Anajuta kuwa mtoto wa waziri!

Maisha haya sio fair kabisa, mimi nina mwandiko safi ila niko hapa kwa Mtogole!

Mwenzangu anaandika kama mtoto wa chekechea yupo NY huko!
Kwa mtogole ni wapi?
 
Umefanya Jambo jema , tunasubiri mwendelezo kama uliwahi kuishi Good moment then ghafla ujikute upo hauna kitu lazima upate msongo wa mawazo hapo bila kupata Mtaalamu wa kukuvusha you must end up being drunker.
 
Maisha haya sio fair kabisa, mimi nina mwandiko safi ila niko hapa kwa Mtogole!

Mwenzangu anaandika kama mtoto wa chekechea yupo NY huko!

Tumia mwandiko kama tiketi ya ndege kwenda NY, usichoshe watu
 
Sema magu aliwakomesha wengi asee. Kifo chake kimewaponya mafisadi na wafanyabiashara wengi pia
 
Kaka mbona hichi kiswahili insonekana umetoka leo Manyoni kule Kintinku ndugu upo Biden kweli😁😁😁😁
 
Duuh pole yake na hongera kwa kuishi kifahari miaka mingi
 
Maisha haya sio fair kabisa, mimi nina mwandiko safi ila niko hapa kwa Mtogole!

Mwenzangu anaandika kama mtoto wa chekechea yupo NY huko!
Mujinger wewe🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…