bali story line n.k...., mtu anaweza akatengeneza wale stick figures au Charlie Chaplin aliweza kutengeneza vitu ambayo ni black and white bila dialogue na bado kikapendeza.., kwahio in the end una-invest kwenye nini....., ila before everything kama story unayo na sio complicated and characters are not unique you need to stick to your budget / level....

Kama sound anaweza kuweka Bibi yako mtumie sio Umfuate Obama / Chris Rock akuwekee sauti yake (huenda ukaongeza mauzo) ila pesa utakayompa huenda ukaweka rehani kampuni yako


Inategemea hilo shirika walitaka kufanya nini kwa level ipi / standard gani na kwa wakati gani (its all relative) unajua amateurs wangapi au indie artists wangapi wapo wenye ujuzi ambao hawajapata opportunities....., sio kwamba kila ukitaka chungwa na limao viongee uwafuate kina Steven Spielberg ndio wawe directors... (ingawa utaongeza mauzo ila ndio hivyo gharama huenda ukafilisi kampuni au muhusika akaona unashusha CV yake)

Like I said its all relative...., Movie kama Toy Story hata ungepewa wewe uifanyie rendering kwenye mashine yako na washikaji zako wote na PCS zote za wadau wa JF huenda kumaliza rendering ingechukua miaka kama 20

Like I said its all relative unadhani kama mtu ana library tayari ya characters wengine Midomo, Macho inachukua dakika ngapi kuunganisha kwenye chungwa na kufanya rigging ? Achana na Laki mbili na Nusu kuna watu wanafanya haya mambo for Fun na kuyapost kwenye community (yaani furaha yake angalau watu wa-invest muda wao kuangalia alichokifanya) kuuza sura if you may....

Hivi unajua as a creator / hobbyist kuna watu wanafanya vitu just for Fun yaani unakuta mtu anachora kitu sio ili auze bali its what he/she likes..., hili ndio tatizo linalowakumba watu wengi na kazi nyingi kutokuwa creative bali manufactured watu wanafanya vitu ili wapate pesa na sio ili wanachokiwaza / kifikiri kukiweka kwenye audience ili kushare na wanajamii

Ndio maana nikasema ni unique characters au kama alivyosema embe na chungwa plus background ambayo tayari ni scene unaweza ukachukua from your library of scenes au picha yoyote from online

Kama vile ilivyo kuna madudu kwenye movies / holywood ndio kuna madudu pia kwenye animations, its all relative.., unaweza pia kwenye animation ukachukua some photos ukafanya rigging na kutoa kitu cha ajabu kwa muonekano ili tu kufikisha ujumbe..., na sidhani kama huyu anataka 3D animation as am sure kama anataka movie hata hio computing power ya kufanya rendering na hata akitumia rendering farms itamcost pia kwenye muda / computer sharing na akienda kulipia anaweza akajikuta anatumia maelfu ya dollars kwa rendering za dakika kadhaa tu let alone masaa....
Nimekusoma nimekuelewa

Ingawa ni busara kuliboresha tangazo lako
 
Nimekusoma nimekuelewa

Ingawa ni busara kuliboresha tangazo lako
Tangazo gani ?

Sipo kwenye Industry wala sihitaji animation wala animators, I just happen to know as I always like to know what is what..., Ila the bars have been lowered kwenye animation kitu ambacho zamani kingewachukua artists masaa ya kuchora picha moja na kufanya onion skinning kwa kuchora tena na tena vimerahishwa na kuweza kufanywa na computer..., hence watu ambao hawana drawing skills wameweza kuingia katika industry jamba ambalo lisingewezekana jana au juzi

The only limit kwa sasa kwenye 3D ni computing power for an indie artists ila mambo yakikaa sawa na rendering ikiwa cheaper tutaona quantity ya kazi kila kukicha..., ingawa kuhusu quality the jury will still be out..., ni kama tu ujio wa ebooks umewapa wigo any Tom, Dick or Harry kuweza kutunga kitabu na kuuza....
 
Pia kama atahitaji kijana wa kuchoma chapati i.e kuwachomea chapati animators na graphians atakaowaajiri, mimi nipo hapa! Nina degree ya pale UDSM, ngoja niweke na ka link ka utaalamu wangu.

https:/grossloss.mining.chapatius|300kpermonth@gmail.www

Audio ya utaalamu wangu hii hapa
[emoji3504]00:01 ----------------------------10:01
 
Tangazo gani ?

Sipo kwenye Industry wala sihitaji animation wala animators, I just happen to know as I always like to know what is what..., Ila the bars have been lowered kwenye animation kitu ambacho zamani kingewachukua artists masaa ya kuchora picha moja na kufanya onion skinning kwa kuchora tena na tena vimerahishwa na kuweza kufanywa na computer..., hence watu ambao hawana drawing skills wameweza kuingia katika industry jamba ambalo lisingewezekana jana au juzi

The only limit kwa sasa kwenye 3D ni computing power for an indie artists ila mambo yakikaa sawa na rendering ikiwa cheaper tutaona quantity ya kazi kila kukicha..., ingawa kuhusu quality the jury will still be out..., ni kama tu ujio wa ebooks umewapa wigo any Tom, Dick or Harry kuweza kutunga kitabu na kuuza....
The industry itself needs a collaborative efforts.

What you imply now is someone who can sketch, digitize and animate the character plus rendering. As artitists diverting slowly onto digital art, the animation industry will emerge so strong.

My concern towards your venture promo (so to say), just remove or improve the following

1.
Concept binded. I mean those collouts phrases. Meanwhile asks the intereated ones to send their reardy made samples of their works. You can cite the size or duration of the samples.

2.
Monentary reward.


Ukiona siyo vyema basi ziache ingawa zitaendelea kuleta debate kila mara. Nimepeleka tangazo lako kwa platform ya Comic artists na animators, they most question the same


The rest kila laheri mkuu
 
The industry itself needs a collaborative efforts.
Who said otherwise ?
What you imply now is someone who can sketch, digitize and animate the character plus rendering. As artitists diverting slowly onto digital art, the animation industry will emerge so strong.
Who is implying what ?!!! mtu kaleta tangazo la interview ya kazi sijui huko mbele atataka nini na wala sijui kama itakuwa ni kufanya kazi kwenye team or as an individual sijui kama anataka mtu ambaye anaweza ku-sketch sababu unaweza usiweze sketching mtu akakuchorea ukatafanya tracing na rigging unaweza ukatumia hizo mangoes zake na apples ukaziwekea macho na midomo..., rendering is computing power ambayo kama jamaa anataka kufungua ofisi nadhani atakuwa na mashine zenye nguvu ya kuweza kufanya rendering...

Ni vigumu ku-judge kitu/mtu bila kuwa na all information na hii ni forum through maongezi yetu mwingine ambaye anataka kuingia katika industry aweze kujua all the steps / njia anazoweza kutumia hata kama ni low budget kuliko kuambiwa tu hio pesa ni ndogo huwezi kufanikiwa.... wakati kuna watu waliweza hata kutengeneza movie blockbuster at a low budget..., Ingawa kuna Ferrari ila sometimes hata Passo au Baiskeli inakupeleka unapotaka kufika Sidhani kama jamaa anataka kufanya CGI za Series kama Games of Thrones
My concern towards your venture promo (so to say), just remove or improve the following
Who's Promo and who's venture ?!!! Yaani your points are Void Ab Initio
1.
Concept binded. I mean those collouts phrases. Meanwhile asks the intereated ones to send their reardy made samples of their works. You can cite the size or duration of the samples.
The end justifies the means kama mdau kuna watu watatuma hio ukizingatia sijui quality anayotafuta na budget yake huenda wakapata baada ya mauzo inakuwaje siwezi kujua ila ninachojua there is more than one way to skin a cat..., and anything is possible He can even achieve what he wants for free na ndio maana pia kuna watu huko Fiver wanatoa kazi zao kwa peanuts na kwenye CV zao kuna kazi walizoshafanya....
2.
Monentary reward.
Depends on an individual and motive mimi au wewe hatuwezi kuwaamulia watu huko ni kukosa busara...., watu wana different motives wengine ni kuuza sura ndio maana huwezi kumuweka Will Smith kwenye movie yako bila kumlipa ila mdau wa pale mtaani anaweza hata kukupa hongo ili ku-appear as an extra kwenye movie yako...
Ukiona siyo vyema basi ziache ingawa zitaendelea kuleta debate kila mara. Nimepeleka tangazo lako kwa platform ya Comic artists na animators, they most question the same


The rest kila laheri mkuu
Its Shows your lack of attention to detail au assumptions zisizo na mbele wala nyuma am sure ukifanya due dilligence kidogo tu unaweza ukajua mimi na mleta uzi ni mbingu na dunia there is nothing similar at all....
 
Who said otherwise ?

Who is implying what ?!!! mtu kaleta tangazo la interview ya kazi sijui huko mbele atataka nini na wala sijui kama itakuwa ni kufanya kazi kwenye team or as an individual sijui kama anataka mtu ambaye anaweza ku-sketch sababu unaweza usiweze sketching mtu akakuchorea ukatafanya tracing na rigging unaweza ukatumia hizo mangoes zake na apples ukaziwekea macho na midomo..., rendering is computing power ambayo kama jamaa anataka kufungua ofisi nadhani atakuwa na mashine zenye nguvu ya kuweza kufanya rendering...

Ni vigumu ku-judge kitu/mtu bila kuwa na all information na hii ni forum through maongezi yetu mwingine ambaye anataka kuingia katika industry aweze kujua all the steps / njia anazoweza kutumia hata kama ni low budget kuliko kuambiwa tu hio pesa ni ndogo huwezi kufanikiwa.... wakati kuna watu waliweza hata kutengeneza movie blockbuster at a low budget..., Ingawa kuna Ferrari ila sometimes hata Passo au Baiskeli inakupeleka unapotaka kufika Sidhani kama jamaa anataka kufanya CGI za Series kama Games of Thrones

Who's Promo and who's venture ?!!! Yaani your points are Void Ab Initio

The end justifies the means kama mdau kuna watu watatuma hio ukizingatia sijui quality anayotafuta na budget yake huenda wakapata baada ya mauzo inakuwaje siwezi kujua ila ninachojua there is more than one way to skin a cat..., and anything is possible He can even achieve what he wants for free na ndio maana pia kuna watu huko Fiver wanatoa kazi zao kwa peanuts na kwenye CV zao kuna kazi walizoshafanya....

Depends on an individual and motive mimi au wewe hatuwezi kuwaamulia watu huko ni kukosa busara...., watu wana different motives wengine ni kuuza sura ndio maana huwezi kumuweka Will Smith kwenye movie yako bila kumlipa ila mdau wa pale mtaani anaweza hata kukupa hongo ili ku-appear as an extra kwenye movie yako...

Its Shows your lack of attention to detail au assumptions zisizo na mbele wala nyuma am sure ukifanya due dilligence kidogo tu unaweza ukajua mimi na mleta uzi ni mbingu na dunia there is nothing similar at all....
Naona kila hoja yangu unaijibu huku ukiwa na kamusi na Katiba pembeni

Haya.
Kila laheri mkuu.🤣🤣🤣🤣
 
Kama ngapi?
Mkuu, fanya 600k lakini chai na chakula cha jioni juu yako tufanye kazi, ntakesha ofisini isipokuwa usiku wa ijumaa na jumamosi. Pia jumapili mchana sintokuja kazini.

Fanya hivyo nianze job hata kesho kutwa uone maufundi. 3D mkuu, sio kazi ndogo[emoji26]
 
Mkuu, fanya 600k lakini chai na chakula cha jioni juu yako tufanye kazi, ntakesha ofisini isipokuwa usiku wa ijumaa na jumamosi. Pia jumapili mchana sintokuja kazini.

Fanya hivyo nianze job hata kesho kutwa uone maufundi. 3D mkuu, sio kazi ndogo[emoji26]
Utaweza kutoa movie ya masaa 5 kwa mwezi?
 
Amekimbia kazi, niko tayari kutoa hicho kiasi, lakini kwa mwezi utengeneze muvi ya angalau masaa 10
Shida ni pc za ku prove wengi pc tulizonazo hata ku render frame moja tu itakuchukua masaa 5 na unakuta mtu ametengeneza animation clip lakin hawezi kuirender anabaki nayo tu kama file
 
Shida ni pc za ku prove wengi pc tulizonazo hata ku render frame moja tu itakuchukua masaa 5 na unakuta mtu ametengeneza animation clip lakin hawezi kuirender anabaki nayo tu kama file
Hivi pc yenye uwezo WA kurender move ukatokea quality inaweza kuwa bei gani..!? Nataka nione kama nawez kuwekeza huko
 
Shida ni pc za ku prove wengi pc tulizonazo hata ku render frame moja tu itakuchukua masaa 5 na unakuta mtu ametengeneza animation clip lakin hawezi kuirender anabaki nayo tu kama file
Ili kazi iwe nzuri, itahitajika pc yenye specs zipi?
 
Hivi pc yenye uwezo WA kurender move ukatokea quality inaweza kuwa bei gani..!? Nataka nione kama nawez kuwekeza huko
Bei ni kutokana na sehemu unayo nunulia ila kwa kawaida zina anza na m1 na zaidi itakuwa chini ya hapo kama utanunua used mtandaoni hasa hasa KUPATANA zipo za bei chee
 
Bei ni kutokana na sehemu unayo nunulia ila kwa kawaida zina anza na m1 na zaidi itakuwa chini ya hapo kama utanunua used mtandaoni hasa hasa KUPATANA zipo za bei chee
Nataka zile zenye uwezo WA kurender hata video yenye ukubwa WA GB 100 na kuendelea..Yani super heavy machine
 
Kwa quality kama za pixar na illumination huwezi kutumia pc za kawaida, ila kama unataka muvi zenye quality ndogo za kuanzia desktop pc zanye rtx 30 series
Hivi pc yenye uwezo WA kurender move ukatokea quality inaweza kuwa bei gani..!? Nataka nione kama nawez kuwekeza huko
 
Back
Top Bottom