Anaitwa Queen of Darkness ndie awapae nguvu za Giza wasanii wakubwa

Anaitwa Queen of Darkness ndie awapae nguvu za Giza wasanii wakubwa

Anaetoa vipaji kwa wanadanu ni nani?

Kama ni Mungu, kwanini awape watu vipaji vya kuimba ilhali muziki ni ushetani?
Shetani alikuwa malaika wa sifa mbinguni yaani mkuu wa music.
Mungu utoa vipawa kwa wote ukija duniani tayari Pana program au mission inatakiwa uikamilishe walimu wa nyota wanaijua hii.
So shetani kwa sababu ndie mkuu wa dunia hii kwa wasio na Mungu yeye uvitumia hivyo vipawa umtukuze yeye thus 90% ya music ni kumtukuza shetani kuanzia nyimbo mavazi nk ushahidi check nyimbo hizo nyingi ni ibada kamili
 
Back
Top Bottom