Mkuu ukisikia wabongo wengi ni wajinga wasio na utu,washamba na wanafki unafikiri ni utan!!!!!!Ni sawa kumcheka mtu mwenye kitambi kwa sababu ni matokeo ya lifestyle yake na pia anaweza kukipunguza. Vipi ukimcheka mtu ni mbaya, mfupi au mweusi na wakati wewe umejikuta tu ulivyo bila kuweka jitihada yoyote
Sijui kwa nini tunavichukulia kawaida hivi vitu, kumcheka ama kumdhihaki mtu kwa kitu ambacho hawezi kubadilisha si sawa.
Duu binadamu wote ni sawa hakuna sura mbaya wala nzuri😂😂😂 Kuna jamaa alimuoa mwanamke wa dizaini hiyo huko mkoani akamleta town
Mke wake alikuwa anakuja ofisini kwake (fundi na muuza vifaa vya pikipiki ) kumletea chakula
Washikaji walikuwa wanamcheka sana hadi akamkataza asikanyage pale ofisini
Washikaji waliendelea kumnanga hadi akamuacha yule manzi.
NB:
Usioe kwa faida yako tu angalia maslahi ya watoto wako
Usije kuoa mwanamke ambaye baadaye hata watoto wako hawatotaka mama yao ahudhurie shuleni kwao wakiogopa kuchekwa na wanafunzi wenzao
Huku ni kukosa utu na ubinadamu mkuu. Imagine umcheke mtu kuwa ni mbayaMkuu ukisikia wabongo wengi ni wajinga wasio na utu,washamba na wanafki unafikiri ni utan!!!!!!
Chunguza wanaofanya hivyo wao wenyewe wanajiona wapo vizuri kumbe kawaida sna .Huku ni kukosa utu na ubinadamu mkuu. Imagine umcheke mtu kuwa ni mbaya
Waambie hao. Ukiwa na hela hata mwanamke wako ataonekana pisi kali.Hakuna mwanamke mbaya tafuta hela imbadilishe
Ni ujinga tu na kukosa utu. Why umcheke binadamu mwenzako ili hali wote tumeumbwa.Ni sawa kumcheka mtu mwenye kitambi kwa sababu ni matokeo ya lifestyle yake na pia anaweza kukipunguza. Vipi ukimcheka mtu ni mbaya, mfupi au mweusi na wakati wewe umejikuta tu ulivyo bila kuweka jitihada yoyote
Sijui kwa nini tunavichukulia kawaida hivi vitu, kumcheka ama kumdhihaki mtu kwa kitu ambacho hawezi kubadilisha si sawa.
Na hawajui maana ya mapenzi na kumpenda mtu. Ukiona mtu anaanza kuangalia mapungufu ya mwili huyo hajapenda.Mkuu ukisikia wabongo wengi ni wajinga wasio na utu,washamba na wanafki unafikiri ni utan!!!!!!
Sio hivyo wala. Kuna jamii na koo ambazo watoto wakike wanawafanana mama zao na wa kiume wanawafanana baba zao.Asilimia kubwa ya watoto wakike wanafanana na baba zao kuliko wa kiume.
Sure mkuu ila sio sawaChunguza wanaofanya hivyo wao wenyewe wanajiona wapo vizuri kumbe kawaida sna .
Duh ni kweli kabisaSio hivyo wala. Kuna jamii na koo ambazo watoto wakike wanawafanana mama zao na wa kiume wanawafanana baba zao.
Pia kuna koo zina damu nyepesi sana kupotezwa zile awe mama awe baba watoto hawatomfanana. Hizi ndizo pekee mzazi atachagua uzuri wa mwenza na akapatia kwa asilimia kubwa.
Kuna koo zenye damu nzito watoto wa kike na wa kiume wanawafanana baba zao, yani hawa unakuta baba mweusi na mama maji ya kunde wa asili yule kibongobongo wanasema mweupe ila mtoto wa kike anazaliwa mweusi ti. Baba kama ana kipara, mtoto wa kike anazaliwa ana bonge la komwe. Baba kama ana kichogo, mtoto wa kike anazaliwa na kichogo. Na unakuta ukoo mzima mabinti wanafanana baba zao.
Kabisa unakuta ametamani tu.Na hawajui maana ya mapenzi na kumpenda mtu. Ukiona mtu anaanza kuangalia mapungufu ya mwili huyo hajapenda.
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!
Huenda Sura ni ya Baba Ila ana chura elimu na pesa.... Na swagaz. Hizi ninakujaga kubalance kidogo Kama sura n ya Baba.Pamoja na yote, muonekano ni muhimu. Mke awe na muonekano mzuri, avutie...yule ni ua, waridi, lazima avutie.