Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Bado kupatikanaMkuu ushapata watu au bado maana Kuna course ya web naimalizia nihamie huko animation nitume portfolio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kupatikanaMkuu ushapata watu au bado maana Kuna course ya web naimalizia nihamie huko animation nitume portfolio.
Ongeza dau niwastue Wana maana mkuu ni professionals kutoka infoBado kupatikana
Atengeneze hayo maudhui hapo juuuOngeza dau niwastue Wana maana mkuu ni professionals kutoka info
HahahahaNi kampuni changa,itakayokuwa kwa kasi,ambapo ata baada ya miaka 5 kama uzalishaji wake utakuwa mzuri anaweza kuwa anakula mil 5 kwa mwezi
Akimpata mtu wa kumlipa laki 8 kwa mwezi. Basi ana MunguJinsi kutengeneza katuni kunavyokula muda na kuchosha akili. Ukimpata mtu wa kumlipa kwa mwezi hata mara mbili ya huo mshahara shukuru Mungu sana kwa bahati uliyonayo
hiyo ela ata kwa single prject sio reasonable. how come per monthAkimpata mtu wa kumlipa laki 8 kwa mwezi. Basi ana Mungu
Jamaa analeta janja janja ya kufanyiwa kazi bure azitumie kujifaidisha, na hajui process za recruitment, vijana wa bongo wanadharau sana na kazi za watu 😀😀😀Sijafeli interview wala nini... tusidanganyane hapa..kwa mtu anae jua kazi ya kutengeneza animations ilivyo awezi mfanyia mtu kazi from nowhere.. wewe ndio umekosea recruitment style uliyo tumia.. mimi kama web developer mtu akitaka kuniajili anatakiwa aniombe project niliyo wai fanya, either iwe published au la! Lakini sio aje aniambie nimtengenezee website alafu nimtumie ata simjui .. hakuna kitu kama hicho bro, matapeli ni wengi. Omba watu wakutumie kazi zao ili uhakikishe ubora wao sio kuwapa kazi ..
Haiwezekani kutengeneza 3d animation Kama hiyo uliyosema Kwa li SAA li moja Mzee🤣🤣Najua ni kazi ngumu mkuu,ila najua kuna vijana wabobezi wanaoweza kutumia saa moja kutengeneza hayo maudhui;namimi nawatafuta hao ambao wako smart,hata awe darasa la saba;cha muhimu ni huo utundu wa kutengeneza hivyo vitu
Inachukua muda ganiHaiwezekani kutengeneza 3d animation Kama hiyo uliyosema Kwa li SAA li moja Mzee🤣🤣
Ndio ile mtu anakuwa na vyeti vizuri, huku kazi hajuiHuoni kama hiyo project watu wakifanya kwa mfumo huo utawaacha wengi wapoteze muda wao huku atakayepata pesa ni mmoja?
Bado pia hiyo pesa ni ndogo kwa animation, binafsi ni Graphic Designer na kuna projects zinazidi hiyo pesa. Animation ni ngumu, kutengeneza video ya 10s tu siyo kazi ndogo.
Weka mfumo mzuri, watu watume portfolio zao uchague wa kufanya naye kazi.
NawasubiriNgoja waje...
Tatizo tusiojua vitu tuna maneno mengi, we tengeneza hayo mengine yatajadiliwaKwanza Ku render Tu, hiyo 3d animation aliyo sema inaweza kuchukua hata siku 3.
Mleta Uzi , kaa na watu wakuelekeze.
Tatizo maneno mengi, kazi hawajuiJamaa analeta janja janja ya kufanyiwa kazi bure azitumie kujifaidisha, na hajui process za recruitment, vijana wa bongo wanadharau sana na kazi za watu 😀😀😀
Akishindwa kukuelewa hapa, basi atumie hata kichwa cha chini kujielewesha!Sijafeli interview wala nini... tusidanganyane hapa..kwa mtu anae jua kazi ya kutengeneza animations ilivyo awezi mfanyia mtu kazi from nowhere.. wewe ndio umekosea recruitment style uliyo tumia.. mimi kama web developer mtu akitaka kuniajili anatakiwa aniombe project niliyo wai fanya, either iwe published au la! Lakini sio aje aniambie nimtengenezee website alafu nimtumie ata simjui .. hakuna kitu kama hicho bro, matapeli ni wengi. Omba watu wakutumie kazi zao ili uhakikishe ubora wao sio kuwapa kazi ..
[emoji419][emoji419]Sahihi kabisa mkuuKwa mazingira haya,wengi watatuma kazi za wengine huku wakithibitisha wamefanya wao wakati si kazi zao; kwa staili yangu hii, ili kuthibitisha ni wewe kweli umefanya; tumia maudhui niliyokuwekea; hatuitaji cheti au ngazi yako ya elimu,bali tunataka kazi tu
Kuthibitisha ulitengeneza wewe; tengeneza kwa kufuata hayo maudhui hapo juuAkishindwa kukuelewa hapa, basi atumie hata kichwa cha chini kujielewesha!
Katuni za Ubongo Kids zilinipa tabu kutengeneza sio poa, halafu leo mtu anakuja na tantarira za tengeneza animation!