Anamaanisha nini huyu Mwanamke

Anamaanisha nini huyu Mwanamke

Nenda chumbani Kisha Toka nduki kurudi sebuleni mwambie umeona panya anakimbizwa na mendee
Kisha mwambie unaogopa isijekuwa Kuna mdudu mwingine mwende hotelini mkalale
 
Leo wakati narudi nyumbani nimemkuta Mwanamke wangu anaangalia Tv sebuleni, nikamsalimia akakaa kimya.

Nimemuuliza shida ni nini, eti anasema "usilolijua ni sawa na usiku wa giza". Nimejaribu kumuuliza anamaanisha kitu gani ila akanikalia kimya.

Wakuu nimeshindwa kula, maana nahisi labda atakuwa kaniwekea vitu vya ajabu kwenye Chakula.

Kila nikimuuliza sababu ya yeye kubadilika ghafra ni nini hataki kusema. Naomba ushauri nifanyeje Wakuu.
Pole mkuu ila sanyingine mtu akikujibu upuuzi we mpotezee tu fanya mambo yakr kama hayupo vile mbona akili zitamrudi atasema tu hilo usilolijua.
 
Huwa nashangaa iweje kurudishwa nyumbani iwe adhabu, kwangu itakuwa vacation.
I Miss home😭
Umemisi home,?? kwani ndoa ndio inakukataza kwenda home, kwani ndoa ni gereza hilo, 😳😳 umemis home unazungumza na mwenzio hata mwezi hivi unaenda mtaani
 
Leo wakati narudi nyumbani nimemkuta Mwanamke wangu anaangalia Tv sebuleni, nikamsalimia akakaa kimya.

Nimemuuliza shida ni nini, eti anasema "usilolijua ni sawa na usiku wa giza". Nimejaribu kumuuliza anamaanisha kitu gani ila akanikalia kimya.

Wakuu nimeshindwa kula, maana nahisi labda atakuwa kaniwekea vitu vya ajabu kwenye Chakula.

Kila nikimuuliza sababu ya yeye kubadilika ghafra ni nini hataki kusema. Naomba ushauri nifanyeje Wakuu.
Anamaanisha Hua anagongwa nje na wewe hujui na hutawahi kujua
 
Mwanaume wa kweli haulizi maswali mengi,swali ulilouliza linatosha kabisa,muulize mara ya mwisho shida ni nini? Akiendelea kukaa kimya au kutoa majibu ya kipuuzi nenda next step....

......ambayo ni usimuulize tena, mwanaume habishani na mwanamke,fanya mambo yako kama kawaida usivuruge ratiba yako kwa namna yoyote, ondoka nyumbani kama unavyotoka siku zote rudi kama ratiba yako ya siku zote,kama kuna maagizo yoyote mpe,kwa kifupi wewe jitahidi kwa namna yoyote kujifanya kama hakuna kinachoendelea.

Labda kama hajapika,kula njiani usilale njaa sababu ya mwanamke,usimgombeze utaonyesha udhaifu,fanya mambo yako mwenyewe,amka nenda kazini,akipika kula usisuse, asipopika pia sawa,nakuahidi hapitishi siku tatu atakuambia shida ni nini.

Usibishane na mwanamke akiwa kwenye hali kama hiyo,we muache ahangaike mwenyewe,tafuta siku yako ambayo unaona amekuwa vizuri kisirani kimeisha,ongea naye yale unayoyataka kumwambia kwa upole kabisa.

Wanawake wanatabia ya kutaka kucheza na akili za wanaume,we fanya vyovyote asicheze na akili yako,hata kama inakuumiza jikaze usimuonyeshe hata kidogo,mana hilo ndo lengo lake.
Asante kwa ushauri Mkuu.

NITAUFANYIA KAZI USHAURI WAKO.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Kwani mkuu ingekua ni wewe ungefanya nini?
Ningekua Mimi asingefikia hata hiyo stage ya kunifanyia hivyo,angekua anajua anaishi na mtu wa aina gani na angekua anajua kua anaishi kwenye himaya yangu na Mimi ndio mtawala,Kiongozi wa hiyo himaya,So angeishi kwa kufuata misingi iliyowekwa ndani ya himaya anayoishi.
 
Back
Top Bottom