Anaitwa Queen of Darkness ndie awapae nguvu za Giza wasanii wakubwa

Anaitwa Queen of Darkness ndie awapae nguvu za Giza wasanii wakubwa

Ijumaa Leo Ngoja Niende Masjd Kupata Ilim Huku Nikinuia Kufunga Mwezi Mtukufu
 
Kuna watu wanajiulizaga zile nguo za ajabu ajabu za wasanii katika majukwaa na safari za kimataifa wanazitoaga wapi au wanaiga wapi? Ukweli ni kwamba fani ya mitindo kidunia ni kati ya fani zilizotawaliwa mno na nguvu za g!za(kuz!mu)

Pichani ni mwanamitindo mwenye nguvu zaidi ulimwenguni Michele Lamy raia wa Ufaransa. Huyu bibi kwa jina jingine anaitwa "Hollywood Witch with black fingers".

Lamy ndio mwanamitindo mwenye nguvu zaidi ulimwenguni na ndio anayewavisha mastaa wakubwa zaidi ulimwenguni. Page hii maarufu zaidi kwa sasa tz "Dunia Ina Mambo" imefatilia kwa kina kukupa haya usiyoyajua. Anatajwa kama mwanamitindo mwenye mafanikio makubwa zaidi ulimwenguni ambaye pia amewahi kukiri hadharani kwamba HAMUAMINI MUNGU.

Kiufupi huyu ni moja ya mawakala wakubwa wa jumuiya za siri na kila msanii anayekatiza katika mikono yake lazima nyota yake iwake kwelikweli duniani kote. Taarifa zaidi kuhusu maisha yake nmekuekea link hapo chini kwenye comments

Baadhi ya wasanii waliopita mikononi mwake ni Kim Kadarshian, Travis Scott, Usher Raymond, P. Diddy, Cardi B nk

Kimsingi mikataba mingi ya umaarufu wanayopitia wasanii maarufu ulimwenguni ina mambo ya siri ya kutisha nyuma ya pazia, umaarufu sio rahis na kwa upande mwingine ni hatar!

Mabrand makubwa yote ulimwenguni ya mitindo yanahusishwa na mambo ya giza, kwa wale mnaopenda mabrand bila kujua fuatilieni mtakuja kunishukuru

Kanye West aliwahi kukiri mikataba hiyo ya umaarufu na utajiri huusisha kuuza nafs! zao.

Inatisha aisee
Huyu bibi ni noma kwenye mambo yetu Yale ya usiku ana mabogidiwasionekana.
Wasanii wetu wawahi kwake wakachukue upako watoboe

Picha zaidi kwenye comments

Sio duniani.. huko kwa wazungu...
 
Halafu sasa fikiria kuna chuma kimemuweka ndani kama mke na wanazeeka pamojaView attachment 3252565

Wakati vijana bongo wanaogopa kuoa vimwana wa kila rangi waliojaa mitaani huko France kuna mtu analala na haka kajini mtu na haoni hatari but bora huyu kama kumvalisha msanii kunamfanya kuwa maarufu kuliko alivyokuwa anawafanyia diddy
Kwaiyo chuma ndo kimezaliwa mwaka 2006 au Ni nini huko🤔
 
Hizi story za kuuza nafsi .. wanauza nafsi kwa nani? Wanafanyaje hiyo trade ya kuuza nafsi?.. Tufunguke sasa tuache tu kuamini bila vithibitisho
 
Masons na illuminants hawamin mungu wala hawaamin shetani, wao ni kama atheists.

Ila satanists au church of satan wao ndo wanamuabudu shetan na wanachama wake ndo kama hao kina ye.
 
Hizi story za kuuza nafsi .. wanauza nafsi kwa nani? Wanafanyaje hiyo trade ya kuuza nafsi?.. Tufunguke sasa tuache tu kuamini bila vithibitisho
Sio kila kitu kitawekwa wazi ila jua haya mambo yapo, ndo maana tunaambiwa usiku watu wanawanga ila hatuna vithibitisho
 
Masons na illuminants hawamin mungu wala hawaamin shetani, wao ni kama atheists.

Ila satanists au church of satan wao ndo wanamuabudu shetan na wanachama wake ndo kama hao kina ye.
Lakini masonic wanatoa kafara pamoja na kafara zingine kafara yao kuu ni ushoga
 
Hizi story za kuuza nafsi .. wanauza nafsi kwa nani? Wanafanyaje hiyo trade ya kuuza nafsi?.. Tufunguke sasa tuache tu kuamini bila vithibitisho
Wanauza nafsi kwa shetani ili awape umaarufu hii ni trade agreement ya 50/50.Ipo hivi wanapewa maudhui wapromote ngono, ushoga,ulevi,usagaji,nk kupitia nyimbo zao,video, mavazi, tattoo, fashion na life staili yao check kwenye video nyimbo zao kupitia mashabiki zao wataiga kile wanachokiona kwa hawa ma agent wa shetani watapata show na pesa nyingi and then shetani unufaika nao pale jamii inapoiga wale wayaonayo.
Mkataba huu wasanii unufaika kwa kupata pesa toka kwa shetani na shetani nae ufaidika na msanii pale anaoibomoa jamii kupitia nyimbo na video zake.
 
Wanauza nafsi kwa shetani ili awape umaarufu hii ni trade agreement ya 50/50.Ipo hivi wanapewa maudhui wapromote ngono, ushoga,ulevi,usagaji,nk kupitia nyimbo zao,video, mavazi, tattoo, fashion na life staili yao check kwenye video nyimbo zao kupitia mashabiki zao wataiga kile wanachokiona kwa hawa ma agent wa shetani watapata show na pesa nyingi and then shetani unufaika nao pale jamii inapoiga wale wayaonayo.
Mkataba huu wasanii unufaika kwa kupata pesa toka kwa shetani na shetani nae ufaidika na msanii pale anaoibomoa jamii kupitia nyimbo na video zake.
Hapo umeeleza vizuri trade ya kutrap souls kupitia matendo maovu .. wao hawajauza nafsi ila wameamua kujiunga kwenye ufalme huo kwa benefits fulani na ni watu wa ufalme huo tayari wakiwa na nafsi zao ..

Nini maana ya Nafsi?
 
Back
Top Bottom