Ananitishia maisha baada ya kukataa kumsaidia malezi na kusitisha mahusiano

Heheh Nigga umepatikana..

Mkuu lea tu mtoto then yeye achana nae kabisa
 
Mambo ya kawaida boss, usiumize kichwa,,
Endelea kula mzigo ataacha vitisho. Kukata mawasiliano unakuwa unakuza mambo madogo.
Au nyau imeisha utam baada ya mimba? Au tafuta mchepuko mwingine halafu mgonganishe nao.
 
Hataki kuskia lolote, na alishasema mapema hajawahi na hatowahi kutoa ila asichotaka yeye anahisi namwacha kizembe.
 
Hahahaha mkuu inaonekana huna maamuzi nauwezo wa kuamua.

Lakini nataka nikwambie kitu,
Mke wako anatakiwa kuwa wa kwanza kwenye kila kitu na hapaswi kulinganishwa na side chicks, japo najua kuna wanawake ni pasua kichwa, lakini naamini mke wako anastahili [emoji817] pontentials kutoka kwako. na ndio maana ulimuoa.

Otherwise ulikurupuka kuoa
 
Uzoefu wote huo na kukubuhu juu, unahitaji ushauri gani hapa?
 
Kwenye suala la maamuzi naamini niko vizuri mkuu, wife sina tatizonae tunaishi vizuri tu ila kwa huyu mchepuko ndio naona ananipanda kichwani kwa fujo hataki kukubaliana na maamuzi yangu adi anafikia kinitisha kama ntaendelea na msimamo wangu.
 
Uzoefu wote huo na kukubuhu juu, unahitaji ushauri gani hapa?
Huyu wa kisukuma kanikalia tofauti sana, hataki kuskia na wala haelewi anadai haachwi kizembe zembe [emoji3]
 
Kwenye suala la maamuzi naamini niko vizuri mkuu, wife sina tatizonae tunaishi vizuri tu ila kwa huyu mchepuko ndio naona ananipanda kichwani kwa fujo hataki kukubaliana na maamuzi yangu adi anafikia kinitisha kama ntaendelea na msimamo wangu.
"Peace was never an option"
Itakusaidia
 
One thing led to the other.

Kiutani utani tu kaweka ki zygote.
Ukame nilikua nao kweli lkn anafosi muendelezo wakati hayakua makubaliano yetu kabla ndio maana nkamueleza uchafu wangu wote ili akilini ajue kabisa mi mtu wa aina gani lkn haijasaidia kitu.
 
Ukame nilikua nao kweli lkn anafosi muendelezo wakati hayakua makubaliano yetu kabla ndio maana nkamueleza uchafu wangu wote ili akilini ajue kabisa mi mtu wa aina gani lkn haijasaidia kitu.
Ukitaka kusaidika funga zipu.

CV Yako mbaya haiwezi mtisha mwanamke aache kukuvulia chupi.

Huwa tunaamini we are able to change any man.

Kumbe wengine kama wewe ni sikio la kufa.
 
Ndugu yangu,na wanaume wengine mtakaopita hapa.

Mwanamke akikuambia tuzae nitalea au tutasaidiana ni uongo. Hakuna hiko kitu, unless muwe mna ugomvi na hamuongei au umekufa kama upo hai ni utalea tu.

Mwanamke anaweza lipia gesti ila kichanga kikija hiyo ni wewe tu taka usitake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…