Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Upo tayari kutoa tunda kabla ya ndoa au baada ya ndoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigezo cha awe anajishughulisha hakimaanishi kuwa mwanamke anawaza umtumie na ya kutolea bali ni kujiepusha na wanaume ambao ni mariooKuna bigexo mnawela sijui hamjui au m ajua...mfano...kazi au asiwe na ndoa au shughuli ya kumuingizia kipato? Huyo Mwanaume do you think he is there waiting to provide tu....what are going to offer him in return? Mnakosea mno. Nowdays Men hatuhitaji stubborn woman Hasa kwenye demanding
Nasubiria tangazo la hili jimbo 😀😀😬Bila shaka upo Katika selection! Kila lakheri dear Mungu akupepo macho ya rohoni!
hee married with two kids mie!Nasubiria tangazo la hili jimbo 😀😀😬
Nimependa sana utulivu wako hata ulipopewa majibu ya kebehi.Kigezo cha awe anajishughulisha hakimaanishi kuwa mwanamke anawaza umtumie na ya kutolea bali ni kujiepusha na wanaume ambao ni marioo
Kigezo cha asiwe na ndoa, ni kuepusha kuingilia ndoa za watu.
Ubarikiwe🙏Nilichopenda kutoka kwenye Uzi wako ni kweli Nina uhitaji na imedhamilia na umekuja na ID yako ya zamani na umeonyesha ukomavu wa akili..
Siyo Hawa wengine wanaanzisha mada kama hizi halafu wanapotea kabisa hawajibu comment na hawapo tayari kubadirishana hata namba za Simu.
Wewe unajiamini na huna kasoro yoyote mengine ni mapungufu ya kibinadamu.
Karibu na Mungu akusaidie
Ni sahihi karibia 98% wana majigambo na hivi vituHuu ni uongo uliotukuka. Nyinyi wanawake wasomi hamna uwezo wa kuitumikia ndoa. Nyinyi ni wajeuri, wajuaji na mnaotaka kutawala wanaume. Ndio sio kwa ajili yenu nyinyi endeleeni na u superwomen wenu
Cha umriNiko serious my dear. Majibu gani yanayokupa walakini? Unakosa kigezo gani? Karibu
Shida Nina miaka 35 ila sifa zote ninazo kama vipi njoo PMHabari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wacheka nini we Sam[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuma picha pm,tuanze kuyajengaNitashukuru nikimpata aliye serious
Chura ipo!?Sawa