Anahitajika mwanaume aliyetayari kuwa mume

Anahitajika mwanaume aliyetayari kuwa mume

Kuna bigexo mnawela sijui hamjui au m ajua...mfano...kazi au asiwe na ndoa au shughuli ya kumuingizia kipato? Huyo Mwanaume do you think he is there waiting to provide tu....what are going to offer him in return? Mnakosea mno. Nowdays Men hatuhitaji stubborn woman Hasa kwenye demanding
Kigezo cha awe anajishughulisha hakimaanishi kuwa mwanamke anawaza umtumie na ya kutolea bali ni kujiepusha na wanaume ambao ni marioo

Kigezo cha asiwe na ndoa, ni kuepusha kuingilia ndoa za watu.
 
Kigezo cha awe anajishughulisha hakimaanishi kuwa mwanamke anawaza umtumie na ya kutolea bali ni kujiepusha na wanaume ambao ni marioo

Kigezo cha asiwe na ndoa, ni kuepusha kuingilia ndoa za watu.
Nimependa sana utulivu wako hata ulipopewa majibu ya kebehi.
 
Kwa huo umri nimekidhi vigezo na nakuhitaji changamoto Nina tatizo la upungufu wa nguvu za chini upo tyr kunivumilia kama ndio njoo pm.
 
Nilichopenda kutoka kwenye Uzi wako ni kweli Nina uhitaji na imedhamilia na umekuja na ID yako ya zamani na umeonyesha ukomavu wa akili..

Siyo Hawa wengine wanaanzisha mada kama hizi halafu wanapotea kabisa hawajibu comment na hawapo tayari kubadirishana hata namba za Simu.

Wewe unajiamini na huna kasoro yoyote mengine ni mapungufu ya kibinadamu.

Karibu na Mungu akusaidie
 
Nilichopenda kutoka kwenye Uzi wako ni kweli Nina uhitaji na imedhamilia na umekuja na ID yako ya zamani na umeonyesha ukomavu wa akili..

Siyo Hawa wengine wanaanzisha mada kama hizi halafu wanapotea kabisa hawajibu comment na hawapo tayari kubadirishana hata namba za Simu.

Wewe unajiamini na huna kasoro yoyote mengine ni mapungufu ya kibinadamu.

Karibu na Mungu akusaidie
Ubarikiwe🙏
 
Kwa huo umri nimekidhi vigezo na nakuhitaji changamoto Nina tatizo la upungufu wa nguvu za chini upo tyr kunivumilia kama ndio njoo pm.
Pole sana kwa changamoto unayopitia. Karibu
 
Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato

Mengine tutajuzana PM, karibu.
Shida Nina miaka 35 ila sifa zote ninazo kama vipi njoo PM
 
Back
Top Bottom