Ananipenda sawa, lakini ana sura ya baba

Ananipenda sawa, lakini ana sura ya baba

Ni sawa kumcheka mtu mwenye kitambi kwa sababu ni matokeo ya lifestyle yake na pia anaweza kukipunguza. Vipi ukimcheka mtu ni mbaya, mfupi au mweusi na wakati wewe umejikuta tu ulivyo bila kuweka jitihada yoyote

Sijui kwa nini tunavichukulia kawaida hivi vitu, kumcheka ama kumdhihaki mtu kwa kitu ambacho hawezi kubadilisha si sawa.
Mkuu ukisikia wabongo wengi ni wajinga wasio na utu,washamba na wanafki unafikiri ni utan!!!!!!
 
😂😂😂 Kuna jamaa alimuoa mwanamke wa dizaini hiyo huko mkoani akamleta town


Mke wake alikuwa anakuja ofisini kwake (fundi na muuza vifaa vya pikipiki ) kumletea chakula

Washikaji walikuwa wanamcheka sana hadi akamkataza asikanyage pale ofisini

Washikaji waliendelea kumnanga hadi akamuacha yule manzi.


NB:

Usioe kwa faida yako tu angalia maslahi ya watoto wako


Usije kuoa mwanamke ambaye baadaye hata watoto wako hawatotaka mama yao ahudhurie shuleni kwao wakiogopa kuchekwa na wanafunzi wenzao
Duu binadamu wote ni sawa hakuna sura mbaya wala nzuri
 
Ni sawa kumcheka mtu mwenye kitambi kwa sababu ni matokeo ya lifestyle yake na pia anaweza kukipunguza. Vipi ukimcheka mtu ni mbaya, mfupi au mweusi na wakati wewe umejikuta tu ulivyo bila kuweka jitihada yoyote

Sijui kwa nini tunavichukulia kawaida hivi vitu, kumcheka ama kumdhihaki mtu kwa kitu ambacho hawezi kubadilisha si sawa.
Ni ujinga tu na kukosa utu. Why umcheke binadamu mwenzako ili hali wote tumeumbwa.
 
Asilimia kubwa ya watoto wakike wanafanana na baba zao kuliko wa kiume.
Sio hivyo wala. Kuna jamii na koo ambazo watoto wakike wanawafanana mama zao na wa kiume wanawafanana baba zao.
Pia kuna koo zina damu nyepesi sana kupotezwa zile awe mama awe baba watoto hawatomfanana. Hizi ndizo pekee mzazi atachagua uzuri wa mwenza na akapatia kwa asilimia kubwa.

Kuna koo zenye damu nzito watoto wa kike na wa kiume wanawafanana baba zao, yani hawa unakuta baba mweusi na mama maji ya kunde wa asili yule kibongobongo wanasema mweupe ila mtoto wa kike anazaliwa mweusi ti. Baba kama ana kipara, mtoto wa kike anazaliwa ana bonge la komwe. Baba kama ana kichogo, mtoto wa kike anazaliwa na kichogo. Na unakuta ukoo mzima mabinti wanafanana baba zao.
 
Sio hivyo wala. Kuna jamii na koo ambazo watoto wakike wanawafanana mama zao na wa kiume wanawafanana baba zao.
Pia kuna koo zina damu nyepesi sana kupotezwa zile awe mama awe baba watoto hawatomfanana. Hizi ndizo pekee mzazi atachagua uzuri wa mwenza na akapatia kwa asilimia kubwa.

Kuna koo zenye damu nzito watoto wa kike na wa kiume wanawafanana baba zao, yani hawa unakuta baba mweusi na mama maji ya kunde wa asili yule kibongobongo wanasema mweupe ila mtoto wa kike anazaliwa mweusi ti. Baba kama ana kipara, mtoto wa kike anazaliwa ana bonge la komwe. Baba kama ana kichogo, mtoto wa kike anazaliwa na kichogo. Na unakuta ukoo mzima mabinti wanafanana baba zao.
Duh ni kweli kabisa
 
Pamoja na yote, muonekano ni muhimu. Mke awe na muonekano mzuri, avutie...yule ni ua, waridi, lazima avutie.
Huenda Sura ni ya Baba Ila ana chura elimu na pesa.... Na swagaz. Hizi ninakujaga kubalance kidogo Kama sura n ya Baba.
 
Aise tuko tofauti sana mm navutiwa sana na demu mwenye sura ya baba yaani napenda awe mweusi tii mrefu na awe na tako la wastani,huwa sivutiwi sana na demu mweupe na mrembo sana hyo sio type yangu kabisa.Mimi napenda black materials napenda gari nyeusi,bati nyeusi,demu mweusi, t-shirt nyeusi,simu nyeusi,gari nyeusi
 
Fuata Ushauri was masela hapo juu mkuu hususani kuhusu Tako.Unaambiwa mwanamke Tako sura tutavumiliana,au tutaziba hata na gazeti.
 
Back
Top Bottom