The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
- Thread starter
- #61
Chukua yanayokuhusuUjinga umeutoa X/Twitter umeuleta huku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua yanayokuhusuUjinga umeutoa X/Twitter umeuleta huku.
Upuuzi mtupuChukua yanayokuhusu
Sio duniani.. huko kwa wazungu...Kuna watu wanajiulizaga zile nguo za ajabu ajabu za wasanii katika majukwaa na safari za kimataifa wanazitoaga wapi au wanaiga wapi? Ukweli ni kwamba fani ya mitindo kidunia ni kati ya fani zilizotawaliwa mno na nguvu za g!za(kuz!mu)
Pichani ni mwanamitindo mwenye nguvu zaidi ulimwenguni Michele Lamy raia wa Ufaransa. Huyu bibi kwa jina jingine anaitwa "Hollywood Witch with black fingers".
Lamy ndio mwanamitindo mwenye nguvu zaidi ulimwenguni na ndio anayewavisha mastaa wakubwa zaidi ulimwenguni. Page hii maarufu zaidi kwa sasa tz "Dunia Ina Mambo" imefatilia kwa kina kukupa haya usiyoyajua. Anatajwa kama mwanamitindo mwenye mafanikio makubwa zaidi ulimwenguni ambaye pia amewahi kukiri hadharani kwamba HAMUAMINI MUNGU.
Kiufupi huyu ni moja ya mawakala wakubwa wa jumuiya za siri na kila msanii anayekatiza katika mikono yake lazima nyota yake iwake kwelikweli duniani kote. Taarifa zaidi kuhusu maisha yake nmekuekea link hapo chini kwenye comments
Baadhi ya wasanii waliopita mikononi mwake ni Kim Kadarshian, Travis Scott, Usher Raymond, P. Diddy, Cardi B nk
Kimsingi mikataba mingi ya umaarufu wanayopitia wasanii maarufu ulimwenguni ina mambo ya siri ya kutisha nyuma ya pazia, umaarufu sio rahis na kwa upande mwingine ni hatar!
Mabrand makubwa yote ulimwenguni ya mitindo yanahusishwa na mambo ya giza, kwa wale mnaopenda mabrand bila kujua fuatilieni mtakuja kunishukuru
Kanye West aliwahi kukiri mikataba hiyo ya umaarufu na utajiri huusisha kuuza nafs! zao.
Inatisha aisee
Huyu bibi ni noma kwenye mambo yetu Yale ya usiku ana mabogidiwasionekana.
Wasanii wetu wawahi kwake wakachukue upako watoboe
Picha zaidi kwenye comments
Kwaiyo chuma ndo kimezaliwa mwaka 2006 au Ni nini huko🤔Halafu sasa fikiria kuna chuma kimemuweka ndani kama mke na wanazeeka pamojaView attachment 3252565
Wakati vijana bongo wanaogopa kuoa vimwana wa kila rangi waliojaa mitaani huko France kuna mtu analala na haka kajini mtu na haoni hatari but bora huyu kama kumvalisha msanii kunamfanya kuwa maarufu kuliko alivyokuwa anawafanyia diddy
Hawa wa bongo ni wazungu?Sio duniani.. huko kwa wazungu...
Hujanielewa, nimejibu hoja ya kwamba, huyo mwana dada ndo mwanamitindo mwenye nguvu duniani...Hawa wa bongo ni wazungu?
Nguvu za kiroho Hana mpinzaniHujanielewa, nimejibu hoja ya kwamba, huyo mwana dada ndo mwanamitindo mwenye nguvu duniani...
Kwani Kuutoa x ni kosa jamani wengine hatukuyaona hayaUjinga umeutoa X/Twitter umeuleta huku.
Then kanuni za kunukuu zizingatiwe. Isiwe amefanya piracyKwani Kuutoa x ni kosa jamani wengine hatukuyaona haya
Wewe wasemaNguvu za kiroho Hana mpinzani
Sio kila kitu kitawekwa wazi ila jua haya mambo yapo, ndo maana tunaambiwa usiku watu wanawanga ila hatuna vithibitishoHizi story za kuuza nafsi .. wanauza nafsi kwa nani? Wanafanyaje hiyo trade ya kuuza nafsi?.. Tufunguke sasa tuache tu kuamini bila vithibitisho
Lakini masonic wanatoa kafara pamoja na kafara zingine kafara yao kuu ni ushogaMasons na illuminants hawamin mungu wala hawaamin shetani, wao ni kama atheists.
Ila satanists au church of satan wao ndo wanamuabudu shetan na wanachama wake ndo kama hao kina ye.
Wanauza nafsi kwa shetani ili awape umaarufu hii ni trade agreement ya 50/50.Ipo hivi wanapewa maudhui wapromote ngono, ushoga,ulevi,usagaji,nk kupitia nyimbo zao,video, mavazi, tattoo, fashion na life staili yao check kwenye video nyimbo zao kupitia mashabiki zao wataiga kile wanachokiona kwa hawa ma agent wa shetani watapata show na pesa nyingi and then shetani unufaika nao pale jamii inapoiga wale wayaonayo.Hizi story za kuuza nafsi .. wanauza nafsi kwa nani? Wanafanyaje hiyo trade ya kuuza nafsi?.. Tufunguke sasa tuache tu kuamini bila vithibitisho
Hapo umeeleza vizuri trade ya kutrap souls kupitia matendo maovu .. wao hawajauza nafsi ila wameamua kujiunga kwenye ufalme huo kwa benefits fulani na ni watu wa ufalme huo tayari wakiwa na nafsi zao ..Wanauza nafsi kwa shetani ili awape umaarufu hii ni trade agreement ya 50/50.Ipo hivi wanapewa maudhui wapromote ngono, ushoga,ulevi,usagaji,nk kupitia nyimbo zao,video, mavazi, tattoo, fashion na life staili yao check kwenye video nyimbo zao kupitia mashabiki zao wataiga kile wanachokiona kwa hawa ma agent wa shetani watapata show na pesa nyingi and then shetani unufaika nao pale jamii inapoiga wale wayaonayo.
Mkataba huu wasanii unufaika kwa kupata pesa toka kwa shetani na shetani nae ufaidika na msanii pale anaoibomoa jamii kupitia nyimbo na video zake.