luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Wewe kweli kivuruge😂Nataka mke, mm nina umri wa miaka 40 na mkristo
Sifa za mke.
Awe na umriwa miaka 30 awe bikra
By Mamlaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kweli kivuruge😂Nataka mke, mm nina umri wa miaka 40 na mkristo
Sifa za mke.
Awe na umriwa miaka 30 awe bikra
By Mamlaka
Kama upo tayari semaWewe kweli kivuruge😂
Nicheki pm tuyajengeHabari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Mí níkσ nα 33, jє! nαruhuѕíwα?Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Haya sawaHapana mpendwa!
Anahitajika mwanauume🤣Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo, nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1. Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Heboo,yaani mtu akuoe kwanza kuanja asali baada ya ndoa?.haupo makini.Kuonjana tena!? Hiyo hapana
Samahani, Baba wa mtoto yuko wapi?Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo, nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1. Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
hahahaaaaa!Kuna wahuni watauliza
" Uyo baba wa mtoto wako Yuko hai?
"Kama amekufa kaburi lilijengewa tunaweza kwenda kuliona au lilisombwa na mvua ya mafuriko? " [emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]watu naona toka juu wameuliza sana ila naona analipotezea kiaina kama halion vile we jarib kufuatilia toka juu kuna kitu utagundua
Samahani kama kuna wanaokwazika kwa kutokujibu hili swali, sikuona vyema kulijibu hapa, ila wanaokuja PM wanapewa majibu.![]()
![]()
watu naona toka juu wameuliza sana ila naona analipotezea kiaina kama halion vile we jarib kufuatilia toka juu kuna kitu utagundua![]()
Haaaaa Haaaaa 😂 kweli kabisa namimi naahidi mchele kg 10Bro ukioa naahidi cret 5 za 🍻
Ashindwe yeye sasaHaaaaa Haaaaa 😂 kweli kabisa namimi naahidi mchele kg 10