Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Anaomba Sana Hela, sasa Leo nimemchana

Aaliyyah atug na mnatumia huo mwanya wa sisi kuwa provider, kuwatapeli hela wanaume ambao hamjavutiwa nao kimapenzi
Kuandika neno kuwatapeli hapo unaongelea tapeli na sio mpenzi.. mtu kama ni mpenzi/ mume wako unamtapeli vipi pesa? Na mwanaume akipenda kweli wala hakumbushwi wajibu wake.. atafanya bila kusukumwa.

Na kwa mwanamke anaejitambua kama hajavutiwa na mwanaume huwa hatoi nafasi ya kuwa nae wala kutaka kitu chake.. hao wasiovutiwa na wanaume na bado wanapokea na kuomba pesa wawekwe fungu lao na usiwajumuishe na wanawake wanaoelewa thamani ya mtu katika mahusiano waliyonayo
 
Aaliyyah atug na mnatumia huo mwanya wa sisi kuwa provider, kuwatapeli hela wanaume ambao hamjavutiwa nao kimapenzi
Ni ukweli Huwa hatuwez japo sometimes mnalegalega tunatumia mwaya kujifanya tunaweza lkn sie tunawahutaji sana nyie na ela zenu mtutunze hata km sio Kwa kiwango cha mamilion lkn hata Kwa kidogo unachojaaliwa

Mwanaume akipenda hawez lalamika hivo vitu Bali Huwa mkweli Kwa mwenzie kma hapend kuombwa lkn kuhudumia ni suala lenu naomba liwekwe kwenye katiba 😀
 
Kuandika neno kuwatapeli hapo unaongelea tapeli na sio mpenzi.. mtu kama ni mpenzi/ mume wako unamtapeli vipi pesa? Na mwanaume akipenda kweli wala hakumbushwi wajibu wake.. atafanya bila kusukumwa.

Na kwa mwanamke anaejitambua kama hajavutiwa na mwanaume huwa hatoi nafasi ya kuwa nae wala kutaka kitu chake.. hao wasiovutiwa na wanaume na bado wanapokea na kuomba pesa wawekwe fungu lao na usiwajumuishe na wanawake wanaoelewa thamani ya mtu katika mahusiano waliyonayo
Kabisa umemaliza mwanaume akipenda Yuko proud kuprovid Kwa mwanamkewake kwanza ndio inawapa confidence sana

Hao ni wanaume achana na Hawa wavulana
 
Wewe ushaonekana dhaifu na mpumbavu, huyo kakuona wewe wakuja tena mshamba tu, mwanaume mwenye maneno mengi hata kama huna pesa unapoteza Radha, yaani unachuja.
Wenzio hatuendi hivyo, hata kama mwanamke anaomba pesa sana, Kuna namna ya kumchana ili ajione mkosaji na sii kujitilisha huruma, hao viumbe hawanaga huruma wasipokupenda,

Watu aina yenu ndie mnasababisha viumbe Hawa wanawake wazidi kutudharau wanaume, punguza kujieleza
 
dogo umejiabisha sana hujui tuh... maneno mengi ya nini kwenye sms
 
Mahusi
Huyu demu nimemtongoza hata wiki mbili hakuna tayari matatizo Yake yote ya kifedha amenipa Mimi Leo hili Kesho kile Sasa nimechoka nimeona nimuambie ukweli

View attachment 3183864
Mahusiano ya sasa yanachangamoto kubwa. Kila mtu amekaa kimaslahi na wengine wamekaa standby wanahisi kupigwa matukio.

Niliwahi kuwa na mahusiano na mtu,,japo sinaga tabia ya kuomba hela kwa mwanaume. Basi tulidate kama miezi 3 hivi akapata msiba kwao nikajitoa nikamtumia rambirambi. Basi kuna wakati akanikaribisha anapoishi japo tulikutana open space. Sikumuomba nauli ya kwenda wala kurudi. Japo alininunua zawadi.
Basi siku moja nilipata dharura kubwa nilimkopa hela kweli akanipa kama laki 2. Nikatatua shida yangu baadaye nilipopata hela nikamuomba akaunti nikamrudishia hela yake.

Sasa kimbembe siku moja nikapata safari ilikuwa ya kwenda nauli kama elfu 10. Nikamwambia naomba uniescort nipate kampani aiseee alichoniambia utanipa nauli. Khaaaaaaaa nikachoka mwili na roho. Nikamuuliza kukupa nauli? Akaanza kufoka eeeh wanawake ndivyo mlivyo hela zenu za kwenu za kwetu ndo tutumie . Nikamuambia uwe na adabu lini nilikuomba hela,,kwa miezi yote hiyo sikuwahi kukuomba hata vocha. Unapata wapi ujasiri wa kuongea hayo. Toka siku hiyo nikampotezea. Japokuwa ni mtu mwenye hela zake tu. Nikaishia kumuhurumia. Akaanza kunitumia sms ooh nakupenda,,nilikuww nakujaribu. Nikamwambia tu moyo wangu sio wa majaribio. Katafute wa majaribio.
 
Back
Top Bottom