Anajuta kuwa mtoto wa waziri!

Wewe umeuhakikishia ulimwengu wa JF kuwa shule ulienda kusomea ujinga.
 
Kaka za nyuuyoku,, ukirudi uniletee hata dundo ndugu yako,, hayo mengine atajua mwenyewe huyo mtoto wa ex waziri, kwanza kashakula sana gudi taimu,,
 
Tatizo lake kubwa ni R na L. Makosa mengine ni dictionary ya simu yake inabadili maneno na kumuharibia anacho andika.
Hovi inakuaje tatizo dogo kama hili la R& L mtu anaenda nalo hadi elimu za juu? Au elimu yetu ni zoa zoa?
 
Anatupiga fix huyo.
 
Taja jina la mtoto aliosoma kwa kodi za wasio soma na sasa anaisoma ...... tunaomba Jina la mzazi tujuwe tunacheka au tunalia hapo ndo tutaanza kujifunza [emoji854] kitu
 
Hovi inakuaje tatizo dogo kama hili la R& L mtu anaenda nalo hadi elimu za juu? Au elimu yetu ni zoa zoa?
Kuna Kundi la kwanza walio athiriwa na lugha zao za asili.

Kundi la pili ni generation Z wahanga wa waalimu wa kozi ya miezi sita walio zalishwa wakati wa Kikwete maarufu kama 'waalimu wa vodafasta'.

Kundi la tatu ni kuanzia millennials hadi generation Z ambao walisoma shule za english medium schools ambao shuleni na nyumbani hawakuwekewa mkazo kujifunza na kukitumia vizuri kiswahili. Akina Junior wale.

Vurugu zinazo letwa na mawaziri wa ovyo wizara ya elimu madhara yake yanaonekana baada ya muda kidogo huku wahusika hawapo madarakani kuwajibishwa.

Kikwete aliweka watu wa ovyo sana kwenye baadhi ya wizara. Hii yote sababu ya kulipana fadhila mambo ya wana mtandao.
 
Nakubaliana nawe kwa kila hoja. uliyoleta ,lakini swala la R&L ni la kisarufi na ndio msingi wa kwanza kabisa katika mhilili wa kusoma na kuandika ! Sasa kama mtu hana huo msingi ,huko elimu za juu anaenda kusomna au kuelewa nini?
 
Nakubaliana nawe kwa kila hoja. Uliyoleta lakini swala la R&L ni la kisarufi ndio msingi wa kwaza kabisa katika mhilili wa kusoma na kuandika ! Sass kama mtu hana huo msingi huko elimu za juu anaenda kusomna au kuelewa nini?
Mitihani mkubwa.
Hali mbaya sana huku mitaani.
Utasikia 'nyimbo hii'
Mara unasikia 'lisaa limoja'
 
Hujaelewa au umekurupuka as usual ya JF na kizazi cha 1990's to 2000's. Soma vizuri wametambulishana wakiwa wawili japo story hii ni chai ukiangalia anavyoiandika.
Loh, sasa wewe sijui unataka kusema kitu gani hapa. Kwamba ni muelewa mzuri wa unachokisoma? Mbona hii habari ndogo tu niliyo andika mimi tayari inakupa shida kuielewa?
 
Jamaa kaeleweka sana mlitaka Atype kichina Acheni ukosoaji wa kishamba

Itoshe kusema jamaa anaujumbe mzuri sana NY homeless wengi sana life Yao inategemea unga Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu amka kushakucha, utajinyea buree.
 
WaTanzania wengi akili hamna badala mjikite kwenye taarifa mnaanza ujuaji wa kijinga😕😕

NapitaKamaRadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…