Anahitajika mwanaume aliyetayari kuwa mume

Anahitajika mwanaume aliyetayari kuwa mume

Nitumie picha yako Pm.
Ulikuwa unanipigia kelele oohh.. Makaveli nigaie pasi, nipigie pande, haya sasa captain maguire katoa boko, back pass hii mzee, ukitaka kufinya, kipa katoka hiyo mzee ukitaka kuchop kama Dennis Bergkamp, ni wewe tu, mie nitakuja kwenye kibendera kusherehekea nawe. 😂
 
Ulikuwa unanipigia kelele oohh.. Makaveli nigaie pasi, nipigie pande, haya sasa captain maguire katoa boko, back pass hii mzee, ukitaka kufinya, kipa katoka hiyo mzee ukitaka kuchop kama Dennis Bergkamp, ni wewe tu, mie nitakuja kwenye kibendera kusherehekea nawe. 😂
Bilashaka huu sio ujumbe wangu ndio maana sijauelewa. Hope mwenye ujumbe wake ataelewa vyema
 
Bilashaka huu sio ujumbe wangu ndio maana sijauelewa. Hope mwenye ujumbe wake ataelewa vyema

Bilashaka huu sio ujumbe wangu ndio maana sijauelewa. Hope mwenye ujumbe wake ataelewa vyema
Kuna mtu nilireply comment yake.. RReigns

Maana yangu ni hii sasa, Yeye kila mara amekuwa akiniambia nimsakie mchumba, sasa leo mchumba umejitokeza mweenyewe, kilichobaki ni yeye tu kumalizia, mimi nitakuja ukumbini kusherehekea harusi yenu.
 
Kuna mtu nilireply comment yake.. RReigns

Maana yangu ni hii sasa, Yeye kila mara amekuwa akiniambia nimsakie mchumba, sasa leo mchumba umejitokeza mweenyewe, kilichobaki ni yeye tu kumalizia, mimi nitakuja ukumbini kusherehekea harusi yenu.
😄Ok, asante kwa ufafanuzi!
 
Habari!

Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo, nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,

1. Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato

Mengine tutajuzana PM, karibu.
Look no further. The man you’re looking for is finally here. Grab this opportunity now!!! Note: terms and conditions apply. This advertisement has been vetted and approved by the Single & Searching Committee.
 
Back
Top Bottom