Anahitajika mwanaume aliyetayari kuwa mume

Anahitajika mwanaume aliyetayari kuwa mume

Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato

Mengine tutajuzana PM, karibu.
Nicheki pm tuyajenge
 
Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato

Mengine tutajuzana PM, karibu.
Mí níkσ nα 33, jє! nαruhuѕíwα?
 
Mimi nina sifa zote hizo,ila naomba tuonjane kwanza harafu ndiyo taratibu zingine zifuate.
 
Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo, nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,

1. Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato

Mengine tutajuzana PM, karibu.
Anahitajika mwanauume🤣
 
Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo, nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,

1. Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato

Mengine tutajuzana PM, karibu.
Samahani, Baba wa mtoto yuko wapi?

Mtoto ana umri gani?
 
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
emoji3.png
watu naona toka juu wameuliza sana ila naona analipotezea kiaina kama halion vile we jarib kufuatilia toka juu kuna kitu utagundua
Samahani kama kuna wanaokwazika kwa kutokujibu hili swali, sikuona vyema kulijibu hapa, ila wanaokuja PM wanapewa majibu.
 
Ulishapata Au bado?
Kuna jamaa yangu anatafuta Mike, anasifa Kama hizo kasoro Ni mwislam
(Kama ubagui dini)
 
Back
Top Bottom