Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aweke cheti cha kifo na barua ya serikali za mtaaKuna wahuni watauliza
" Uyo baba wa mtoto wako Yuko hai?
"Kama amekufa kaburi lilijengewa tunaweza kwenda kuliona au lilisombwa na mvua ya mafuriko? " [emoji3]
Ednatha, naomba picha yako PM.Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
🤣🤣🤣🤣 we utaibiwa bikra zinatengenezwa!Nataka mke, mm nina umri wa miaka 40 na mkristo
Sifa za mke.
Awe na umriwa miaka 30 awe bikra
By Mamlaka
Miaka 30 bikra?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nataka mke, mm nina umri wa miaka 40 na mkristo
Sifa za mke.
Awe na umriwa miaka 30 awe bikra
By Mamlaka
Vipi mama unahitaji mwanaume mwenye kazi gani?Habari!
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 38, mkristo,nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamume aliyetayari kwa ndoa mwenye sifa zifuatazo,
1.Awe na umri kati ya miaka 40 mpaka 50.
2. Awe mkristo
3. Asiwe na ndoa
4. Awe na shughuli ya kumuingizia kipato
Mengine tutajuzana PM, karibu.
Kila la heri,utampata tu.Ndio
Bro ukioa naahidi cret 5 za 🍻Njoo pm tuyajenge....upo mkoa gani
Bro ukioa naahidi cret 5 za [emoji482]
Mzee wa kugegedaBaharia tu huyo hana lolote[emoji23][emoji23]
Kigezo cha umri kinanikosesha mke hapa!Bado