Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

NDUGU NAKUONA KAMA MSOMI ILA SIAMI KAMA UMEELIMIKA ,INAWEZEKANA ULIENDA SHULE LAKINI SHULE UKAIACHA SHULENI .Hauwezi kusema Roma katumwa wakati wewe uko hapa nchini unao Kila kinachoendelea kwani Roma alikaa na Watendeji wa Waka na kuwapatia maeelekezo ya kutopitisha wagombea wa upinzani nchi nzima da anyway ngoja niachie hapo
 
Like moja haitishi naomba nikuongeze na nyingine 100
 
Kwamba hujaskia popote katika wimbo wa ROMA alipoisifia serikali kwa kuongeza mapato na kuiomba serikali iboreshe mazingira ya maaskari na walimu.

Acheni kumtisha Roma,Mimi nafrkir Roma alitakiwa ayasemee maovu yote yanayofanywa na SERIKALI,sambamba na kuisifia pale atakapoona....
 
Jamaa limeandika insha ya kumjibu roma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nyoooo naona hili jimbo limetembea kwenye mishipa yako yote wewe. Hao walimu mmewapandisha madaraja kwa huruma au kwa sheria ya kazi? Je, ni madaraja ya barua tu au madaraja na barua na stahiki zake? Vipi annual increment ya walimu hao, sio wamedhulumiwa tangu 2015 ili haki yao hiyo itumike kununulia madege ambayo wao hawayapandi. nadhani roma anatimiza wajibu uliokuwa ukitimizwa na akina, FAROUK TOPAN wa Tamthiliya ya MFALME JUHA, MUHAMED S. KHATIBU wa DIWANI YA WASAKATONGE, na hata akina THEOBALD MVUNGI wa DIWANI YA MASHAIRI YA CHEKACHEKA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…