Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Poa ngoja niwahi huko Pm na Cv zangu nijaribu bahati yanguKazi yoyote halali ya kumuingizia kipato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa ngoja niwahi huko Pm na Cv zangu nijaribu bahati yanguKazi yoyote halali ya kumuingizia kipato
Sifa zote ninazo ila Imani tu, imeendelea kututenganisha.Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nataka mke, mm nina umri wa miaka 40 na mkristo
Sifa za mke.
Awe na umriwa miaka 30 awe bikra
By Mamlaka
Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Nyie ni wapuuzi tu, mtu akija inbox mnaanza kuchambua kazi anayo fanya ili ajue atapata nini, Kuna mmoja humu nilimsoma nikajua hamna kitu hapo. Ndoa haipatikani humu jf, inapatikana mazingira mliyopo na Kwa msaada wa MUNGU kupitia mawazo yako dhidi ya mtu anayekuijia, elimu na pesa ndo mnazotazama zaidi ilihali wenye elimu wanazidiwa ukarimu na hata akili ya kuendesha maisha na watu wa kawaidaHabari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Jo. Humu jukwaani usiwe serious saaaanahTafsiri ya uzi wako
wewe ni mwanamke Umekuja kutafuta beta male Provider (mwanaume danga) Aka sponsa wa kukuhudumia kipesa wewe na mwanao, na si mapenzi, baada ya alpha males ulowataka kukuzalisha na kukukimbia..
Kama huko mtaani umekosa wanaume hadi umekuja huku jf kuwatafuta basi una matatizo mtambuka.
Unaanzisha uzi utafute attention tu umekuja hapa kutuchora na kutuona maboya jinsi tutakavojazana huko pm kukutext ili usitujibu Ednatha
Nashukuru kwa tafsiri yako mpendwaTafsiri ya uzi wako
wewe ni mwanamke Umekuja kutafuta beta male Provider (mwanaume danga) Aka sponsa wa kukuhudumia kipesa wewe na mwanao, na si mapenzi, baada ya alpha males ulowataka kukuzalisha na kukukimbia..
Kama huko mtaani umekosa wanaume hadi umekuja huku jf kuwatafuta basi una matatizo mtambuka.
Unaanzisha uzi utafute attention tu umekuja hapa kutuchora na kutuona maboya jinsi tutakavojazana huko pm kukutext ili usitujibu Ednatha
SawaNyie ni wapuuzi tu, mtu akija inbox mnaanza kuchambua kazi anayo fanya ili ajue atapata nini, Kuna mmoja humu nilimsoma nikajua hamna kitu hapo. Ndoa haipatikani humu jf, inapatikana mazingira mliyopo na Kwa msaada wa MUNGU kupitia mawazo yako dhidi ya mtu anayekuijia, elimu na pesa ndo mnazotazama zaidi ilihali wenye elimu wanazidiwa ukarimu na hata akili ya kuendesha maisha na watu wa kawaida
Mbona pm hujibuPole sana kwa changamoto unayoipitia. Kwangu mimi, "Mume ni mwanaume mwenyeuwezo wa kumpenda mkewe na kuongoza familia yake".
Ahhh hapo hulii bila ndoa[emoji16][emoji16]Haya wazee wa kula kimasihara kazi kwenu[emoji23]