BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Lakini pia inaimarisha penzi na wote mnaenjoy.
Inachosha bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inachosha bana
I
Inachosha bana
Mimi tena BAK mimi mwanaume wangu hata kama tuna ugomvi likija swala hilo nampa hata kama nimenuna
Unataka kumbemenda?
😢 haaa basi sikujua hilo mamilooo, kumbe wapo wa aina mbiliLabda kama siyo mtamu [emoji28]
Mi miez 9 na nilipojifungua miez 6 ndo nikampa ivo tulikata mwaka na miez mi3.kutokuwa na hisia na mwenza huchangia sana
Ndo hivo ,jiulize mmoja wenu kapata safari ya mbali ya miaka mitatu. Miwili au na zaidi, hapo inakuwaje? Wewe kama wewe ungefanyeje?Mnaishi na mapadre? Hivi unaona sawa kabisa mwaka mzima jamaa ali mzigo na unachukulia poa? Utakuja kustuka ana watoto nje.
Ndo hivo ,jiulize mmoja wenu kapata safari ya mbali ya miaka mitatu. Miwili au na zaidi, hapo inakuwaje? Wewe kama wewe ungefanyeje?
Mimi tena BAK mimi mwanaume wangu hata kama tuna ugomvi likija swala hilo nampa hata kama nimenuna
Ndo nasubiri aniletee hao watoto ili iwe tiketi ya kuachana,maana iviivi sababu nakosaMnaishi na mapadre? Hivi unaona sawa kabisa mwaka mzima jamaa ali mzigo na unachukulia poa? Utakuja kustuka ana watoto nje.
Ndo nasubiri aniletee hao watoto ili iwe tiketi ya kuachana,maana iviivi sababu nakosa
Kama mnaweza kukaa muda wote huo bila sex kuna ndoa hapoUsimjaribu binadamu.
Kama mnaweza kukaa muda wote huo bila sex kuna ndoa hapo
[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]We mzee wa vinyeo wewe.. Mbona unataka kuharibu watu mzee.. [emoji23]
Nitakutolea mfano hai baadae chembaMiaka mi3 labda aende sayari ya Mars lakini kama ni hapa hapa duniani si panafikika? Kama panafikika atleast kila mwezi lazima aje au nimfate.
Relax Buddy,Hawa wanawake baada ya kuzaa wakati mwingine genye zinapungua au zinapanda.Mtoto ni wako mwache na yeye anyonye mpaka angalau afikishe miezi sita plus angalau hata akipata mimba nyingine inakuwa poa.Kwani unashida gani?Ukishindwa fuata ushauri wa daktariNaombeni msaada Wa mawazo hivi ni kawaida kwa mwanamke kumnyima mwanaume unyumba miezi mitatu mfululizo kwa kisingizio cha kulea au ndo naibiwa kimya kimya.
Naomben ushauri wa ki utu uzima kabla sija mrudisha huyu Binti kwao