Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu usijisikie vibaya. Haya ni maoni tu ya kiande mmoja yasikufanye ufeel less needed. Wanaume tunatofautiana bhanatukishajijua tuna sura ya baba shepu shapeless tunakosa haiba ya kike
Sorry,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] harafu Kuna surprise unaandaliwa wewe[emoji1787][emoji1787]unapendwa harafu unalinga ???
Kwamba???Aah kmmmmmk wallah![emoji23][emoji23][emoji23]
Fuata moyo wako japo wapo watu watakao kuja kuambia naye anakishimo na utelezi ila zingatia moyo wako. Endelea kumkazia macho ukimuona alafu isikilize akili na moyo wako kama inamkataa sana achana naeWakuu
Huyu demu anajaribu kunishawishi kuwa ananipenda, lakini kwakweli ana sura ya baba.
Mlio na uzeofu na hawa ugly girls nipeni muongozo.
Ni sawa kumcheka mtu mwenye kitambi kwa sababu ni matokeo ya lifestyle yake na pia anaweza kukipunguza. Vipi ukimcheka mtu ni mbaya, mfupi au mweusi na wakati wewe umejikuta tu ulivyo bila kuweka jitihada yoyote😂😂😂 Kuna jamaa alimuoa mwanamke wa dizaini hiyo huko mkoani akamleta town
Mke wake alikuwa anakuja ofisini kwake (fundi na muuza vifaa vya pikipiki ) kumletea chakula
Washikaji walikuwa wanamcheka sana hadi akamkataza asikanyage pale ofisini
Washikaji waliendelea kumnanga hadi akamuacha yule manzi.
NB:
Usioe kwa faida yako tu angalia maslahi ya watoto wako
Usije kuoa mwanamke ambaye baadaye hata watoto wako hawatotaka mama yao ahudhurie shuleni kwao wakiogopa kuchekwa na wanafunzi wenzao
Hawa wengine wataolewa na nani mkuu 😁😁Pamoja na yote, muonekano ni muhimu. Mke awe na muonekano mzuri, avutie...yule ni ua, waridi, lazima avutie.
we ulitaka awe na sura ya mjomba au sura ya moderator?Wakuu
Huyu demu anajaribu kunishawishi kuwa ananipenda, lakini kwakweli ana sura ya baba.
Mlio na uzeofu na hawa ugly girls nipeni muongozo.
Wakuu
Huyu demu anajaribu kunishawishi kuwa ananipenda, lakini kwakweli ana sura ya baba.
Mlio na uzeofu na hawa ugly girls nipeni muongozo.
Hiyo sura unaila!?... By the way sijui kama kuna K zenye sura ya baba, mama wala shangazi!...Wakuu
Huyu demu anajaribu kunishawishi kuwa ananipenda, lakini kwakweli ana sura ya baba.
Mlio na uzeofu na hawa ugly girls nipeni muongozo.
Mkuu,Hawa wengine wataolewa na nani mkuu 😁😁
Kwa nini mwanaume kuchagua mwanamke mwenye mvuto kwa kuwabagua wasio na mvuto inaonekana ni sawa ila mwanamke kuchagua mwanaume mwenye pesa kwa kuwabagua wasio nazo inaonekana ni umalaya au si sawa.
Naamini kila shetani ana mbuyu wake mkuu na kila mtu achague kinachompa furaha
Umenijibu technically ila umeelewa 😁😁Mkuu,
urembo na uzuri, waridi na kuvutia vipo machoni pa mtu. So yule ninayemuona mrembo, huenda kwako ni wa kawaida sana, ndio maana wote wanaolewa.
Hata wadada,
Wapo wanaosema wanaitaji mume mwenye pesa, ukiuliza watakuambia awe anapewa 10k kwa siku. Wao 10k kumbe ni pesa ndefu😅😅😅 wakati wapo wadada matawi kweli kweli, ukimtoa out hata 500k inakata, so hata "kuwa na pesa" pia ni subjective.
Uzuri wengi wenye sura za baba wamejaliwa mafurushi Pro max.tukishajijua tuna sura ya baba shepu shapeless tunakosa haiba ya kike