Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Haaaaa Haaaaa 😂 mwezi?, tutapigana manAna tatizo la kiafya kama hana tatizo la kiafya muulize vizuri shida nini kama kubemenda mtoto si kweli Piga shoo hata kama mtoto ana mwezi mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaa Haaaaa 😂 mwezi?, tutapigana manAna tatizo la kiafya kama hana tatizo la kiafya muulize vizuri shida nini kama kubemenda mtoto si kweli Piga shoo hata kama mtoto ana mwezi mmoja
OK, nikikuwa mkubwa namimi unipe hiyo elimu tafadhali
Nikifikisha miaka 60😂😂😂😂😂kwani mkubwa inaanzia umri gani?
Nikifikisha miaka 60
Si kawaida hata kidogo.. Njaa ikikuuma anadhani utaenda kuponea wapi? Walau angekuachia hata mapajani tu kwa nyuma au chini ya kiuno kwa nyuma
MI Nampendaga sana mwanamke akitoka kujifungua ukae mwaka mzima bila kukutana na mumeKwa walio wapenzi ni muhimu sana na inaimarisha penzi labda kama penzi lenyewe ni la kitapeli au limelega legs.
MI Nampendaga sana mwanamke akitoka kujifungua ukae mwaka mzima bila kukutana na mume
Kwanini inakuwa hivyo sasa?Inategemea NTU na NTU. Sasa mwaka nzima unadhani ME hamu zake atazimaliza vipi? Si ndiyo mwanzo wa kutafuta mchepuko? KE wengi pia hawawezi kukaa mwaka mzima bila hiyo kitu.
Mimi tena BAK mimi mwanaume wangu hata kama tuna ugomvi likija swala hilo nampa hata kama nimenuna
Kwanini inakuwa hivyo sasa?
Kwa hiyo mwanamke anatakiwa apumzike siku tatu kwa wiki, Akuu naenda kwetuMiili ina mahitaji yake ME anapata utamu mara nne kwa wiki mara tu anakatiwa kwa mwaka nzima, unadhani ataweza kuvumilia?
Kwa hiyo mwanamke anatakiwa apumzike siku tatu kwa wiki, Akuu naenda kwetu
Kwa hiyo mwanamke anatakiwa apumzike siku tatu kwa wiki, Akuu naenda kwetu
Uchumi mkuu maisha ya dar konyo
Unataka kumbemenda?Naombeni msaada Wa mawazo hivi ni kawaida kwa mwanamke kumnyima mwanaume unyumba miezi mitatu mfululizo kwa kisingizio cha kulea au ndo naibiwa kimya kimya.
Naomben ushauri wa ki utu uzima kabla sija mrudisha huyu Binti kwao
Inachosha banaHahahahahaha nawe si unapata utamu? Au? Kwanini uone kama ni adhabu?