Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Ananitafuta akitaka tufanye mapenzi tu. Nataka kumuacha, nashindwa maana ninampenda

Kuna huyo Kijana.. nampenda ila yeye hanipendi kabisaa japo anajifanya kunipenda ila mimi Naona Hakuna upendo kabisa…

Tulikutana kazini huko tukaanzisha husiano ila ni kama mimi ndio nimelishikilia maana anaweza kaa hata siku 4 hajanicheck na akinitafuta hazungumzii lolote la maana.. yaani hatujawai kaa tukazungumza la maana zaidi ya sex

Kusema ukweli na mimi nimeshazoea akinitafuta Sawa asiponitafuta na mimi simtafuti yaani nimeamua kwenda na anavyoenda

Kinachoniumiza ni ile hali mmetoka kuonana yaani hapo mmeachana hawezi hata kukuuliza umefika salama yeye anapiga kimya kesho yake ama baada ya siku 2 ndio anakutafuta.. et kukujulia hali kama uko sawa na blablah

Nimeshajizuia mara nyingi akiniita nisiende ila nashindwa unakuta akinitafuta tu sichomoi lazima niende na nina kuwa napata hali ya kumis kusex nae kila wakati… huyu ni mwanaume wangu wa pili kuwa nae after my ex kufariki…

Sina mwanaume mwingine zaidi yake ila ananifanya nijione sina thamani kwasababu haijawai kutokea mimi kuwa hivyo najiona nimekuwa mrahisi kwake kwa kukubali kunitumia vile anavyojisikia

Mahusiano yana miezi 4 na tumeshasex zaidi ya mara 2…
Kingine huyu mwanaume hanipi hela zaidi ya nauli tu kama tukionana na mimi pia sijawah kumuomba hata vocha yake… jamani nampa bure kabisaa lakini yeye hajali kuhusu mimi…

Mpk ninahisi huyu mwanaume atakuwa ameniroga au Nina matatizo ya kisaikolojia

Naombeni ushaurii kama Hii hali ni ya kawaida au kunakitu hakipo sawa

Mimi Nina Miaka 24 yeye ana miaka 29
Mimi nina kazi na yeye pia ana kazi yake
Umeingia sehemu isiyo salama kwako, na baadae utalea mtoto peke Yako, usikubali kwenda kwa mtu asiyeona thamani Yako kwake nawe pia huoni kama anakuthamini, ushauri: usiendekeze moyo kuona huwezi kumuacha, MUACHE na atakuja atakayeiona thamani Yako, kama hujafanya hivi usingle mama uko karibu na wewe na hapo utakuwa umeharibu Kila kitu.
 
Bei gani Sasa 😂😂
Screenshot_20250114-141921_1.jpg
 
Mwaka Jana december hapo ulisema hugawi bure, mbona tena ghafla tayari umemiss kusex naye 😹🤣🤣

Sasa cha kufanya wewe tafuta pesa zako Ila ukimiss dyudyu mfate..!!!
🤣🤣🤣 sasa nimechoka nataka mahusiano seriously sio ya kupeana dudu.. hata hivyo na yeye amehisi ninamtumia kwenye sex
 
sasa si umwambie unauza akulipe kiliko kumpa bure? miezi minne ushavuliwa chupi zaidi ya mara mbili! mtu anakutafuta akiwa nanyege ashakuona we ni sex mashin wake, hujalogwa wala nn inaonekana anakukuna vizuri sana kiasi unarukwa na akili? ukiitambua thamani yako binti ndipo wengine watakuthamini.
Sana kabisa
 
Mwaka Jana december hapo ulisema hugawi bure, mbona tena ghafla tayari umemiss kusex naye 😹🤣🤣

Sasa cha kufanya wewe tafuta pesa zako Ila ukimiss dyudyu mfate..!!!
Alipie tangazo.😅
 
Ni kweli kwasababu pia na mimi ninakuwa nina hamu ya kufanya nae.. but kila nikimaliza hapo huwa najisikia vibaya
Ujue kuwa wakati hujafanya kitendo hicho ambaye anakuwa anakushawishi kufanya ni shetani,ukishafanya shetani ana kaa pembeni,roho wa Mungu ana anza kukuhukumu kuwa umemkosea Mungu,ndiomaana huwa unajisikia vibaya baada ya kufanya hivyo,kwa kuwa ni kitendo cha dhambi na kama unajisikia vibaya ujue kuwa Mungu bado anakupenda na unanafasi ya kumurudia na usipofanya hivyo shetani anayekutumia kufanya hivyo atakukataa siku ya hukumu kuwa hakukutuma yeye ulifanya kwa mapenzi yako mwenyewe.
 
Ni kweli kwasababu pia na mimi ninakuwa nina hamu ya kufanya nae.. but kila nikimaliza hapo huwa najisikia vibaya
ooh kama unajisikia vibaya huyo sio ridhiki yako! kama unaweza nitafute nina Tiba yako hiyo! tutakaa sehem na kuweka sawa nipo dsm..wewe je?
 
Back
Top Bottom