Anaitwa Queen of Darkness ndie awapae nguvu za Giza wasanii wakubwa

Anaitwa Queen of Darkness ndie awapae nguvu za Giza wasanii wakubwa

Hapo umeeleza vizuri trade ya kutrap souls kupitia matendo maovu .. wao hawajauza nafsi ila wameamua kujiunga kwenye ufalme huo kwa benefits fulani na ni watu wa ufalme huo tayari wakiwa na nafsi zao ..

Nini maana ya Nafsi?
Nafsi ni mwili wa ndani wa mtu ambao KAZI yake ni kubeba au kutunza record ya maisha yako.
Binadamu ana miili miwili wa nje unaokufa na wa ndani uliokufa huu uonekane ktk ulimwengu wa roho,huu ndo wachawi Wana Dili nao ndio unaoongoza mwili wa nje.
 

Attachments

  • Screenshot_20250228_220222~2.jpg
    Screenshot_20250228_220222~2.jpg
    48.8 KB · Views: 1
Acha majungu Mkuu watu wanapambana Sana kukuza brand zao kwa kutumia akili , pesa na maarifa sasa inakuaje unawashutumu watu Kwa hear say
 
Ndo Mungu mke(malkia wa mbinguni) huyo alikuwa anaabudiwa na wengi kwa kutojua na wachache kwa kujua.rejea

Matendo 19:27
Si kwamba kazi hii yetu ina hatari ya kudharauliwa tu; bali na hekalu la mungu mke aliye mkuu, Artemi, kuhesabiwa si kitu, na kuondolewa utukufu wake, ambaye Asia yote pia na walimwengu wote humwabudu.
 
Manini hayo?

Mimi sijui na sioni nataka unithibitishie hilo maana Tanzania sisi ni mabingwa wa kutengeneza conspiracy theories sana....

Ukiwa na pesa waliofeli watakuita freemason....

Ukiwa na fame kubwa utaambiwa ni devil worshiper

Yaani kiufupi watu wanataka uishi kama wanavyo taka wao...

Kuna kipindi Nasibu alijua kwamba asilimia kubwa ya wabongo ni wajinga na wapumbavu hivyo kwa sababu naye anapenda kutrend akawa anavaa nguo nyeusi na gloves nyeusi basi kila page za udaku na watu wavivu kufikiri wanampeleka mjini utasikia ni masonic yule huoni hata mavazi yake....

Usiingie kwenye huo mtego unless uwe unaweza kuthibitisha hilo....

Tutafute life tu mkuu tuachane na haya makasiriko ya kuhisi kila ambaye ana fame, kila ambaye anafanya kazi na Fulani basi ni masonic...

Maisha sio rahisi hivyo na ukiangalia majority ambao tunakomaa sana na hizo story ni sisi watu wenye kipato cha chini kwa sababu huwa tunatumia kama execuse na sehemu ya kujifariji kwa kutokuwa na good life kama wao.
Ni zaidi ya mavazi. Angalia nyimbo zake zimebeba maudhui gani. Mavazi yanasindikiza agenda tu,agenda yenyewe inabebwa kwenye maneno ya nyimbo.

Kinywa cha mtu hutoa yaujazayo moyo wake!
 
Mbibi kama huyu unamkaza vilivyo ili aendelee kukubariki na utajiri
 
We uoni maudhui ya music ni kumtukuza zaidi shetani.
Music una nini zaidi ya ngono,pombe,Bata,ugomvi,kukaa uchi.
Ni Dili shetani ananufaika kwa kumsaidia kuibomoa jamii n wewe una nufaika kwa kupata pesa.Ni dirty game.
Vipi kuhusu muziki wa injili?

Muziki ni nini?
 
Hata huu mziki wa injili ukiutazama kwa jicho la rohoni ni ushetani,,tangu mwanzo haikuwa hivi.ndiyo maana AGANO JIPYA liko kimya juu ya mziki, kwakua lenyewe ni AGANO la rohoni Wala sii la mwili.
Fafanua, kwa jicho la rohoni unauona vipi? Namaanisha vipengele vipi unauona ni ushetani?

Kwa nini kuna talanta za uimbaji? Mungu alilenga nini kutoa talanta hizo kwa wale wanaofanya muziki?
 
Fafanua, kwa jicho la rohoni unauona vipi? Namaanisha vipengele vipi unauona ni ushetani?

Kwa nini kuna talanta za uimbaji? Mungu alilenga nini kutoa talanta hizo kwa wale wanaofanya muziki?
Nyimbo nyingi za injili za sasa anaimbiwa shetani na sio Mungu hasa kwenye haya makanisa ya wanawake saba
 
Back
Top Bottom