Ananitishia maisha baada ya kukataa kumsaidia malezi na kusitisha mahusiano

Ananitishia maisha baada ya kukataa kumsaidia malezi na kusitisha mahusiano

Samboko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2011
Posts
5,420
Reaction score
7,788
Habari za siku wana JF,

Kuna dada mmoja kabila lake msukuma tulifahamiana kazini kwangu nkaanza kumtania na tukajenga urafiki kwa muda mfupi tukawa tunachati kiasi, katika kunipeleleza kwake nilimwambia ukweli wa maisha yangu kimahusiano idadi ya watoto nilionao akanisema kwa tabia mbaya nilionayo kutokana na kua na watoto wengi na mama zao kua tofauti.

Siku tukawa tunachati nkamwambia napitia kwenye changamoto ya ukame wa papuchi nkamueleza na sababu za msingi zilizochangia japo nna mke, nkamwambia sa hivi nategemea punyeto tu, akawa ananishauri sio nzuri inaniharibu bora ntafute mchepuko adi mke wangu akae sawa, nkamwambia unaonaje ukanisaidia wewe akadai mi nna tabia mbaya so haniwezi,

Tumendelea mwishowe akakubali kwa sharti lazima tukapime na yeye hawezi sex na ndomu tukafanya hivyo, nkamwambia awe makini tu mi kwa sasa sitaki mtoto mwingine maana naona mzigo mzito na hali ya maisha kwa sasa akaapa hana mpango wa kuzaa watoto wake wawili wanamtosha, mmoja ana miaka 14 mwingine miaka 9 kwa hiyo hatoruhusu hilo litokee.

Baada ya kuingia kwenye mahusiano akajikuta ananipenda mazima na wivu juu, binafsi nilianza kuwaza kumpotezea baada kuona balaa lake ni zito yaani anataka hata kila siku tufanye akafikia kunipangia ratiba ikawa kwa wiki tunaenda mara 3 adi 4 gharama zitanishinda, tumeenda ivo adi mahusiano yetu yanafikia miezi minne ananiambia ana mimba akasema kaamua kwa kua ametokea kunipenda sana kaamua kunipa zawadi ya mtoto nkamkumbusha agizo langu akasema ndio ashaamua kwa niwe mpole tu nkamkatalia kua sipo tayari kwa hilo ndio akawa mkali na akadai yupo tayari kua hata mke wa 10 nkamkatalia lkn anafosi, yaani ni wale wanawake wenye masharti na hataki kupingwa anataka nitii tu anachotaka yeye,

Nikawa napunguza mawasiliano nae na lodge hatuendi tena hapo ndio kawa mkali na kuanza kunitishia maisha kama ntaendelea na maamuzi yangu ya kukataa mimba na kuvunja mahusiano,

Wiki ya pili hii anaitumia sms za vitisho tu kama ntaendelea na msimamo wangu litanikuta jambo na nisimlaumu.

Wadau embu nishaurini hapa maana sielewi cha kufanya kwa sasa.
 
Asante mkuu,
Mnisaidie namna naweza malizana na huyu mwanamke salama asijeleta madhara makubwa.
Aaaah sawa mkuu.

Kwa kua makosa yalishafanyika mwanzo huwezi rudi nyuma kurekebisha so kuna baadhi ya mambo unatakiwa ufanye.

1: kubali majukumu yako kama baba wa mtoto tarajiwa na mueleze hali halisi ya kiuchumi huyo mama kijacho.
Hii itasaidia kumpunguzia matatizo ya kisaikologia hasa hasira ambazo zaweza kuja leta madhara makubwa usiyotegemea.

2: kama huto jali muweke wazi wife, japo ni ngumu ila tafta namna ya kipekee kumuelezea na ataelewa. Kumbuka ukweli utakuweka huru.

3: kumbuka hayo yote hapo juu si marahisi kutekeleza so jipange kimwili na kiakili.

DON'T ACT LIKE A MAN, BUT TRY THE BEST TO BE A MAN.
 
Wengine ndio tumeumbwa ivo mkuu.
Hakuna kuumbwa ni kujiendekeza tu.. Mwenzio anaumwa ndio utoke nje, vipi we ungeugua akaenda kut....mbwa nje!? Si ungeng'aka wewe na kutaka kumchoma na gunia za mkaa, ukitaka kuwa mwanaume kamili lazima uweze kukontroo ndonga yako..

Umemkosea saana mkeo
 
Ushauli wangu hiyo mimba fanyeni mpango muitoee narudia tena mimba itolewe huyo mtoto asije kupata shida
 
Aaaah sawa mkuu.

Kwa kua makosa yalishafanyika mwanzo huwezi rudi nyuma kurekebisha so kuna baadhi ya mambo unatakiwa ufanye.

1: kubali majukumu yako kama baba wa mtoto tarajiwa na mueleze hali halisi ya kiuchumi huyo mama kijacho.
Hii itasaidia kumpunguzia matatizo ya kisaikologia hasa hasira ambazo zaweza kuja leta madhara makubwa usiyotegemea.

2: kama huto jali muweke wazi wife, japo ni ngumu ila tafta namna ya kipekee kumuelezea na ataelewa. Kumbuka ukweli utakuweka huru.

3: kumbuka hayo yote hapo juu si marahisi kutekeleza so jipange kimwili na kiakili.

DON'T ACT LIKE A MAN, BUT TRY THE BEST TO BE A MAN.
Hilo la kulea mtoto sana sana kwangu halikua tatizo kubwa maana kasema tutasaidiana wala hatonisumbua ni mimi niwajibike km baba pale atakapohitaji msaada wangu, lkn nyuma ya pazia nimetumia hili km kigezo kikuu ila kiukweli kasi yake ya kutaka kusex kila mara naona inanishinda, najiuliza na wife akirudi mzigoni na wanakaribiana kufanana mihemko itakuaje apo, na huyu msukuma ubaya wake hana ile sijui lini tuende, unashtuka tu kaja ofisini anakuambia kanipe ata kimoja au sms " utanikuta sehemu siwezi enda kulala bila kutiwa” yaani ni adicted wa ngono kiujumla na akitaka ukimyima kama yupo ofisini haondoki km ni sms atanuna balaa.
Yaani kiufupi ni hivyo hana kubembeleza yaani kwake ni km sheria na nilijitajidi kwenda nae sawa lkn huko mbeleni naona yatanishinda.
 
Hakuna kuumbwa ni kujiendekeza tu.. Mwenzio anaumwa ndio utoke nje, vipi we ungeugua akaenda kut....mbwa nje!? Si ungeng'aka wewe na kutaka kumchoma na gunia za mkaa, ukitaka kuwa mwanaume kamili lazima uweze kukontroo ndonga yako..

Umemkosea saana mkeo
Kweli mkuu nakubaliana na wewe ila kiukweli hii tabia inenishinda kabisa kuiacha na inanigharimu sana tu lkn sijui nna pepo gani kuacha nashindwa.
 
Back
Top Bottom