Ananitishia maisha baada ya kukataa kumsaidia malezi na kusitisha mahusiano

Tunakuwaga tumewaekea mtego.
 
Ila Samboko unadinya balaa. Na kila unakodinya unaweka mimba.

Badilika Acha uboya utawatesa watoto.

Shubaaaamit.

Thread 'Ushauri wenu muhimu sana, maana nnakoelekea siko.' Ushauri wenu muhimu sana, maana nnakoelekea siko.
Lengo langu sio hilo la watoto lkn wenyewe wanaachia tu na wanafurahia, huu uboya umenishinda kuacha ila naamini ipo siku Mungu atanisaidia ntaacha
 
Ukitaka kusaidika funga zipu.

CV Yako mbaya haiwezi mtisha mwanamke aache kukuvulia chupi.

Huwa tunaamini we are able to change any man.

Kumbe wengine kama wewe ni sikio la kufa.
Hahahaaaaa, sijawa sikio la kufa banaa, najianika ili waniogope lkn wapi.
 
Kweli mkuu wengi wao, ila wapo wachache wanaoweza kutii agizo lao, nna shuhuda mbili za hao.
 
Ebu tafuta mwanamke mwingine urudie tena, yaani urudie tena, urudie tena maana inaonekana wewe huwezi kujifunza kutokana na makosa ya mwanzo, nasema ivi urudie tena
 
A man loves pussy until he meets his match!! Hii mara 4 kwa wiki imekutoa jasho! Mke nae akianza kutaka si utakuwa ni 7/7 hakuna mapumziko!?
Ugomvi kwenye mahusiano huanza pale sex inapopungua, we usipunguze kwa haraka kwa kuwa ushamzoesha. Nenda nae kidiplomasia zaidi mtafika tu.
 
Mbona rahisi hili? Anataka ukamrushe roho AKA ukamto$$$$mbe sasa tatizo liko wapi? Si umpe haki yake? Una watoto wangapi jumla? Kwa mke na wa nje ya ndoa?
 
Inanitoa jasho kwa vingi, gharama na pia kwa kasi aliyonayo na tabia yake nikimjengea mazira mazuri atakuja nipa tabu huko baadae, mi ni m'bishi sijashindwa ila madhara yake baadae makubwa nna uzoefu sana na viumbe wa namna hii ukimzoesha sana siku akikosa hata km Kuna sababu ya msingi ni ugomvi.
 
Mbona rahisi hili? Anataka ukamrushe roho AKA ukamto$$$$mbe sasa tatizo liko wapi? Si umpe haki yake? Una watoto wangapi jumla? Kwa mke na wa nje ya ndoa?
Kasi yake ni wale wenye kichaa cha ngono, kadri unavyozidi kumwashia moto kwa kuhisi moto wa jana mdogo ndio hamu yake kwa kesho inazidi, unam'buruza anamwaga adi anazima unamtoa nje umemshikilia anapepesuka akifika nyumbani nguvu zikirudi anataka tena, usiombe mkuu,

Kwa mke wa4 na 7 wa nje na nimemwambia hili kabla lkn haikusaidia kitu
 
Reactions: BAK
Bado hili ni rahisi mno kuliko yeye kuzua tafrani kwenye ndoa yako labda kama umemchoka mkeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…