Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Na vimacho vyake vizuri... nadhani nilikuona ndotoni sina hakika...Hahhahaa mimi huyu nalia mimi huyu kweli naanzaje lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na vimacho vyake vizuri... nadhani nilikuona ndotoni sina hakika...Hahhahaa mimi huyu nalia mimi huyu kweli naanzaje lakini
Hahahhaha una nini lakiniNa vimacho vyake vizuri... nadhani nilikuona ndotoni sina hakika...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Chizi wangu bwana halafu nilivyokuona tu hapa nikasema huwezi kukaa kimya
Na vimacho vyake vizuri... nadhani nilikuona ndotoni sina hakika...
HahahhahahMdomo ulikua unanicheza, yani nisingeandika kifua kingenibana, kilikua kishaanza kubana ikabidi nilegeze bra..... [emoji125][emoji125][emoji125]
Tunaoteseka ni sisi tulioambiwa na wahenga "asie na mwana aeleke jiwe" hapa nilipo hamna hata jiwe, nabeba chupa ya safari lager.Na vimacho vyake vizuri... nadhani nilikuona ndotoni sina hakika...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shunie unanitesa, yani najisikia kama nimekabwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anyways hii thread ni ya jamaa kanyimwa unyumba... anahitaji muongozo...Hahahhaha una nini lakini
Ukiona unanyimwa ujue kuna mwenzio kaka anapewaMa sister, hivi inakuaje hasa hadi mtu unamnyima unyumba "Mana kunyimwa maana yake kwamba anafanya kusudi bila sababu za msingi" hivi mtu hadi anakuoa ni kitu gani hasa Cha kwanza alicho kitamani kwako hadi akafikia maamuzi ya kukuoa na kwanini umekuwa na si mwingine?
Je ni haki yako kimnyima?
Ni basi ili mladi umtese kihisia au?
Hana haki ya kupewa?
Humpendi tu ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunaoteseka ni sisi tulioambiwa na wahenga "asie na mwana aeleke jiwe" hapa nilipo hamna hata jiwe, nabeba chupa ya safari lager.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dahMdomo ulikua unanicheza, yani nisingeandika kifua kingenibana, kilikua kishaanza kubana ikabidi nilegeze bra..... [emoji125][emoji125][emoji125]
Umetokea wapi jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka.. nakuelewa.
Kuna sehemu niliona ulimuuliza.. Alikujibu?[emoji23]
Bila shaka nawe ulikua kwenye mkabo (kukabwa)😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka.. nakuelewa.
Samahani nisamehewe bure....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah
Msije badili huu uzi kama ule wa b.. da..
Mimi nafahamu kwamba una machozi ya karibu... na sitaki maswali...Mimi ndio nilisema hizi habari za kulia jamani
Hahahhaha halafu usikute upo seriousAnyways hii thread ni ya jamaa kanyimwa unyumba... anahitaji muongozo...
Kaa kwenye mada... ila lazima ugomvi nikutafutie nijue itaishiaje...