Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa unanipigia kelele oohh.. Makaveli nigaie pasi, nipigie pande, haya sasa captain maguire katoa boko, back pass hii mzee, ukitaka kufinya, kipa katoka hiyo mzee ukitaka kuchop kama Dennis Bergkamp, ni wewe tu, mie nitakuja kwenye kibendera kusherehekea nawe. 😂Nitumie picha yako Pm.
Bilashaka huu sio ujumbe wangu ndio maana sijauelewa. Hope mwenye ujumbe wake ataelewa vyemaUlikuwa unanipigia kelele oohh.. Makaveli nigaie pasi, nipigie pande, haya sasa captain maguire katoa boko, back pass hii mzee, ukitaka kufinya, kipa katoka hiyo mzee ukitaka kuchop kama Dennis Bergkamp, ni wewe tu, mie nitakuja kwenye kibendera kusherehekea nawe. 😂
Bilashaka huu sio ujumbe wangu ndio maana sijauelewa. Hope mwenye ujumbe wake ataelewa vyema
Kuna mtu nilireply comment yake.. RReignsBilashaka huu sio ujumbe wangu ndio maana sijauelewa. Hope mwenye ujumbe wake ataelewa vyema
Look no further. The man you’re looking for is finally here. Grab this opportunity now!!! Note: terms and conditions apply. This advertisement has been vetted and approved by the Single & Searching Committee.Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo, nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1. Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Kila la kheri shemu😄Ok, asante kwa ufafanuzi!